Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,198
- 166,200
Karibu sana Mchungaji JerrymsigwaNabii Bujibuji [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Karibu sana Mchungaji JerrymsigwaNabii Bujibuji [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Alichoharibu ni kuihusisha imani yake na dini nyingine.
Maana mtu anayezini/kunywa pombe anajua kabisa kwamba ukristo hamruhusu kufanya hivyo anakosea.hivyo hata huyu mlevi ukija kumwambia maneno yale ya tito hatokuelewa,mtagombana japo naye ni mlevi.
Hiv kweli ukristu hauruhusu kuzini au kunywa pombe? Divai ni nn mkuu, hebu nieleweshe. Mbona wakristu suala la pombe limekua kawaida sana mpaka ktk hata hafla zao za kidini pombe znakuwepo? Mvinyo sio pombe? Huku ktk kuzini ndio balaaa zaid. Ukristu unafungisha ndoa mwanamke kabisa ana mimba, mchungaji au anayefungisha ndoa hyo anajua kabsa huyu kazini ndio kapata mimba hyo na hampi kakipio lolote, imekua tabia ya kawaida mpaka wasiokua wakristu wanaiga. Kuna wengine wanaishi na mke miaka nenda rudi then unaambiwa wanaenda kubariki ndoa, ile sio ku-certify uzinz? Kanisa limekataza vp haya mambo mbona wanayaacha vizaz na vizaz yanayaiga? Asilimia 80 ya vijana wanaohudhuria ibada makanisani ni vimada na wanatoka kulala pamoja kabsa then asubuh wanaingia kanisani kwel kanisa halijui haya? Je wanakatazaje? Naomba elimu juu ya haya mambo mawili. Napata shaka sana kusikia ukristu unakataza pombe na uzinz.
Kwani nabii yukoje mkuu!!!!Hiz tabia za kuitana manabii ndio matunda yake haya. Ukiristu uko nyororo sana hii dini, tukubali imeegemea kidunia sana na ndio maana hata sheria zake hutungwa kwa kuangalia nafuu ya mwanadam. Hivi manabii wamepita tokea enzi hizo leo hii mtu na akili zako unakuja kuamini kuna manabii. Eti masanja mkandamizaji yule mchekeshaji ni nabii dah jaman muogopeni mungu jaman. Sasa kwanini mumkatae tito kubalini tu.
Mungu haruhusu kuzini wala kunywa pombe.
Divai na mvinyo utokanao na zabibu.
Ukristo haujawahi kumfungisha mtu ndoa ya jinsia moja,na hili swala halijawahi kuwa la kawaida.
Ndoa ni nini kwani mkuu???kazi ya kanisa au ukristo sio kuhukumu ndugu,Mungu pekee.
Una mambo mengi yanakuchanganya kiasi umeshindwa kuandika vizuri.
nani kakudanganya ukristo unakataza pombe?Alichoharibu ni kuihusisha imani yake na dini nyingine.
Maana mtu anayezini/kunywa pombe anajua kabisa kwamba ukristo hamruhusu kufanya hivyo anakosea.hivyo hata huyu mlevi ukija kumwambia maneno yale ya tito hatokuelewa,mtagombana japo naye ni mlevi.
Hiz tabia za kuitana manabii ndio matunda yake haya. Ukiristu uko nyororo sana hii dini, tukubali imeegemea kidunia sana na ndio maana hata sheria zake hutungwa kwa kuangalia nafuu ya mwanadam. Hivi manabii wamepita tokea enzi hizo leo hii mtu na akili zako unakuja kuamini kuna manabii. Eti masanja mkandamizaji yule mchekeshaji ni nabii dah jaman muogopeni mungu jaman. Sasa kwanini mumkatae tito kubalini tu.
kwenye biblia kuna neno kunyweni lakini msilewe....sasa ni nini kinacholewesha zaidi ya pombe....Mungu haruhusu kuzini wala kunywa pombe.
Divai na mvinyo utokanao na zabibu.
Ukristo haujawahi kumfungisha mtu ndoa ya jinsia moja,na hili swala halijawahi kuwa la kawaida.
Ndoa ni nini kwani mkuu???kazi ya kanisa au ukristo sio kuhukumu ndugu,Mungu pekee.
Una mambo mengi yanakuchanganya kiasi umeshindwa kuandika vizuri.
HABARI,
"choupa moting,
Kwahiyo ni heri uislam ulio imara wa kuchinja watu kama IS au sio.
LUMUMBA
Mbona mpishi wa pombe halewi???kwenye biblia kuna neno kunyweni lakini msilewe....sasa ni nini kinacholewesha zaidi ya pombe....
Kwani nabii yukoje mkuu!!!!