Nadhani Chongolo na Kinana wanashangaa tu!

Nadhani Chongolo na Kinana wanashangaa tu!

Mambo anayofanya Makonda ya kupiga simu majukwaani na utoaji wake amri mbalimbali utakuwa unawashangaza hawa watendaji wakubwa wa CCM na hii inaonyesha Makonda sasa ana nguvu kuliko wao na hazuiliki sina hakika kama wanafurahia. Ingawa sura zao zinaonyesha kama hawafurahii kabisa lakini kitendo cha Makonda kwenda kuomboleza kwenye kaburi la Magufuri akisema hata akiwekewa bastola bado yeye ataendelea kuwa Mwaminifu mkubwa wa Rais huyo. Nadhani Kinana ndiye anayekosa raha zaidi!
Wao walishindwa kumsaidia Rais Sasa ngoja Makonda awafundishe wajibu wao Ili washangae zaidi.😂😂
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Naona siku za kifo cha CCM zinazidi kukaribia. Aliyemteua Bashite kuwa Katibu Mwenezi wa chama, nadhani amebariki kifo cha CCM bila shaka.

Maana mtifuano na mvurugano wa ndani ya chama kuelekea uchaguzi wa 2025, hautakuwa wa kitoto.
YAANI HAPO NI KINYUME CHAKE TEGEMEENI VYAMA VYA UPINZANI KUFA KIFO CHA MENDE HUYU NDIYO MWAMBA WA SIASA ZA KIBONGO HAPO UPINZANI LAZIMA UNYOOSHE MIKONO JUU
 
Mambo anayofanya Makonda ya kupiga simu majukwaani na utoaji wake amri mbalimbali utakuwa unawashangaza hawa watendaji wakubwa wa CCM na hii inaonyesha Makonda sasa ana nguvu kuliko wao na hazuiliki sina hakika kama wanafurahia. Ingawa sura zao zinaonyesha kama hawafurahii kabisa lakini kitendo cha Makonda kwenda kuomboleza kwenye kaburi la Magufuri akisema hata akiwekewa bastola bado yeye ataendelea kuwa Mwaminifu mkubwa wa Rais huyo. Nadhani Kinana ndiye anayekosa raha zaidi!
Bado yajayo yanafurahidha..
 
haya mambo bwana hayataki hasira.
mara paah,,,bashiru naye ndani ya nyumba!
 
Kila mwaka huwa mnasema CCM inakufa ila matokeo ni tofauti
Kufa ni process.sio jambo la siku moja.Ata wewe ukiambiwa unakufa sio lazima ufe hapo hapo ila ni hakika utakufa.Dalli za kifo ndizo zinazoanzisha mchakato wa kifo kama Ccm wanavyotegemea tume ya uchaguzi na polisi kupata kura ndio dalili zenyewe.Kama wewe huzioni jitafakari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Kinana yeye ni nani nchi hii mbona mnakweza sana?yeye mwenyewe mwizi tu,yaani na nyie mmekuwa Brainwashed kumuona Kinana ni mtu wa maana wakati ni tapeli tu.
Kazi yake ya kutorosha Madini ya Tanzanite kupitia Kenya aliacha lini?

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Nani amesema Kinana sio mwizi, ndio maana ulifeli mitihani yote
 
Mambo anayofanya Makonda ya kupiga simu majukwaani na utoaji wake amri mbalimbali utakuwa unawashangaza hawa watendaji wakubwa wa CCM na hii inaonyesha Makonda sasa ana nguvu kuliko wao na hazuiliki sina hakika kama wanafurahia. Ingawa sura zao zinaonyesha kama hawafurahii kabisa lakini kitendo cha Makonda kwenda kuomboleza kwenye kaburi la Magufuri akisema hata akiwekewa bastola bado yeye ataendelea kuwa Mwaminifu mkubwa wa Rais huyo. Nadhani Kinana ndiye anayekosa raha zaidi!
Anafanya jambo la hovyo sn, anakigawa chama yaani yeye amekuwa kama ndiyo Waziri Mkuu
 
Mambo anayofanya Makonda ya kupiga simu majukwaani na utoaji wake amri mbalimbali utakuwa unawashangaza hawa watendaji wakubwa wa CCM na hii inaonyesha Makonda sasa ana nguvu kuliko wao na hazuiliki sina hakika kama wanafurahia. Ingawa sura zao zinaonyesha kama hawafurahii kabisa lakini kitendo cha Makonda kwenda kuomboleza kwenye kaburi la Magufuri akisema hata akiwekewa bastola bado yeye ataendelea kuwa Mwaminifu mkubwa wa Rais huyo. Nadhani Kinana ndiye anayekosa raha zaidi!
Wako kwenye mtihani - wakunyoa ama kusuka
 
Back
Top Bottom