huyu flora nilipanga kumuanzishia uzi muda mrefu xema nikapotezea
iko hivi ilikuwa ni likizo flan ndo nafunga chuo semeater ya pili nimekaa home km siku3 hiv nikiset mipango yang;broo jion ananipgia cm bn njoo hom huk mbez dogo amerauka/mwanae yaan km ana mapepo,wamempeleka kwa nabii flora salala,nikachukua bajaji mpk salasala nakuta wamemfunga kamba kwny moja ya machuma/mlingon ndan ya kanixa lak pemben ktk kit ukiwa unaingia kanisani
nikaanza kuhoj pale inakuwaj ndo shem ananiambia ooohh nabii katupa stika tuwek kweny maji anywe na nyingine awe anazungushia kichwani ili majin yaondoke;hiyo stika unayoion hapo moja n sh 5000 kwa hy mbil hiz n 10000.Stika imetengenezwa ktk mtindo wa karatas ngum na ina picha yake den unaizunguusha unaiwek kwny kopo la maji ndo unakunywa na ukiend hat nyumbani unachangany na maji ya kuoga na kumwagia sehem nyingine ya nyumba kwatafsir yak kwmb yanatok;nikahoji ufanyaji kaz wake nikaon cpati jib
tukaw kila jion xx tunahudhuria maombi nikashangaa kuwaona wamama watu wazima xn ndo wahudhuriaji wakubwa na kwa kuwachek wale wa mama ni watu wa mikoani walioweka kambi pale na wa naume kadhaa jamaa wa kupiga kinanda,mzee mmoja anaemsaidia huyo nabii,madogo flani nao wamikoa kwa kuwachek na wading wawil ambao wake zao nadhan wako kwny wazee wa kanisa,kuz kila zile sadaka zilpotolewa zilihesabiwa pale wale wamama na wadada wengine wakipewa chao/fair hao ndo wanaondoka
nikauliza hili kanisa mbona lina wanawake wengi,au wanawak ndo weny hofu ya mungu,n mbona watu wazima xn????
tukimpeleka kanixan km yanatulia kidg dn tukifika hom wemb ule ule,ukiend kwa nabii kuna private maomb na unatangaziwa uwe na sadaka yako mkononi ndo ukaombew
broo akawa anafany hivyo bt mm nikaon usanii mtupu
xx balaa ck nyngn dg akapndsh akaw anamfuat flora kwa nguv zote kumvamia nikasema huy akimvaa bas atamchanan kuz huyo nabii amejichubua mpk mishipa inaonekan,watu wakamshika wale wanaume na wanawak kadhaa ,flora naon anahem kw speed ;funga hayo mapepo kule(kwa saut ya nabii flora)
baadae tukarudi hom dog akapandish majin akaanz kusem yule nabii mwenyew anawatupia majin watu nilitak nimuumbue pale bahati yak;akaongea vitu ving xn,akaw anafany ishar nying na matendo ya ajab ambayo yaliwashangaz weng
nikamwambia bro hapo hz nguv ambz huend huy dg alipoend kwao tanga kw mama yak alichanjiwa xx nguv hixo xx ndo zinaibuka;cha msingi hapa ni kutafuta another mechanism tuangalie jins gan ya kuweza kusolve lacvyo tutahangaika makanisa yote;kwel akaufanyia kaz nw gd hakun shida tatzo tukalisolve
##kwa nabii flora kulikuwa na dem nmoja white hiv cute xn alikuw anapandisha xn kuulizia pale akaw anasem kaolewa na jini hat asubuhi cjui jin kamletea hela atumie ,mboyoyo kibao!
kuna kipind wakat wa maomb wale wamama wenyw wanajion wamekolea maomb mpk wanajiangusha chini;nikaobserv kumbe kuna watu wapo pale ktk kuigiza miracle
nabii akiingia anaingia na jamaa mmoja hiv kitamb kikubw km mbwiga ;flora ndo anamuwekea huyo jamaa mkono wak kweny bega wanatemvea mpk mbele pale,akishamfikisha jamaa anatoka nje anatulia o anakaa mule mule ndan anachezea cm wakimaliza wanatok mlango wa chin,kwa mbele anakohubir kuna mlango wa nyuma uko kwa chin kwajil ya kutokea nje
##cku hizo ambazo nilikuwa nahudhuria kimiyeyusho ndo hzo cku nae yule aliyefukuzwaga kazi huko bukoba yule trafki aliyekula denda na sare za jeshi la polisi nae alikuwa anakuj kuombewa;nabii akamtaj jina sijui fred nan mnamuon huyo, huyu ni kijana wang na hiyo kazi ameipatia hapa na punde anarud kazin piga kelele kwake.
akatangaza sabuni zake kuz huwa anazigawa jumapil kuz watu ndo weng kupiga mpunga weekl dyz wat wachache so biashara haitafanyika vizuri
##kuna vingi sijaviandika nikipata wasaa nitaleta uzi wake