mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,086
- 39,579
Manabii walishapita karne na karne huko. Hawa wanaoibuka sasa hv ni wahuni na wachumia tumbo. Hilo mnalijua ila mnataka kujifanya hamjui tu. Manabii mungu mwenyew huaandaa kabla hata hawajazaliwa. Hawatend dhambi wala kujihusisha na matendo ya dhambi hii inakua rahis kuwafanya watu waweze kuwaamini wanayowaambia kulko akiwa mwanadam wa kawaida ambaye ameshafanya ujinga kibao then aje ajiite nabii. Hawa manabii wenu wa sasa hv ukiangalia historia zao huko nyuma ni mashaka matupu, wengi wameshazini na inawezekana mpaka sasa hv wanaendelea kuzin, wameshaiba, wameshakusengenya, wameshakula mali za haramu na vitu vingne kibao leo anakuja anajiita nabii, hebu tuwe wakwel jaman, unaamini vp uwepo wa manabii kwa karbe hiz?
Wewe nabii wako ni yupi????maana maana ninaowajua walitenda dhambi wote kwa udhaifu wa kibinaadamu.so usimpangie Mungu cha kuamua.
Hata Tito anaweza kuwa nabii,swala ni lini itafahamika.