naomba hapoSi umesema haki sawa? anzia kwenye kuomba!
kutembeza dushe mbona ndo habari ya kariakoo kwa sasa..!
kwanini nijipe stress kuwa na mmoja wakati yeye mwenyewe ana listi ndefu kama mafisadi wa epa!
no way... lazima tuwapange kama foleni ya NMB!
What?? mwanaume mwenzangu analizwa hivihivi!!!
siogopi ila sitaki kuomba
Lazima nimlize coz najua anytime nalizwa.
Chukua mama..nimepewa bure tena nimezidishiwa ukubwa natoa bure..wala sina hiyana!
tonykp mzima?
ila we mtoto mmmmbaya wewe!!!
kutembeza dushe mbona ndo habari ya kariakoo kwa sasa..!
kwanini nijipe stress kuwa na mmoja wakati yeye mwenyewe ana listi ndefu kama mafisadi wa epa!
no way... lazima tuwapange kama foleni ya NMB!
kuna pande,kijambazi na fyucha.Yote kwa yote...ila haya majina mnayotupangia siyo!!. generator.?
siombagi game mie
kuna pande,kijambazi na fyucha.
leo utaitwa pande best c unaheraaa.Leo nimemtumia mwanamke hela!! Sijui atakuwa ananiita nani huko aliko?? maana mmmh!!
we ni husband material!haufungamani n upande wowote yani.Hebu sema behind ze scene me unaniiitaje wife.