Nafasi za JKT zinatoka lini?

Nafasi za JKT zinatoka lini?

Hapo 2 my, na mimi ndo napataka ,, plz jmn mwenye kujua vyema , a2juze na wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
Vigezo UA wanatoa pale wanapoanza kuhitaji watu na ni vya kawaida tu mfano uwe RAIA wa Tanzania miaka pia UA inategemea kutokana na level ya elimu.ni vitu vya kawaida tu watapotoa tangazo utaviona na utapekeka maombi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna vijana wetu wako uko JKT mwaka wa 2 sasa JPM wape ajira basi jamani au waruusu tu warudi majumbani walime na wazazi wao tu
 
NAWAKUMBUSHA JAMANI LEO TRH 26 MLIOSEMA MWEZ WA SABA VIPI TUPO UKINGONI HAKUNA MPYA YOYOTE
Kuwa na subira ndugu watatangaza tu,possibility kubwa ni mwez wa tisa,mara baada ya wa mujibu awamu ya kwanza kwenda vyuo,hivyo wakujitolea watachanganywa na mujibu awamu ya pili,pia mujibu awamu ya pili huwa wanajitokeza wachache sana sababu weng wao huenda chuo kusoma kwanza,hivyo wakujitolea kueni na amani nafasi zipo tu nyng na pia kambi mpya tano za jkt zimefunguliwa hivyo msihofu kwenfa jkt,muhofu kuhusu kuajiriwa mara baada ya kumaliza mafunzo.
 
Kuwa na subira ndugu watatangaza tu,possibility kubwa ni mwez wa tisa,mara baada ya wa mujibu awamu ya kwanza kwenda vyuo,hivyo wakujitolea watachanganywa na mujibu awamu ya pili,pia mujibu awamu ya pili huwa wanajitokeza wachache sana sababu weng wao huenda chuo kusoma kwanza,hivyo wakujitolea kueni na amani nafasi zipo tu nyng na pia kambi mpya tano za jkt zimefunguliwa hivyo msihofu kwenfa jkt,muhofu kuhusu kuajiriwa mara baada ya kumaliza mafunzo.
OK nimekuelewa sema jeshi linasiri sana tuombe dua tu
 
Kuwa na subira ndugu watatangaza tu,possibility kubwa ni mwez wa tisa,mara baada ya wa mujibu awamu ya kwanza kwenda vyuo,hivyo wakujitolea watachanganywa na mujibu awamu ya pili,pia mujibu awamu ya pili huwa wanajitokeza wachache sana sababu weng wao huenda chuo kusoma kwanza,hivyo wakujitolea kueni na amani nafasi zipo tu nyng na pia kambi mpya tano za jkt zimefunguliwa hivyo msihofu kwenfa jkt,muhofu kuhusu kuajiriwa mara baada ya kumaliza mafunzo.
kuhusu arija mkuu mie naona tupate nafasi kwanza mambo mengine tutapambana tukiwa huko sasa lkn process za awari tushafanya
 
Na kuna ndugu yangu hivi anataka kwenda JWTZ Mara baada ya kumaliza diploma yake ya engineering ,lakin hapo imeonekana kwamba vyeti original ndivyo vihitajikavyo , so kwa yy atakua na original ya form 4 na result transcript ya taaluma yake coz chuoni kwao kupata original cheti cha taaluma ni baada ya miaka miwili kwahiyo nilikua nauliza anaweza kuchukuliwa then baadae cheti cha taaluma original kikitoka ndo akipeleke au utaratibu uko vp waheshimiwa anayejua tafadhari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafatilia huu Uzi vizuri kabisa sehemu panapo nichanganya nauliza mtanisamehe lakini.

Um! TPDF ni nini? Inahusika na nin? Na ili uwe TPDF inakuaje au unachaguliwaje .in short I need to know all about TPDF .ahsanteni karibu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom