Tanzania ni nchi tajiri dunian kwa rasilimali lakn n nchi masikin sana kwa wat wenye akili za Ku utilize rasilimal ilizonanzo hapo ntakuelewa ather wise kasome
Sent using
Jamii Forums mobile app
Nitajie nchi ya africa kusini mwa jangwa la sahara yenye afadhali kubwa sana kiuchumi kuliko Tanzania. Wewe unadhani hawa viongozi wote wanakaa pamoja na kupatana nchi zao ziwe ombaomba? Kufikiria hivyo sio sawasawa hata kidogo, hapo lazima ipo a common factor ambayo iko Afrika kusini mwa jangwa la sahara tu ambayo haipo Afrika kaskazini, Ulaya, Asia, na Marekani inayowaathiri hawa viongozi wote wa kusini mwa jangwa la Sahara.
Sasa sisi wasomi wachache ambao tumebahatika kupata elimu ya kimagharibi tuache kugeuka kuwa vibaraka wa nchi za magharibi kuwatumikia magharibi kuzihujumu nchi zetu na rasilimali zake, badala yake tuwasaidie watawala wetu namna ya kuvivuka vikwazo vilivyowekwa na wakoloni kabla na baada ya kuondoka kutuachia uhuru bandia. Hakuna Rais kusini mwa jangwa la sahara ataleta maendeleo kwa njia ya demokrasia pana kwa watru wake.
Mfano, wamissionaries walikuja na kuishi vizuri na wakoloni wetu, wakati wakoloni walipokuwa wana siphon rasilimali zetu kuzipeleka kwao wao walikuwa kimya, wakati akina Mkwawa wanauwa wao wapo lakini walikuwa kimya, wakati wakoloni wanawanyanyasa akina Mzee Nyerere na wenzake wakati wanadai uhuru wamisionaries walikuwepo lakini walikaa kimya, wakati IMF, WB, TWO zinaundwa na mikopo ya kinyonyaji kwa afrika ikitolewa wapo lakini walikaa kimya, nk. nk. Wakoloni (ndugu zao na rafiki zao) waliondoka lakini wao wakabaki na tuko nao. Je, hawa walifurahi au walichukia ndugu na rafiki zao (wakoloni) kuondolewa Afrika?.
1. Ukiangalia nchi ambazo ni masikini sana na zenye migogoro mingi sana kusini mwa jangwa la Sahara ni zile zinge taasisi za kidini ambazo ziko very strong kama vile DR Congo, Zambia, Malawi, uganda, Tanzania, Kenya, Zimbabwe, South Afrika, Somalia, Afrika ya kati, nk. Angalia nchi kama Rwanda ambako Kagame anawahenyesha watu wa dini mabo yake yanayovyokwenda shashaaa
2. Nchi ambazo ni Masikini sana kusini mwa jangwa la sahara ni zile ambazo zina mfumo mpana wa demokrasia. Demokrasia na Lesa fair haijawahi kuzaa matunda ya haraka kwenye uzalishaji na maendeleo kama Autocratic/Authoritative/Dictatorship hasa kwa wananchi ambao ni maskini na wenye elimu haba. Nchi kama Rwanda inayopigiwa mfano kwa kupiga hatua kiuchumi na kimaendeleo, usafi rais wake anatumia autocaratic/dictatorship ("do what I say" ) katika kufanikisha mambo.
3. Na msingi mkubwa wa authoritative leadership ni matumizi ya uncommon sense. matumizi ya Uncommon sense ndiyo yaliyosababisha kupatikana hata viongozi na wabunge wa vyama vya upinzani. Vyama vyetu vya siasa na wafuasi wake wengi hawana impact kwasababu wengi wao wanatumia their common sense kushindana na chama tawala, wale tu wanaotumia uncommon sense kama akina Mbowe, Mdee, Lissu, Zitto, Bulaya, nk ndiyo wanaolichangamsha bunge na ikiwezekana nchi nzima. Hivyo tuko nyuma kiuchumi kwakuwa wananchi wetu wengi bado wanatumia common sense katika maisha na kudai maisha bora kwa watawala wao tofauti na watu wa Ulaya, Marekani na Asia n.k wanaoweza kudai maisha bora kwa ikibidi hata kwa kufa, kuchoma magari, nyumba, nk.