choupa moting
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,508
- 2,577
HABARI,
"choupa moting,
Sasa usitumie lugha ya uchochezi unaposema ukristo upo nyororo huoni umetuma lugha ya kuudhi kama ulikosea rekebisha pale kwanza ili watakaokuja wasione ile wakatoa maneno makali dhidi ya dini nyingine kwani hilo neno kama umemaanisha dini inamaana na waumini wake pia.Rekebisha pale kwanza usitegemee kupata hoja ya msingi kwakutumia lile neno.Mimi hata ukiniita jina gani siwezi kasirika nimeshaitwa mengi kama hilo la ubongo wa Tishu N.K
Kwa maneno yako tu hayo unaonekani sio mtu wa kutoa au kujenga au kusikiliza hoja ila ni maneno ya kuudhi tu hizo ndizo hoja unaozo taka?Hatujengi tunabomoa kama ulikosema unasema unaeleweka mbona watu wengi humu wanakosea nikiwemo mimi tukisahihiswa tunakubali sasa wewe jamaa Duh,
LUMUMBA
Km umeudhika samahani sana ndugu yngu sikuwa na lengo la kukuudhi au kukukwaza.
Niliposema nyororo nilimaanisha kimakatazo. Ukiristu hauna makatazo strong na ndio maana watu wake wanafanya wanayoona nafsi zao znataka.