Nafasi za JKT zinatoka lini?

Nafasi za JKT zinatoka lini?

Msiulize Tena kuhusu nafasi za jkt..... Naona wajuaji wanasogeza siku tuu.. Mara WA nne.. WA tano Sita saba WA nane sa hvi... Mtafika hadi WA kumi na Tatu... Hakuna anae jua lini zitatoka isipo kuwa mamlaka yenyewe tuu.... Mnaeza peana uzoefu mwengine ila ya kwamba zinatoka....... Lini... Humu jf hakuna anae juaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani huku hakuna wahusika? Huku kuna watu wengi na penye wengi pana mengi pia. Wewe endelea kufwatilia tu, utapewa tetesi.
 
Siku zikitoka hapatakuwa na siri ,utajua haraka. Ingia www.jkt.go.tz angalau mara moja ndani ya wiki kwa habari za uhakika.
Hamna tangazo la jkt bila kuwepo kwenye tovuti yao.
Humu wezi wengi,mtu baba yake alikuwa mwanajeshi anajifanya na yeye ni Captain central.
Kama una degree ya Udaktari,uhandisi mitambo au urubani nenda makao makuu kachukue ajira yako.
 
Siku zikitoka hapatakuwa na siri ,utajua haraka. Ingia www.jkt.go.tz angalau mara moja ndani ya wiki kwa habari za uhakika.
Hamna tangazo la jkt bila kuwepo kwenye tovuti yao.
Humu wezi wengi,mtu baba yake alikuwa mwanajeshi anajifanya na yeye ni Captain central.
Kama una degree ya Udaktari,uhandisi mitambo au urubani nenda makao makuu kachukue ajira yako.
Dah kweli yan tatizo lingne Mara mpaka 2020 Hapa kweli pambana na hali yako coz hazielewek mwaka huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari,napenda kujua ni lini zina toka nafasi za jkt kwan anaye fahamu hiii alielekeze ili nijipange kwa hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vuta subira kijana, tunza afya yako.... Endelea kufuatulia. Kuhusu kujiunga na JWTZ, hakuna nafasi za moja kwa moja au labda tu itokee kuwa na uhitajio wa kundi la watu maalumu i.e Madaktari, Wahandisi, na watu wenye fani za Urubani au fani nyingine zitakazokuwa zikihitajika kwa wakati huo.

Utaratibu wa sasa kujiunga na chombo chochote cha ulinzi na usalama ni sharti mtu apitie kwanza JKT kwa lengo la kujifunza Uzalendo na Ukakamavu ( Though hakuna General rule hapa, mambo hubadilika kulingana na uhitaji}
Unapohitaji kujiunga na vyombo hivi basi, one of the thing you need to primarily train yourself kwanza ni kuwa na disciple na uvumilivu. Vitu hizi lazima uvianze mapema sana. Kwa wakati huu ukiwa bado unaendelea kungojea nafasi zitoke basi endelea kuwa mvumilivu na endelea kufuatilia. Mi vema ukatafuta taarifa katika vyanzo halisi na vya uhakika kuliko habari za kuambiwa na watu. Tambua kuwa huwa kuna matapeli na watu wengi wameingizwa mkenge katika mambo haya. Tembelea tovuti rasmi ya Jeshi la Kujenga Taifa{ jkt.go.tz) kwa taarifa kuhusu nafasi na vigezo vya kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa kwa nafasi ya Mujibu wa Sheria au kama kijana wa kujitolea.

Endapo nafasi zitatoka na ukafanikiwa kuwa na sifa na ukaweza kujiunga, soma vizuri na elewa mkataba utakaosaini ili baadae mambo yakienda tofauti na matarajio usije anza regret. Kwa kukusaidia tambua kuwa JKT haiajiri ila tu ni mahali ambapo unaweza fanyiwa usaili (endapo utakuwa na vigezo) kuandikishwa (maana jeshi pia haliajiri ila huandikisha) katika majeshi mbalimbali ie Bakabaka( maana ninyi vijana huita hivi), Polisi, Magereza, Askari wanyamapori, TISS (sometimes),.... etc etc.....

