G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 12,278
- 38,851
Leo asubuhi kaja mfanyakazi mwenzangu (mwanamke) ofisini huku kanuna.Nikamuuliza kulikoni? Yeye akajibu kuwa boyfriend wake hajapokea simu yake tangia leo saa sita usiku.
Baada ya muda kidogo nikamuuliza tena kama ameshawasiliana na huyo boyfriend wake,akajibu kuwa bado hawajawasiliana lakini anaonekana kama yuko 'bize' anachati.Nilipomuuliza kuwa anachati na nani hapo ndipo aliponipa jibu hili tena akiwa serious!
"Nachati na generator..Si unajua tena nyie wanaume wa bongo mpo kama umeme wa Tanesco? any time unakatika kwa hiyo ni lazima uwe na standby generator ili usipate tabu"
Nyie wanawake kweli kazi ipo....Yani mnatu-group huyu generator, huyu line ya tanesco!!.....Mwanaume unajituma kumbe wewe generator umeme ukirudi unazimwa unawekwa kando!!
:shock: :shock: :shock: :shock:
Baada ya muda kidogo nikamuuliza tena kama ameshawasiliana na huyo boyfriend wake,akajibu kuwa bado hawajawasiliana lakini anaonekana kama yuko 'bize' anachati.Nilipomuuliza kuwa anachati na nani hapo ndipo aliponipa jibu hili tena akiwa serious!
"Nachati na generator..Si unajua tena nyie wanaume wa bongo mpo kama umeme wa Tanesco? any time unakatika kwa hiyo ni lazima uwe na standby generator ili usipate tabu"
Nyie wanawake kweli kazi ipo....Yani mnatu-group huyu generator, huyu line ya tanesco!!.....Mwanaume unajituma kumbe wewe generator umeme ukirudi unazimwa unawekwa kando!!
:shock: :shock: :shock: :shock: