Nabii Titto katuletea dini inayoendana na matendo yetu

Nabii Titto katuletea dini inayoendana na matendo yetu

Kuhusu Tito kuamini Yesu ni mwokozi sijui kama aliamini.

Amevuruga imani ya kikristo,sababu msingi wa ukristo unapatikana ktk biblia,hakuna ukristo nje ya biblia.kuhubiri mihemko binafsi kwa kudai ni Mungu ameagiza kupitia bible,ndio kosa la msingi la Tito.

Kuhusu Tito kuamini Yesu ni mwokozi sijui kama aliamini.

Amevuruga imani ya kikristo,sababu msingi wa ukristo unapatikana ktk biblia,hakuna ukristo nje ya biblia.kuhubiri mihemko binafsi kwa kudai ni Mungu ameagiza kupi

Maandiko aliyokuwa akitoa yahakuwepo kwenye biblia?
 
Kamanda: Unakubali kua ni kweli umefanya makosa?

Nabii Tito: Aah mimi nilikua na...

Kamanda: Jibu swali unakubali kua umefanya makosa?

Nabii Tito: Ila mimi sijaona kosa...

Askari random: Huyu bado mbishi

Nabii Tito: Mi nimeongea yaliyomo kwenye biblia

Kamanda: Mchukueni huyo
Upolisi Wa siku hizi raha sana. Kwa maana hiyo kama Nabii Tito angemkubalia Kamanda Mroto kwamba alichokifanya ni kosa angeachiwa?
 
Kuhusu Tito kuamini Yesu ni mwokozi sijui kama aliamini.

Amevuruga imani ya kikristo,sababu msingi wa ukristo unapatikana ktk biblia,hakuna ukristo nje ya biblia.kuhubiri mihemko binafsi kwa kudai ni Mungu ameagiza kupitia bible,ndio kosa la msingi la Tito.

Kuhusu Tito kuamini Yesu ni mwokozi sijui kama aliamini.

Amevuruga imani ya kikristo,sababu msingi wa ukristo unapatikana ktk biblia,hakuna ukristo nje ya biblia.kuhubiri mihemko binafsi kwa kudai ni Mungu ameagiza kupi

Kwani vilivyoandikwa kwenye biblia hakuna maagizo au maelekezo kutoka kwa mwenyezi Mungu?
 
Kiukweli...Mimi simuungi mkono Nabii Titto kwa anayoyafanya....lakin pia simpingi sana.

Sasa Leo hii watu wengi tunapombeka...na pia tutatembea na vijakazi...pia ...nakufanya mapenzi ..na wanawake ambao atujawaoa ...tunafanya tu sana.

Kwaiyo nabii Tito kaona ..atuletee dini inayoendana na matendo...yetu...maana hii dini ya Uislam,ukiristo imetushinda kufata misingi yake.

Truth will set u free.
As a president elect of Tanzania the very first thing i wl do to my beautful shithole african country is to close all churches we have here, they serve no purpose in the civilized society ....back then they were used to control and manage slaves!
The mordern church is hijacked by a capitalist men of GOD who collect from poor to buld upstairs and buy private jets and fallen cars, leaving their followers on the mercy of hunger.I will pass a law to close all the churches Mandatorily.No stone will be left un turned.Not even the catholic which is the biggest.
Black people needs to work, work, work not Worshping an imaginary white guy who allowed us to be enslaved before.
Churches should help people not people helping churches like whats happening in africa.
 
As a president elect of Tanzania the very first thing i wl do to my beautful shithole african country is to close all churches we have here, they serve no purpose in the civilized society ....back then they were used to control and manage slaves!
The mordern church is hijacked by a capitalist men of GOD who collect from poor to buld upstairs and buy private jets and fallen cars, leaving their followers on the mercy of hunger.I will pass a law to close all the churches Mandatorily.No stone will be left un turned.Not even the catholic which is the biggest.
Black people needs to work, work, work not Worshping an imaginary white guy who allowed us to be enslaved before.
Churches should help people not people helping churches like whats happening in africa.
Fact
 
Tukumbushane dini zinazokataza pombe waziwazi hapa
 
Kiukweli...Mimi simuungi mkono Nabii Titto kwa anayoyafanya....lakin pia simpingi sana.

Sasa Leo hii watu wengi tunapombeka...na pia tutatembea na vijakazi...pia ...nakufanya mapenzi ..na wanawake ambao atujawaoa ...tunafanya tu sana.

Kwaiyo nabii Tito kaona ..atuletee dini inayoendana na matendo...yetu...maana hii dini ya Uislam,ukiristo imetushinda kufata misingi yake.

Truth will set u free.
Mkuu huo ni ukweli mtupu tunampinga hadharani lakini tunatekeleza imani yake mafichoni.
 
Back
Top Bottom