Nafanyaje kumsaidia mdogo wangu kukabiliana na mabadiliko ya ukuaji wake kimwili?

Nafanyaje kumsaidia mdogo wangu kukabiliana na mabadiliko ya ukuaji wake kimwili?

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Wakuu! Nisaidieni mimi ni Dada mtu

Nina mdogo wangu alienifuata jinsia (kiume) umri (16) anakabiliwa na madadiliko ya ukuaji kimwili, miongoni mwa mabadiliko hayo ni pamoja na kubadilika kwa sauti yake. Siku za hivi karibuni sauti yake imekua kubwa sana na nzito, hali inawafanya marafiki na majirani wamshangae sana na kumwambia kuwa amekua.

Sasa hizi feedback za watu juu ya mabadiliko hayo ndizo zinazomtatiza. Wakati mwingi ananyamaza kimya, anashindwa kuchangamana na watu so huwa anajitenga muda wote, hata ukijaribu kumsemesha anaitikia kwa sauti ya chini tena huku akiwa ameinamisha kichwa chini, hawezi hata kutazamana na watu kisa tu kuambiwa hivyo kuwa anasauti kubwa au kuwa amekua.

Matokeo ya yeye kuji-isolate kunamfanya aanze kudhoofika, anakosa amani hawi huru tena. Namimi hiki kinaniumiza natamani sana kumuona akiwa katika hali nzuri ya amani na ya uhuru na kwa asili yeye ni mchangamfu sana ila sasahivi amekua wa tofauti mno na sauti yake licha ya kuwa imekuwa nzito na kubwa ila ni nzuri mno na kidogo akiwa namimi angalau anakuwa huru kidogo, sasa nitakaa nae mpaka lini?.

Nafanyaje ili aweze kuekubailiana na hii hali au kuendana na hayo mabadiliko maana anakoelekea anaweza kugeuka na kuanza kujenga tabia ambazo zinaweza kuja kuwa hatarishi baadae maana tayari kuna watu hawezi hata kusalimiana nao. Naombeni ushauri
 
Chukua udongo umba/finyanga mdogo wako mwingine vile utataka awe !

Majitu mengine majinga kabisa, hujui kwa me balehe ni ni 14_17 inategemea na mazingira, vyakula hali ya hewa nk ?

Nini unachoshangaa hapa ? Siku utakuja kutuambia mdogo wangu ameota mavuzi nimnyoeje ?

Nb .. hayo madadiliko hayahitaji ushauri huo ni ukuaji ,,,,, sana sana anahitaji close monitoring tu , maana hiki ni kipindi kibaya kwake kujichanganya ovyo na vitu mfano pombe, madem, peer groups n.k
 
Chukua udongo umba/finyanga mdogo wako mwingine vile utataka awe !

Majitu mengine majinga kabisa, hujui kwa me balehe ni ni 14_17 inategemea na mazingira, vyakula hali ya hewa nk ?

Nini unachoshangaa hapa ? Siku utakuja kutuambia mdogo wangu ameota mavuzi nimnyoeje ?

Nb .. hayo madadiliko hayahitaji ushauri huo ni ukuaji ,,,,, sana sana anahitaji close monitoring tu , maana hiki ni kipindi kibaya kwake kujichanganya ovyo na vitu mfano pombe, madem, peer groups n.k
sayansi darasa la sita
 
Wakuu! Nisaidieni mimi ni Dada mtu

Nina mdogo wangu alienifuata jinsia (kiume) umri (16) anakabiliwa na madadiliko ya ukuaji kimwili, miongoni mwa mabadiliko hayo ni pamoja na kubadilika kwa sauti yake. Siku za hivi karibuni sauti yake imekua kubwa sana na nzito, hali inawafanya marafiki na majirani wamshangae sana na kumwambia kuwa amekua.

Sasa hizi feedback za watu juu ya mabadiliko hayo ndizo zinazomtatiza. Wakati mwingi ananyamaza kimya, anashindwa kuchangamana na watu so huwa anajitenga muda wote, hata ukijaribu kumsemesha anaitikia kwa sauti ya chini tena huku akiwa ameinamisha kichwa chini, hawezi hata kutazamana na watu kisa tu kuambiwa hivyo kuwa anasauti kubwa au kuwa amekua.

Matokeo ya yeye kuji-isolate kunamfanya aanze kudhoofika, anakosa amani hawi huru tena. Namimi hiki kinaniumiza natamani sana kumuona akiwa katika hali nzuri ya amani na ya uhuru na kwa asili yeye ni mchangamfu sana ila sasahivi amekua wa tofauti mno na sauti yake licha ya kuwa imekuwa nzito na kubwa ila ni nzuri mno na kidogo akiwa namimi angalau anakuwa huru kidogo, sasa nitakaa nae mpaka lini?.

Nafanyaje ili aweze kuekubailiana na hii hali au kuendana na hayo mabadiliko maana anakoelekea anaweza kugeuka na kuanza kujenga tabia ambazo zinaweza kuja kuwa hatarishi baadae maana tayari kuna watu hawezi hata kusalimiana nao. Naombeni ushauri
Vipi na wewe dada mtu, hauhitaji msaada wowote?
 
Wakuu! Nisaidieni mimi ni Dada mtu

Nina mdogo wangu alienifuata jinsia (kiume) umri (16) anakabiliwa na madadiliko ya ukuaji kimwili, miongoni mwa mabadiliko hayo ni pamoja na kubadilika kwa sauti yake. Siku za hivi karibuni sauti yake imekua kubwa sana na nzito, hali inawafanya marafiki na majirani wamshangae sana na kumwambia kuwa amekua.

Sasa hizi feedback za watu juu ya mabadiliko hayo ndizo zinazomtatiza. Wakati mwingi ananyamaza kimya, anashindwa kuchangamana na watu so huwa anajitenga muda wote, hata ukijaribu kumsemesha anaitikia kwa sauti ya chini tena huku akiwa ameinamisha kichwa chini, hawezi hata kutazamana na watu kisa tu kuambiwa hivyo kuwa anasauti kubwa au kuwa amekua.

Matokeo ya yeye kuji-isolate kunamfanya aanze kudhoofika, anakosa amani hawi huru tena. Namimi hiki kinaniumiza natamani sana kumuona akiwa katika hali nzuri ya amani na ya uhuru na kwa asili yeye ni mchangamfu sana ila sasahivi amekua wa tofauti mno na sauti yake licha ya kuwa imekuwa nzito na kubwa ila ni nzuri mno na kidogo akiwa namimi angalau anakuwa huru kidogo, sasa nitakaa nae mpaka lini?.

Nafanyaje ili aweze kuekubailiana na hii hali au kuendana na hayo mabadiliko maana anakoelekea anaweza kugeuka na kuanza kujenga tabia ambazo zinaweza kuja kuwa hatarishi baadae maana tayari kuna watu hawezi hata kusalimiana nao. Naombeni ushauri
Kuna MSEMO wetu tukikutana kupiga pombe na washikaji Kila siku jioniii

MSEMO WENYEWE NI HUU.

Kila kitu """NI JAMBO LA MUDA TU""

ILIKUA NI JAMBO LA MUDA....Kuhusu kijana wako ni JAMBO LA MUDA TU KILA KITU KITAKAA SAWA.

Mfano Mimi Kuna brother angu mmoja alikua anapendelea KUNAMBIA HUYU YUPO KWENYE FOOLISH AGE ☺️😊

alikua ananiboa sana etiii FOOLISH AGE ☺️ Inanichanganya😔🤔

Kila kitu kita kaa sawa mwambie dogo kua NI JAMBO LA MUDAA TU.
 
Kuna hatua hizi

Puberty stage - hatua hii huambatana na mabadiliko ya mwili Kama , sauti, kupata hamu ya ngono, kuota Maziwa , hips n.k

Hatua hii ndo yupo mdogo wako

Hatua hii sio hatari hasa kwa jinsia ME endapo ukiwa umemuwekea mazingira mazuri .


Ila kuna hatua inaitwa Foolish age hii huwa kati ya 20-23 hii ndo hatua mbaya Sana kwa Kijana wako



Foolish age ndo Kijana anakuwa Kama ni wa kike anaweza akawa single mother very easy na Kama ni wa kiume akazika ndoto zake n.k


Kwahiyo wewe huyo mwanao mwenye umri wa 16 mpatie Kazi zinazitumia Sana mwili na akili utakuwa ushamuweza.
 
Chaaba na dudukwe hawana mawazo ya kizinzi
Ndiyo maana wanaishi kwa upendo sana
Binadamu kibaolojia ni mnyama Kama Mbuzi , n.k kwahiyo Chaaba mawazo ya uzinzi anayo Kama walivyo Wanyama wengine


Utofauti wa chaaba na wewe ni kuwa chaaba uzinzi wake hautumii gharama akihitaji muda wowote anapata

Kwahiyo akili yake IPO katika abundance (utoshelevu)
 
Ni kama vibinti vikianza kuota matiti vipo ambavyo hufanya jitihada za kuyaficha

nJe ya mada,ulishawah kuona vile vibinti vichafu afu vina saa sita afu unakuta nguo yake blauzi imechafuka hapo kwenye saa 6 tu
 
Back
Top Bottom