kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,289
- 12,582
- Thread starter
- #141
....kama korea , Malaysia , vietnam, singapore. Kwanini usiseme ..... kama Burundi, Kenya, Uganda, Malawi, Zambia, Sudani Kusini, Zimbabwe, Ghana? huko kote ni CCM inayotawala? iko siku tutauana wenyewe kwa wenyewe kipumbavu na kumuacha adui yetu wa kweli kuitawala Tanzaniawewe wacha uharoo wako nchi hii imefikishwa hapa na CCM full stop. ebu tizama nchi nyingine kama korea , Malaysia , vietnam, singapore.Tanzania muna nini ni zogo tu hamuna lolote leo ni miaka 58 ya ccm kutawala hata maji ya kunywa hakuna halafu unatuletea porojo kwa kweli watanzani wana kila haki yakuombwa radhi na CCM kwa uchama waliofanyiwa na ccm.