Field Marshal
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 414
- 280
nawakumbusha leo ni 11/7/2017.
Kwa hiyo mnatka kusema kwamba mwaka huu nafasi zinaweza zisitoke kwa wakujitolea...Kikubwa ombeni wapunguzwe kwa kupata ajira ila kuhusu kutemwa msahau sababu wame sign mkataba wa miezi 6 tena mpaka mwezi wa 12 kwa OP kikwete ambao muda wao wa miaka miwili ulishaisha na pia mkae mkijua OP muungano wengine mpaka sasa wapo makambini na Hawa OP magufuli ndio wameapa juzi, kikubwa muwe na subra na mfuate taarifa sehemu husika msidanganye, ni hilo tu.
Nakubaliana na ww mzee, hapo watu wasubir mwez wa nane au huu wa 7 mwishon wanaweza wakatangaziwa nafasiDepo mwezi wa 10 so watapanga miez miwil kabla
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
We ndo mkuu wa jkt unasema hayoMkuu waliopo kambi za malezi na uzalishaji mali ni SM/SG wengi sana mimi nafikiri labda wakipungua ndio watafikiria kuongeza wengine au wale mikataba yao ikiisha watemwe kinyume cha hapo ni ngumu sana kusema ni lini watafanya recruitment
Mier mkal haina nomaNafikir kwa njia hiyo utakuwa umeelewa somo
Sawa mkuuMier mkal haina noma
Utaratibu huwa wanautoa pindi nafac zinapotangazwaKwaiyo utaratibu halali wa kuomba nafasi ni upi???
Post sent using JamiiForums mobile app
Hapo 2 my, na mimi ndo napataka ,, plz jmn mwenye kujua vyema , a2juze na wengineVigezo vya kujiunga na jkt ni vp tujuzane
Toa taarifa police watakusaidia kuwanasa hao wajeshiMwenye namba ya Mkuu wa itifaki wa JWT anitumie kuna mijeshi mijizi inatapeli watu kwa kisingizio cha kuwaunga na JKT kumbe hewa wanataka kuanzia laki tano na kuendelea namba zao ninazo na wengi tunafahamiana mpaka majumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Too difficult kwa sababu hautakiwi uwe umezaa na Madaktari Kutoka hospital ya Lugalo ndo watagundua kua wewe ni Mmama Jeshi ni kwa Wasichana tuu.