Nabii Titto katuletea dini inayoendana na matendo yetu

Nabii Titto katuletea dini inayoendana na matendo yetu

ili husipate ukakasi wakati unasoma maandiko ya BIBLIA, ni vema ukasoma ya kiingereza pale unapoona ya kiswahili kama kuna utata imekupatia maana kiswahili kina maneno machache. ukiona ya kiingereza bado inakupa utata basi soma ya kiebrania ndipo utagundua hakuna sehemu BIBLIA imeruhusu pombe/kilevi. Ibrahim alitembea na mjakazi wake kwa habari ya kupata mtoto maana mkewe Sara alikuwa hana uwezo wa kuzaa huku umri ukiwa unawatupa mkono, swali je nabii tito anasema tutafune mahousegirl kwasababu wake zetu hawana uwezo wa kuzaa? kama sio dhiaka ni nini kusema wenye sura mbaya ni washetani wakati MUNGU ndiye aliyewaumba wote. kwanza divai au mvinyo ni kinywaji kilichotokana na zabibu sasa jiulize hizo safari lager anazoweka kwenye kastuli kake zinapikwa kwa kutumia zabibu? unapiga denda hadharani kweli? unakatika mauno kama shoga vile kweli? unajipodoa na kuvaa heleni mwanaume kweli?. ndio maana huwa tunawadharau wanawake hata kama ndio mama zetu, dada zetu. unakubalije kutumika kijinga na huyo mpumbavu tito?
 
Kuhusu Tito kuamini Yesu ni mwokozi sijui kama aliamini.

Amevuruga imani ya kikristo,sababu msingi wa ukristo unapatikana ktk biblia,hakuna ukristo nje ya biblia.kuhubiri mihemko binafsi kwa kudai ni Mungu ameagiza kupitia bible,ndio kosa la msingi la Tito.

Kuhusu Tito kuamini Yesu ni mwokozi sijui kama aliamini.

Amevuruga imani ya kikristo,sababu msingi wa ukristo unapatikana ktk biblia,hakuna ukristo nje ya biblia.kuhubiri mihemko binafsi kwa kudai ni Mungu ameagiza kupi
Kwani serikali ina dini?
 
Achikia mbali kudhalilisha ukristo, hata wewe ukikata mauno hadharani na mkeo na h/girl wako huku mkipigana mabusu lazima tuwadake tu sababu utatukera sisi tusiotaka kuona mabusu yenu na mkeo na mfanyakazi wako wa ndani hadharani. Mkitaka jifungieni ndani piganeni mabusu nyumba nzima asubuhi hadi jioni hatuna shida na nyie. Kwa hili huyo ashikishwe adabu, nabii uchwara.
 
Kamanda: Unakubali kua ni kweli umefanya makosa?

Nabii Tito: Aah mimi nilikua na...

Kamanda: Jibu swali unakubali kua umefanya makosa?

Nabii Tito: Ila mimi sijaona kosa...

Askari random: Huyu bado mbishi

Nabii Tito: Mi nimeongea yaliyomo kwenye biblia

Kamanda: Mchukueni huyo
hahaaa kwahiyo Jamaa hawataki kujibiwa kwa hoja ??
 
Upolisi Wa siku hizi raha sana. Kwa maana hiyo kama Nabii Tito angemkubalia Kamanda Mroto kwamba alichokifanya ni kosa angeachiwa?
hata mimi mwenyew nimeshangaa aisee ..police hawataki kujibiwa kwa fact
 
Sasa kama Muislamu umeambiwa usidhini, usinywe pombe nawe unatenda utakuwa mfuasi wa TITO tu..
Mkristo ameambiwa asidhini, asinywe pombe, naye anatenda hivyo vitu utakuwa mfuasi wa TITO tu..

Yeye dini yake inaruhusu ngono, pombe na wewe unavifanya sasa unaanzaje kumpinga nabii TITO utakuwa mnafiki tu..
unafiki tena wakiwango cha lami ..ukipita kule kwenye jukwaa LA MMU kuna watu kibao huwa wanatuma post kuwa wamewala wake zawatu ..wameshatembea na ma house girl..wengine walianzisha uzi wao wawapiga gambe ..wapo wanaojisifia kutembea na ma HR ilhali niwake wawatu ..wengine wametembea na wake wa rafiki zao...lakini cha ajabu nawaona ktk huu uzi baadhi yao wakionekana kumpnga Tito...muacheni Jamaa afanye kazi yake bhanaa..kama kweli kazi ya kuhukumu ni ya mungu kama mnavyosema..sasa huyo Tito wamemkamata ili wagundue nini kwamfano ??
 
