shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,357
ndo ujue sasa
Hivi kumbe eeh poa.
Anasoma shule gani na mimi nimpeleke kijana wangu huko?
Yuko mafinga shule ya serkali. I hope ndo kati ya shule bora zilizosalia tz.
Swali mujarab sana hili. ukijibiwa unitonye arif
Mpwa hebu kodolea macho hapo juu kidogo...
Yaa unakumbuka lile zari la wakati ule but nilijaweka sawa na kila kitu kiko sawa.