Nakutakia kila lakheri katika safari yako unayotarajia kuianza.

But one more thing: Usiniambie kuwa movies za John Rambo ndio zimekuvutia utafute career ya kuwa askari au umesikia kule wanatoa mishahara mizuri na au pengine unadhani kuwa askari ni high social status kwamba utavutia madem au utakuwa mbabe as *** au pengine umeona kitaa hakieleweki . Be realistics, avoid illusions, utafanikiwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari jamani munahabari gani.
Leo nilikuwa na kanali mmoja ivi tunapiga stori. Nikamuuuliza watachukuliwa lin vjana wengne mwaka huu. Kanijuza kwamba nafas watatangaza mwaka huu lazima vijana wenye sifa wajiandae ila sio mwez huu mpaka wale mujibi wa sheria waloenda iv karibun. Wasepe wanamaliza mwezi wa tisa wengi wap wataenda vyuo na awamu ya pili kwa mujibu huwa wanarud wachache sana kwaivo lazima watachukua vijana wa kujitolea. Kwaivo wanaweza wakafanya usaili mwez wa tisa afu ikawa kama wale wengine mpaka wa 12 ndio makambini ni hayo tuu cha msingi watu wajiandae na wazidi kumuomba mungu cz mungu anaangalia maombi ya wengi naamini watatangaza na mungu atatubaliki asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari jamani munahabari gani.
Leo nilikuwa na kanali mmoja ivi tunapiga stori. Nikamuuuliza watachukuliwa lin vjana wengne mwaka huu. Kanijuza kwamba nafas watatangaza mwaka huu lazima vijana wenye sifa wajiandae ila sio mwez huu mpaka wale mujibi wa sheria waloenda iv karibun. Wasepe wanamaliza mwezi wa tisa wengi wap wataenda vyuo na awamu ya pili kwa mujibu huwa wanarud wachache sana kwaivo lazima watachukua vijana wa kujitolea. Kwaivo wanaweza wakafanya usaili mwez wa tisa afu ikawa kama wale wengine mpaka wa 12 ndio makambini ni hayo tuu cha msingi watu wajiandae na wazidi kumuomba mungu cz mungu anaangalia maombi ya wengi naamini watatangaza na mungu atatubaliki asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks Molly Kwa kutujuza
 
Habari jamani munahabari gani.
Leo nilikuwa na kanali mmoja ivi tunapiga stori. Nikamuuuliza watachukuliwa lin vjana wengne mwaka huu. Kanijuza kwamba nafas watatangaza mwaka huu lazima vijana wenye sifa wajiandae ila sio mwez huu mpaka wale mujibi wa sheria waloenda iv karibun. Wasepe wanamaliza mwezi wa tisa wengi wap wataenda vyuo na awamu ya pili kwa mujibu huwa wanarud wachache sana kwaivo lazima watachukua vijana wa kujitolea. Kwaivo wanaweza wakafanya usaili mwez wa tisa afu ikawa kama wale wengine mpaka wa 12 ndio makambini ni hayo tuu cha msingi watu wajiandae na wazidi kumuomba mungu cz mungu anaangalia maombi ya wengi naamini watatangaza na mungu atatubaliki asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
pw kaka na je nauliiza hv kama mtu umemaliza chuo na vyet bado hazijatoka si unaweza kutumia transcript ya chuo na ukaomba au wanaweza kukukatalia
 
pw kaka na je nauliiza hv kama mtu umemaliza chuo na vyet bado hazijatoka si unaweza kutumia transcript ya chuo na ukaomba au wanaweza kukukatalia
We are the same sport brother
Mi pia nimegraduate ivi karibuni. Nilimuuliza kasema tutatumia transcript ili wa prove kama kweli umesoma chuo kikuuu!!

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Ninafuatilia kwa umakini sana huu uzi ila naona tetesi zimekuwa nyingi na hakuna anayejua ukweli wa mambo, acha niwe na subira na muda utanipa majibu sahihi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom