The Skunk
Senior Member
- Jan 13, 2018
- 105
- 163
Kuhusu Tito kuamini Yesu ni mwokozi sijui kama aliamini.
Amevuruga imani ya kikristo,sababu msingi wa ukristo unapatikana ktk biblia,hakuna ukristo nje ya biblia.kuhubiri mihemko binafsi kwa kudai ni Mungu ameagiza kupitia bible,ndio kosa la msingi la Tito.
Kuhusu Tito kuamini Yesu ni mwokozi sijui kama aliamini.
Amevuruga imani ya kikristo,sababu msingi wa ukristo unapatikana ktk biblia,hakuna ukristo nje ya biblia.kuhubiri mihemko binafsi kwa kudai ni Mungu ameagiza kupi
Maandiko aliyokuwa akitoa yahakuwepo kwenye biblia?