Omba mungu ajira zitoke ili lile kundi kubwa la vijana lililopo makambini lipatate ajira vijana wapungue coz kuna watu wana miaka 3 bado hawajapata ajira, PAMBANA NA HALI YAKOHabari jamani munahabari gani.
Leo nilikuwa na kanali mmoja ivi tunapiga stori. Nikamuuuliza watachukuliwa lin vjana wengne mwaka huu. Kanijuza kwamba nafas watatangaza mwaka huu lazima vijana wenye sifa wajiandae ila sio mwez huu mpaka wale mujibi wa sheria waloenda iv karibun. Wasepe wanamaliza mwezi wa tisa wengi wap wataenda vyuo na awamu ya pili kwa mujibu huwa wanarud wachache sana kwaivo lazima watachukua vijana wa kujitolea. Kwaivo wanaweza wakafanya usaili mwez wa tisa afu ikawa kama wale wengine mpaka wa 12 ndio makambini ni hayo tuu cha msingi watu wajiandae na wazidi kumuomba mungu cz mungu anaangalia maombi ya wengi naamini watatangaza na mungu atatubaliki asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusaidiane jamanNlikua naomba kujua nafasi ni Lini zaweZa kutoka??
Duu kweli mukulu.Omba mungu ajira zitoke ili lile kundi kubwa la vijana lililopo makambini lipatate ajira vijana wapungue coz kuna watu wana miaka 3 bado hawajapata ajira, PAMBANA NA HALI YAKO
Sent using Jamii Forums mobile app
mm nilisikia mwezi huu mwishoni lkn mpka sasa kmyaaTusaidiane jaman
Sana tukuna watu humu kama wana vijiti matakon vimewanasia mwenzetu anauliza swal ili ajue nyie mnajibu ushoga
Naona website ya jkt ime shake,,nadhani watakua wanapakia Tangazo lao.Naomba kujuzwa kwa anaofahamu nafasi za jkt mikoani zinatoka lini??
mmh ipo vizuri tuu haija shakeNaona website ya jkt ime shake,,nadhani watakua wanapakia Tangazo lao.
Keep on waiting.
Hahahahahhahwameweka tangazo la matrekta
sent using iphone 8