Naapa kujiua

Naapa kujiua

Status
Not open for further replies.
Watu wanaishi kwny nchi zenye vita ndani ntiti nje ntiti na bado hawatoki nje kuface mabomu wafe ijekua,ww unaishi kwny nchi imetulia unashindwa kwenda hata huko ziwani pembezon ulime bustan yako utoboe. Ila pole sana kwa changamoto,acha kujiua hujui kesho kutakuchwaje
 
Kama utahisi masihara basi we hisi hivyo, ila me ndo nimeamua hivyo,

Nimefaulu vizuri ila shule nimeshindwa kwenda kwa hali ngumu, napambana na maisha lakini mwangaza siuoni, sina mbele wala nyuma, wachawi kila siku wananiwinda ili kunirudisha nyuma

Mama yangu ananipenda ila hana maisha na ana hali ngumu huku akinitegemea pamoja na mdogo wangu,

Baba yangu hana msaada na mimi na pia hana chochote, kiukweli nahisi nilizaliwa KIMAKOSA TU

sioni haja ya kuishi
Usikate tamaa,vumilia,kujiua ni hasara ya nafsi yako milele,humkomoi mtu,jipe moyo,pambana kiume,maadam wewe umeona katika familia kuna umaskini,sasa sikia Mungu anataka wewe upambane uitoe familia hapo ilipo na kuiandikia historia mpya,jipe moyo unaweza,jiulize ukikata tamaa wewe unawaangusha watu wangapi nyuma yako,wengi tu,pia mama,baba,na ndugu zako utawatia huzuni na masikitiko makubwa
 
Huna haja ya kujiua. Maisha yanakuandaa kwaajiri ya stage mpya ambayo kwa sasa haupo tayari kuiingia ukiwa laini kiasi hicho.

Hakuna mtu anazaliwa duniani bila kuwa na sababu unless achague yeye kutokutumikia nafasi yake.

Kuna watu wanasubiria ujitambue, ufunguke ili wao ndipo waanze kuishi. Ukijiua na hao watu utakuwa umewaponza. So acha kujiuliza maswali ambayo huwezi kujijibu. Focus.
 
Mi mwenzio ni kama wewe tu nipo zangu uku morogoro najilimiaa zangu mpunga nimeanza last year lakini nimejiozesha saaa hiv npo nakafamilia kangu hapa mke na mtoto mmoja wa kiume tumefanana kweli na kana tabasamu zuri katoto kangu ka miezi 3

Nilikuja uku nikalima ekr 1 nikapata gunia 19 saiv nimenunua aset za ndani na mimepanga chumba na seble japo ni kijijin ila umeme na maji vpo tumejiwekea chakula cha kutosha misimu miwili na akiba ya pesa tujitibie tukiumwa.

Saivi na watch movie na familia yangu tukiwa wenye furaha tele uku nikisubiri masika nilime tena

We unataka kujiua shauri yako

Nb, nimetimuliwa chuo kwa kukosa ada mwaka jana (ningekuwa mwaka wa pili) na mwaka jana huo huo nikaondokewa na mama yangu mzazi.
Me hata mtaji sina baba angu, ningekuja hata huko kijijini kutafuta maana sichagui kazi
 
Haya haya msiba wa kijana tyari kalamba nyongo ya mamba wananzengo tupo na chepeo apa futi 6 chini tunachimba kwa juhudi.

Msibani chakula Ni lazima haijalishi hata Kama ulikufa kwa njaa.
 
Arabic quotes says ,
We don't always want to kill ourselves but we want to kill something inside our hearts
 
Honga kwanza hiyo smartphone unayotumia kuingia JF alafu uendelee na ishu za kujiua.
Mpuuzi wewe eti kujiua Kuna watu wanashida kama Yanga msimu huu, wewe unasuburi
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Anaejiua uwa aaingii jamiiforums kuutangazia umma ...wewe fanya yako watazika tu shida ipo wapi???
 
Kama utahisi masihara basi we hisi hivyo, ila me ndo nimeamua hivyo,

Nimefaulu vizuri ila shule nimeshindwa kwenda kwa hali ngumu, napambana na maisha lakini mwangaza siuoni, sina mbele wala nyuma, wachawi kila siku wananiwinda ili kunirudisha nyuma

Mama yangu ananipenda ila hana maisha na ana hali ngumu huku akinitegemea pamoja na mdogo wangu,

Baba yangu hana msaada na mimi na pia hana chochote, kiukweli nahisi nilizaliwa KIMAKOSA TU

sioni haja ya kuishi
Hamia Yanga wewe! Huko uliko utaishi na stress maisha yako yote.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom