Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 6,995
Choka mbaya, nahisi Lady doctor anataka kumbambikizia mtu mtoto hapa..
we mzee unanitaka?? We endelea nitakuaibisha mchana kweupe peee!!!!!
Last edited by a moderator:
Choka mbaya, nahisi Lady doctor anataka kumbambikizia mtu mtoto hapa..
bily my dear we acha tu nahisi kuna dalili ya moto kuwashwa kwenye nyumba ya makuti
Choka mbaya, nahisi Lady doctor anataka kumbambikizia mtu mtoto hapa..
Inabidi miss uchukue tahadhari umtaarifu babito wako mue na fire exitinguisher likiwaka mnazima fasta. Nawaombea Mungu awaepushe na ilo moto huyo Mamndenyi siku akitia maguu half london mpelekeni shivaz au mrina aha aha natania bana
Aaa wapi. Mie nina mume na jina lake ni chama tunapendana sana.
Tumeenda kinondoni na kaamua kuremba kichwani na siku imeishia hapo kitu kimoja bado tutapanga tena safari. Pengine ndo tutaenda kwenye hayo maduka.
hahaha...... Kweli aisee kuna kila haja ya kukaa na fire extinguisher ndani,,,,,,, halafu kule Shivas hakumfahi Mamndenyi kule ni kwa watu waliojitoa ufahamu hahaha
Haa haa kule nouma chezea shivaz na kuna pub moja kule sakina dah nimemis half london ukitaka nyama mbuzi,kondoo,ng'ombe kuna kwa morombo na kisongo ngoja mwezi huu wa sensa natia timu.
Siyo seminary ukitaka jina la shule nijie pembeni naona kama wazee wa ukaguzi wapo macho hapa.