chase amante
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 5,553
- 2,074
Wadau,mbona halmashauri ya wilaya mbarali hawatoi posho? Kila kitu unajigharamia ,yani nauli mpk chakula
Masaa 9 mzee40000devide by 14hrs/12hrs=??🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii kazi ni ngumu najuta aiseeKwa Hali ninavyo iyona hapa kwenye semina
HI kazi ya Sensa sio KAZ mazee
Wali takiwa kupewa majobless Tu
KAZ n kubwa kisenge Yan
Na waonea huruma maticha
4444 tshs per hour🤣🤣🤣Masaa 9 mzee
Bado nasikia eti wana hakiki majina kwanzaHivi ,huko ulipo mnapewa posho ya semina au bado?
ili zoezi ni gumu kuanza kumhoji mtu maswali100 mmh walitakiwa wachukue taarifa muhimu tu ,
Jina,umri,jinsia,alama za dole,au picha,
the rest izo dodoso sijui unatembeaje unalalaje, unashab
Hata kama ni tehama lazima ujue basics za sensa jombaa na kwa sababu unaenda msaidia karani,huwezi kumsaidia karani bila kujua mageresho jombaaaKwa sababu wote ni wapishi wa tukio la Sensa
Matema mzigo umesoma dakika hiiWadau,mbona halmashauri ya wilaya mbarali hawatoi posho? Kila kitu unajigharamia ,yani nauli mpk chakula
Wamelipa ya siku ngapi?Matema mzigo umesoma dakika hii
Tutumie mkuu Acha ubinafsiNauza maswali ya kesho wadau
Hahahaaa leta vitu mzee Matata Kipepeo JunguNauza maswali ya kesho wadau
4444 tshs per hour🤣🤣🤣
Sio mbaya, Sio mbaya, 4444 × 171 =759,000 ,, + 30000 unapata milioni ,sio haba mzee, milioni ndani ya siku 26.4444 tshs per hour🤣🤣🤣
Hongera mkuu🤣Sio mbaya, Sio mbaya, 4444 × 171 =759,000 ,, + 30000 unapata milioni ,sio haba mzee, milioni ndani ya siku 26.
Nazingua tu sina maswali bt wawezeshaj wenyew hawajui bt Kesho tasco na ISIC lazima ziwepo twenden tukameze hapoHahahaaa leta vitu mzee Matata Kipepeo Jungu
Wakitoa hapa nimekwishaNazingua tu sina maswali bt wawezeshaj wenyew hawajui bt Kesho tasco na ISIC lazima ziwepo twenden tukameze hapo
Kwa hiyo kuna walimu wata disco kwenye hii seminaWakitoa hapa nimekwisha