Nabii Flora Peter wa Mbezi Beach...

Nabii Flora Peter wa Mbezi Beach...

Tuna mengi ya kujifunza, hofu ya kufeli juu ya jambo fulani inayotutawala kuliko hata hofu ya kifo imani uliyo nayo huanza kutoweka.
 
Bwana wetu Yesu Kristo hakuwa na dini kwa hiyo hakuhitaji kubadili dini.Yeye yuko juu ya dini.Dini ni mawazo ya binadamu tu, kwa hiyo hayana uhusiano na Bwana Yesu.Na kuhusu kuokoka, yeye hakuhitaji kuokoka,kwa kuwa yeye mwenyewe ndiye huo wokovu.

Wagalatia nyie mpaka Paulo aliwashangaa !
 
yesu hakua na dhehebu, alikua mkristo alie kamili

Yesu hakuwa na dini wala hakuwa mkristo, tumeitwa wakristo kwasababu sisi ni wafuasi wa Yesu Kristo.

Yesu ni njia kweli na uzima, hakuna mtu awaye yote aweza kwenda mbinguni pasi na Yesu Kristo.
 
Ndio maana watu wengi wanakata tamaa na dini. Sasa wewe na uchafu wote unaoandika hapa forum eti unasali kwa nabii halafu tena amekusaidia? Basi atakuwa ni Lusifa mwenyewe na wewe ni ibilisi
Mkuu nafikiri humtendei haki muhusika,yeye kaeleza alicho ulizwa na anacho kifahamu kuhusu Flora,sasa mambo ya Lusifa na Ibilisi umeyaibua wapi?
 
Yesu hakuwa na dini wala hakuwa mkristo, tumeitwa wakristo kwasababu sisi ni wafuasi wa Yesu Kristo.

Yesu ni njia kweli na uzima, hakuna mtu awaye yote aweza kwenda mbinguni pasi na Yesu Kristo.

Hata Paulo huwa hawaelewi !
 
Nakushauri uende mwenyewe ujionee..mengi yanaongewa kuhusu mausanii..ila wapo wanashuhuda..nakushauri popote utakapoenda kufuata maombezi..muombe mungu kwanza akuongoze na sio watu wakuongoze..na kama neno la mungu linavyosema amani ya kristo iamue ndani yenu..ukiona huna amani jua sio penyewe...angalizo ibada za kutumia maji, sabuni sijaona ufunuo ktt neno..ila mtu ukiamua kuamini hata udongo unafanya kazi ..kazi kwako!
 
Mi nachojua ni kuwa kajichubua!! Sasa sijui ndio masharti ya kupakwa mafuta hayo??
 
Back
Top Bottom