Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,762
- 8,005
watakaopewa kipaumbele kujiunga jkt ni asikari Wa akiba aka mgambo wenye sifa stahiki.
inawezekana boy
acha uoga inawezekana 98%
umefanya uamuzi sahihi.Ninafuatilia kwa umakini sana huu uzi ila naona tetesi zimekuwa nyingi na hakuna anayejua ukweli wa mambo, acha niwe na subira na muda utanipa majibu sahihi..![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
kipaumbele huja kulingana na mahitaji ya jeshi kwa wakati husika...usiwavunje moyo wasiokua wagambo.watakaopewa kipaumbele kujiunga jkt ni asikari Wa akiba aka mgambo wenye sifa stahiki.
Sawa mkuu..umefanya uamuzi sahihi.
Hilo tangazo umeliona ww peke ako mbona wengine hatuon!!Thanks god.
Pitieni website ya jkt.co.tz wameweka tangazo.
Kubabake mwezi ujao nipo pale JKT Makutopora.
Makamanda changamkeni.
Deadline September 7
Thanks god.
Pitieni website ya jkt.co.tz wameweka tangazo.
Kubabake mwezi ujao nipo pale JKT Makutopora.
Makamanda changamkeni.
Deadline September 7
Anazingua huyo hamna jipyaMbona hakuna tangazo
Unauakika gan jombaa..Vijana piteni website ya jkt.co.tz wameweka tangazo.
Hatimae mwezi ujao nitakua ndani ya JKT Makutupora.
Deadline September 7
Tujuvye ki ukweli ss wengine tumedima mkituambia ivo mnatupandisha morali(FUNGUKA MKUU)Vijana piteni website ya jkt.co.tz wameweka tangazo.
Hatimae mwezi ujao nitakua ndani ya JKT Makutupora.
Deadline September 7
Kijana ww ni afisa utumishi au ,naona unatufanyia dhihaki hizo nafas unaziona ww 2 (Acha utoto)Thanks god.
Pitieni website ya jkt.co.tz wameweka tangazo.
Kubabake mwezi ujao nipo pale JKT Makutopora.
Makamanda changamkeni.
Deadline September 7
Unajisikiaje kutoa taariza za uongo kamanda hakika nyie ndio mnaotafutwa au umesoma vibaya umeona ya 2016Kijana ww ni afisa utumishi au ,naona unatufanyia dhihaki hizo nafas unaziona ww 2 (Acha utoto)
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kwa yule ambaye anatoka Mashewa huku Korogwe vijijini naye unamshauri awe anaenda kuulizia mara kwa mara kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya pale Korogwe mjini,kwanini asipate taarifa hapahapa kuokoa gharama?M nilienda juzi kwa mkuu wa wilaya yangu nikaingia ofisi ya mshaur wa mgambo nikauulizia kama nafasi za kujiunga na jkt zimeshatoka au bado wakaniambia bado ila niwe naenda kuuliza uliza kila siku .