Nachati na Generator

Nachati na Generator

wanawake wana ID nyingi sana ambazo wametufungulia mioyoni mwao achilia mbali ambazo wanazi mention wazi wazi!

kuna mdada mmoja leo masikini wa watu siku nzima simu ya mtu wake haipatikani.. conclusion aliyotoa ni huyo jamaa kuwa na kimwana mwingine.. basi ID alizo mention hapo.. nilijihisi niko kwenye chupa!

shame on us.. men and you women!

Mtulie sasa lah sivyo mnalo tena haki sawa ndo balaaa
 
Inabidi ukomae nayo hivyo hivyo utafanyaje sasa . Uitwe kidumu au generator uwemo tuuu lkn jamani humu kuna maneno kiasi kwamba unakua up to date. Huko nyuma niliwahi kushangaa msemo wa serengeti boys, sikua najua maana yake . Kwani kuna dada alikua ananunua kitu akasema hiki ni cha serengeti boy wangu , ikabidi niliyekua nae nimuulize baada ya kuachana na yule dada nikaeleweshwa. Nilibaki kinywa wazi kwani dada yule alikua ameolewa .
...ni hatari
 
Me ndo maana huwa siwaelewi alafu wao ndo wanaoomba game na wala siyo sisi wakishapata tamu wanakuja kuimanga huku mie sijapenda hii tabia yao hawa wanaume...

Jaman kwan kweny game tamtam 2napata sisi 2?thn nw days uombaji wa game hata ke mnafanya sana, mara nying huwa indirect
 
Mtulie sasa lah sivyo mnalo tena haki sawa ndo balaaa

habari za asubuhi miss chagga?

kamwe haitokaa itokee mwanaume kutulia!

DELILA ALICHOTUFANYIA KWA KIJANA MWENZETU SAMSON NI MFANO HALISI KWAMBA HATUTAKIWI KUWAAMINI NINYI MILELE NA MMOJA NI MARUFUKU!
 
Hahaha, hivi ukiwa na majenereta mawili ni ufisadi? Na umeme wangu ni 3-phase. Ushauri mwaniwani

aggregate mikongoroko na maximum consumption vitakuhusu kwa sana!

btw, how was your vt day?
 
habari za asubuhi miss chagga?

kamwe haitokaa itokee mwanaume kutulia!

DELILA ALICHOTUFANYIA KWA KIJANA MWENZETU SAMSON NI MFANO HALISI KWAMBA HATUTAKIWI KUWAAMINI NINYI MILELE NA MMOJA NI MARUFUKU!

sasa nyie vitembezeni tuuu kumbe na wewe ujatulia aiseeee
 
sasa nyie vitembezeni tuuu kumbe na wewe ujatulia aiseeee

kutembeza dushe mbona ndo habari ya kariakoo kwa sasa..!

kwanini nijipe stress kuwa na mmoja wakati yeye mwenyewe ana listi ndefu kama mafisadi wa epa!

no way... lazima tuwapange kama foleni ya NMB!
 
Back
Top Bottom