Libya
JF-Expert Member
- Nov 11, 2016
- 794
- 2,055
Kwa hiyo mkuu kwenye hili unasema wanaweza kuajiriwa bila kupitia jkt. Tafadhari naomba unieleweshe mkuuKaka co kwamba unawaelekeza jwtz coz jkt ipo mikocheni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mkuu kwenye hili unasema wanaweza kuajiriwa bila kupitia jkt. Tafadhari naomba unieleweshe mkuuKaka co kwamba unawaelekeza jwtz coz jkt ipo mikocheni
TPDF ni Tanzania Peoples Defence Force au JWTZ kwa kiswahili...Unafatilia huu Uzi vizuri kabisa sehemu panapo nichanganya nauliza mtanisamehe lakini.
Um! TPDF ni nini? Inahusika na nin? Na ili uwe TPDF inakuaje au unachaguliwaje .in short I need to know all about TPDF .ahsanteni karibu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka JKT kwenda JWTZ na majeshi mengine kuna vitu vingi tu wanaconsider Kama Physical Fitness, Elimu na Ujuzi Wakati mwingine mpaka kimo Japo sio mara nyingi sana hapo Polisi na Magereza wanaconsider sana!!! zaidi Kupitia JKT sio Guarantee ya Kuwa JWTZ maana wanaokuja kuchukua Kuruta huko ni majeshi au Idara zetu zote....Na kutoka JKT kujiunga JWTZ huwa wanaangalia vitu gani au huwa ni bahati kuchaguliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
The same thing, ok.shukraniTPDF ni Tanzania Peoples Defence Force au JWTZ kwa kiswahili...
KIMEO CHANGU
Kwahiyo kwa maelezo yako , kuchaguliwa JWTZ ni bahati mbali na hizo x-stics maana na majeshi mengine pia wanaconsider elimu na ujuzi and such things of the same like sio tu JWTZ.karibuKutoka JKT kwenda JWTZ na majeshi mengine kuna vitu vingi tu wanaconsider Kama Physical Fitness, Elimu na Ujuzi Wakati mwingine mpaka kimo Japo sio mara nyingi sana hapo Polisi na Magereza wanaconsider sana!!! zaidi Kupitia JKT sio Guarantee ya Kuwa JWTZ maana wanaokuja kuchukua Kuruta huko ni majeshi au Idara zetu zote....
KIMEO CHANGU
Msaada hapo juu jamanNaomba kujua kwa mujibu wa sheria ni vp na kujitolea ni vp ,pia hao wote wanaombaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap Kikubwa Bahati tu na kujuana....Kwahiyo kwa maelezo yako , kuchaguliwa JWTZ ni bahati mbali na hizo x-stics maana na majeshi mengine pia wanaconsider elimu na ujuzi and such things of the same like sio tu JWTZ.karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mujibu wa sheria ni wale Vijana wa Form6 ambao hukaa miezi mitatu tu wanarudi home na n
Naona upo kaziniNauliza samahani!
Kwamfano ikatokea wametangaza nafasi za kujiunga JKT form zitakua zinapatikania wap? Na inakuaje mpaka watu wanahonga ili tu wapate form kwani form huwa ziko limited zikihisha hizo ndo basi hata kama bado number ya watu imesalia wanaohitaji form .karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna Form wala Application Fees!! I think kutakuwa na barua ya maombi tu Mara nyingi huwa znatumwa kwa Mkuu wa wilaya na ndipo usaili hufanyikaNauliza samahani!
Kwamfano ikatokea wametangaza nafasi za kujiunga JKT form zitakua zinapatikania wap? Na inakuaje mpaka watu wanahonga ili tu wapate form kwani form huwa ziko limited zikihisha hizo ndo basi hata kama bado number ya watu imesalia wanaohitaji form .karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
We ulisha pata mkuuKuweni making kwa maswali mnayoulizana, naona mpo huru sana, peaneni namba baadhi ya maswali mkaulizane private ama kwa unayeitwa Libya ikiwa unataka kufahamu mengi zaidi juu ya jkt nenda wilaya iliyo karibu yako ukifika ulizia ofisi ya mshauri wa mgambo hapo uliza maswali yote utapata majibu, in case of anything hata ukiwa askari huna ruksa ya kujiachia kwenye mitandano, kuweni makini katika hili
We ulisha pataKuweni making kwa maswali mnayoulizana, naona mpo huru sana, peaneni namba baadhi ya maswali mkaulizane private ama kwa unayeitwa Libya ikiwa unataka kufahamu mengi zaidi juu ya jkt nenda wilaya iliyo karibu yako ukifika ulizia ofisi ya mshauri wa mgambo hapo uliza maswali yote utapata majibu, in case of anything hata ukiwa askari huna ruksa ya kujiachia kwenye mitandano, kuweni makini katika hili
Ndio tayari, unasemaje?
Hakika sikuafiki kabisa! Kiukweli maswali yanayoulizwa ni ya kawaida ambapo kila mtu inapaswa ajue. Na tena ni halali ya kila mwananchi. Wengine hawajafikia malengo kwa kosa la kutokujua. Kwa kutumia mitandao tujulishane yale tusioyajua ili tuyajue.Kuweni making kwa maswali mnayoulizana, naona mpo huru sana, peaneni namba baadhi ya maswali mkaulizane private ama kwa unayeitwa Libya ikiwa unataka kufahamu mengi zaidi juu ya jkt nenda wilaya iliyo karibu yako ukifika ulizia ofisi ya mshauri wa mgambo hapo uliza maswali yote utapata majibu, in case of anything hata ukiwa askari huna ruksa ya kujiachia kwenye mitandano, kuweni makini katika hili
Hiyo staili aliyokuja nayo siyo kabsa