[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Ndiyo watu wajifunze uchawa haulipi...Nchi hii Haina mwenyewe ni ya Kila mwananchi na hujui zamu yako itakuwa lini, ki vipihaya mambo bwana hayataki hasira.
mara paah,,,bashiru naye ndani ya nyumba!
Hahaaaaa, jamaa kamuangalia kwa jicho la Roho Mbaya sana.
Ahsante kwa taarifa.Mambo anayofanya Makonda ya kupiga simu majukwaani na utoaji wake amri mbalimbali utakuwa unawashangaza hawa watendaji wakubwa wa CCM na hii inaonyesha Makonda sasa ana nguvu kuliko wao na hazuiliki sina hakika kama wanafurahia. Ingawa sura zao zinaonyesha kama hawafurahii kabisa lakini kitendo cha Makonda kwenda kuomboleza kwenye kaburi la Magufuri akisema hata akiwekewa bastola bado yeye ataendelea kuwa Mwaminifu mkubwa wa Rais huyo. Nadhani Kinana ndiye anayekosa raha zaidi!
Vipi mjukuu wa Allah na wale wake zake watatu, unaendeleaje ajuza? Pale palestina wajukuu wa muddy(56) mme wa Bi. Aisha(9) wanachapika kweli.Ahsante kwa taarifa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na badoView attachment 2810402
Mwaka huu watalinywaMambo anayofanya Makonda ya kupiga simu majukwaani na utoaji wake amri mbalimbali utakuwa unawashangaza hawa watendaji wakubwa wa CCM na hii inaonyesha Makonda sasa ana nguvu kuliko wao na hazuiliki sina hakika kama wanafurahia. Ingawa sura zao zinaonyesha kama hawafurahii kabisa lakini kitendo cha Makonda kwenda kuomboleza kwenye kaburi la Magufuri akisema hata akiwekewa bastola bado yeye ataendelea kuwa Mwaminifu mkubwa wa Rais huyo. Nadhani Kinana ndiye anayekosa raha zaidi!
Hahahahahahahahahahahahahahahahaha.......
Ivumayo haidumu.Mambo anayofanya Makonda ya kupiga simu majukwaani na utoaji wake amri mbalimbali utakuwa unawashangaza hawa watendaji wakubwa wa CCM na hii inaonyesha Makonda sasa ana nguvu kuliko wao na hazuiliki sina hakika kama wanafurahia. Ingawa sura zao zinaonyesha kama hawafurahii kabisa lakini kitendo cha Makonda kwenda kuomboleza kwenye kaburi la Magufuri akisema hata akiwekewa bastola bado yeye ataendelea kuwa Mwaminifu mkubwa wa Rais huyo. Nadhani Kinana ndiye anayekosa raha zaidi!
Nonsense.Anachofanya, kwa wana ccm, ni sahihi, kuiweka ccm ndani ya vinywa vya wananchi, ccm inachukiwa, wa piga debe wote ni wazee,hawana jipya kwa kizazi kipya! Walihitaji jitu lenye charisma ya kuongea kama makonda! Na ukitegemea Ni jambazi Ali kuwa Muuaji mkuu wa Jiwe kama alivyokuwa(Maliyungu kwa Idi Amin), watu bado wana kumbuka you na kihoro alichowapitisha wakati wa u tawala wa Giza wa Maghu
Acha washangae sio kwamba hawajui kinachoendeleaMambo anayofanya Makonda ya kupiga simu majukwaani na utoaji wake amri mbalimbali utakuwa unawashangaza hawa watendaji wakubwa wa CCM na hii inaonyesha Makonda sasa ana nguvu kuliko wao na hazuiliki sina hakika kama wanafurahia. Ingawa sura zao zinaonyesha kama hawafurahii kabisa lakini kitendo cha Makonda kwenda kuomboleza kwenye kaburi la Magufuri akisema hata akiwekewa bastola bado yeye ataendelea kuwa Mwaminifu mkubwa wa Rais huyo. Nadhani Kinana ndiye anayekosa raha zaidi!
kinachomsaidia BASHITE ni kuwa na MAKALIO MAKUBWA kama wadada
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Haka kajamaa kana mganga mkali sana natamani ningempata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na badoView attachment 2810402
Huyo Kinana yeye ni nani nchi hii mbona mnakweza sana?yeye mwenyewe mwizi tu,yaani na nyie mmekuwa Brainwashed kumuona Kinana ni mtu wa maana wakati ni tapeli tu.
Kazi yake ya kutorosha Madini ya Tanzanite kupitia Kenya aliacha lini?
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Sijui nani alimteua huyu mtu, hata Samia hapendezwi naye.Mambo anayofanya Makonda ya kupiga simu majukwaani na utoaji wake amri mbalimbali utakuwa unawashangaza hawa watendaji wakubwa wa CCM na hii inaonyesha Makonda sasa ana nguvu kuliko wao na hazuiliki sina hakika kama wanafurahia. Ingawa sura zao zinaonyesha kama hawafurahii kabisa lakini kitendo cha Makonda kwenda kuomboleza kwenye kaburi la Magufuri akisema hata akiwekewa bastola bado yeye ataendelea kuwa Mwaminifu mkubwa wa Rais huyo. Nadhani Kinana ndiye anayekosa raha zaidi!