Why did the policemen arrest him?
itakuwa wamefuata maagizo ya yule mkuu wa RC..maana yeye ndiye mwenye hii nchi..ijpokuwa wanatuzuga kuwa nchi haina dini..but RC ndio director wetu
 
Alichoharibu ni kuihusisha imani yake na dini nyingine.

Maana mtu anayezini/kunywa pombe anajua kabisa kwamba ukristo hamruhusu kufanya hivyo anakosea.hivyo hata huyu mlevi ukija kumwambia maneno yale ya tito hatokuelewa,mtagombana japo naye ni mlevi.

Kwani suala kuruhusu au kuamua mbona RC tunapiga mitulinga kama kawa
 
Kuvuruga imani ya watu.
Swali:Je wewe kama shahidi hapa mahakamani nabii Tito kavuruga imani yako?
Jibu:Ndiyo

Swali:Ielezee mahakama hii jinsi alivyoivuruga imani yako

Jibu😛R ndiyo alisema eti anavuruga imani za watu

N.k
 
Kuhusu Tito kuamini Yesu ni mwokozi sijui kama aliamini.

Amevuruga imani ya kikristo,sababu msingi wa ukristo unapatikana ktk biblia,hakuna ukristo nje ya biblia.kuhubiri mihemko binafsi kwa kudai ni Mungu ameagiza kupitia bible,ndio kosa la msingi la Tito.

Kuhusu Tito kuamini Yesu ni mwokozi sijui kama aliamini.

Amevuruga imani ya kikristo,sababu msingi wa ukristo unapatikana ktk biblia,hakuna ukristo nje ya biblia.kuhubiri mihemko binafsi kwa kudai ni Mungu ameagiza kupi
Kama yesu alitumwa kama nabii na Mungu na aliumbwa na Mungu na nabii Tito nae katumwa na Mungu nabkaumbwa na Mungu,nini kinawafanya muamini nabii wa kuhadtiwa aliyeletwa na wazungu au waarabu kuliko kumuamini nabii Tito mnaemuona kwa macho na kumsikia siyo kuhadithiwa.?

Kweli nabii hakubaliki nyumbani!
 
Kama yesu alitumwa kama nabii na Mungu na aliumbwa na Mungu na nabii Tito nae katumwa na Mungu nabkaumbwa na Mungu,nini kinawafanya muamini nabii wa kuhadtiwa aliyeletwa na wazungu au waarabu kuliko kumuamini nabii Tito mnaemuona kwa macho na kumsikia siyo kuhadithiwa.?

Kweli nabii hakubaliki nyumbani!

kwanza kabla ya yote Yesu hajawahi kuwa nabii,labda hujui maana ya neno nabii.
 
kwanza kabla ya yote Yesu hajawahi kuwa nabii,labda hujui maana ya neno nabii.
Kunatofauti gani kati ya nabii au mtume yesu na mtemi mwanamarundi kwa akili yako?

Kama ni miujiza wote waliifanya kwa nafasi zao sema tu watu weupe miujiza ya yesu waliiandika kwa kupangilia nakuja kuwaraghai nayo waafrika kwa masilahi ya watu weupe .

Mungu hawezi kutuma watu waje watutawale kupitia dini na bado watukomboe kupitia dini hiyohiyo.
 
Kunatofauti gani kati ya nabii au mtume yesu na mtemi mwanamarundi kwa akili yako?

Kama ni miujiza wote waliifanya kwa nafasi zao sema tu watu weupe miujiza ya yesu waliiandika kwa kupangilia nakuja kuwaraghai nayo waafrika kwa masilahi ya watu weupe .

Mungu hawezi kutuma watu waje watutawale kupitia dini na bado watukomboe kupitia dini hiyohiyo.

nabii
mtemi
mtume
 
Back
Top Bottom