Mambaenock
JF-Expert Member
- Aug 7, 2013
- 427
- 107
Mkuu ukipata jibu ya jinsi ya kujiunga unijulishe maana me mwenyewe sikwenda sababu ya muda wa Chuo ulikua umefika hivyo tukaambiwa tuandike barua Na kuahidi kujiunga Mara baada ya masomoWakuu samahanini ninapenda kujua utaratibu wa kujiunga JKT mujibu wa sheria mwenye kujua ni utaratibu gani napaswa kuupitia anijuze.... nilihitimu kidato cha sita mwaka 2013 na sikwenda JKT kwa sababu ya kujiunga na chuo