Naapa kujiua

Naapa kujiua

Status
Not open for further replies.
Please 🙏 usijiuwe, serikali haipendi, itakufungulia mashtaka kama ukifeli
 
Kama utahisi masihara basi we hisi hivyo, ila me ndo nimeamua hivyo,

Nimefaulu vizuri ila shule nimeshindwa kwenda kwa hali ngumu, napambana na maisha lakini mwangaza siuoni, sina mbele wala nyuma, wachawi kila siku wananiwinda ili kunirudisha nyuma

Mama yangu ananipenda ila hana maisha na ana hali ngumu huku akinitegemea pamoja na mdogo wangu,

Baba yangu hana msaada na mimi na pia hana chochote, kiukweli nahisi nilizaliwa KIMAKOSA TU

sioni haja ya kuishi

Umesema mama yako anakupenda na ana hali ngumu ya maisha huku mdogo wako akikutegemea ukifanya uamuz unaotaka kuufanya huoni kama utawapa masononeko mama yako na mdogo wako?huoni kama wataishi maisha ya kujutia maisha yao yote.unapotaka kufanya uamuzi wowote mbaya angalia wa nyuma yako just fikiria maumivu watakayokuwa nayo maisha yao yote.pambana my dear ili kuwasaidia mama na mdogo wako usifanye hicho unachakitaka sababu utawaumiza sana mioyoni mwao
 
Kama utahisi masihara basi we hisi hivyo, ila me ndo nimeamua hivyo,

Nimefaulu vizuri ila shule nimeshindwa kwenda kwa hali ngumu, napambana na maisha lakini mwangaza siuoni, sina mbele wala nyuma, wachawi kila siku wananiwinda ili kunirudisha nyuma

Mama yangu ananipenda ila hana maisha na ana hali ngumu huku akinitegemea pamoja na mdogo wangu,

Baba yangu hana msaada na mimi na pia hana chochote, kiukweli nahisi nilizaliwa KIMAKOSA TU

sioni haja ya kuishi
 
Kama utahisi masihara basi we hisi hivyo, ila me ndo nimeamua hivyo,

Nimefaulu vizuri ila shule nimeshindwa kwenda kwa hali ngumu, napambana na maisha lakini mwangaza siuoni, sina mbele wala nyuma, wachawi kila siku wananiwinda ili kunirudisha nyuma

Mama yangu ananipenda ila hana maisha na ana hali ngumu huku akinitegemea pamoja na mdogo wangu,

Baba yangu hana msaada na mimi na pia hana chochote, kiukweli nahisi nilizaliwa KIMAKOSA TU

sioni haja ya kuishi
Screenshot_2022-10-17-17-41-24-522_org.mozilla.firefox~2.jpg
 
Upo mkoa Gani? Mimi ni Mtafutaji kama wewe Bado nahamgaika na maisha, Ila Nina nyumba kijijini mkoa X, Kuna Solar kubwa Sana, Kuna eneo kubwa la kulima, nyumba ya Chumba na sebule imeisha tayari, Kuna mabanda ya kuku pia, unaweza Fuga na kulima pia, ukachajisha simu maana umeme haujafika huko, nitakupa ukakae Bure kabisa, maana msoto wa mtaa naujua na nimeuishi Sana, achana na mawazo ya kurudisha namba mbinguni

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Akishakaa siku ya kumtoa hataki tena 😂😂 panakuwa kwake andikishana mkataba kabisa
 
Nyuzi za Kipwayungu hizi....oya mzee kisichokuua kinakukomaza kiaskari
 
Haya matukio yaanza kurudi tena JF
Hiki ni kiashiria cha wazi kwamba hali ya maisha ni mbaya.
Bolt zimekaza kiasi kwamba zinakatika moja baada ya nyingine.

Kwa serikali makini hiki ni king'ora cha hatari na ingechukua hatua haraka...ila ndio hivyo tena, ccm wako busy kumsifu Hangaya tu kuanzia asubuhi mpaka usiku.
 
  • Thanks
Reactions: naa
Mi mwenzio ni kama wewe tu nipo zangu uku morogoro najilimiaa zangu mpunga nimeanza last year lakini nimejiozesha saaa hiv npo nakafamilia kangu hapa mke na mtoto mmoja wa kiume tumefanana kweli na kana tabasamu zuri katoto kangu ka miezi 3

Nilikuja uku nikalima ekr 1 nikapata gunia 19 saiv nimenunua aset za ndani na mimepanga chumba na seble japo ni kijijin ila umeme na maji vpo tumejiwekea chakula cha kutosha misimu miwili na akiba ya pesa tujitibie tukiumwa.

Saivi na watch movie na familia yangu tukiwa wenye furaha tele uku nikisubiri masika nilime tena

We unataka kujiua shauri yako

Nb, nimetimuliwa chuo kwa kukosa ada mwaka jana (ningekuwa mwaka wa pili) na mwaka jana huo huo nikaondokewa na mama yangu mzazi.
Hongera kijana kwa kupambana
 
Kama utahisi masihara basi we hisi hivyo, ila me ndo nimeamua hivyo,

Nimefaulu vizuri ila shule nimeshindwa kwenda kwa hali ngumu, napambana na maisha lakini mwangaza siuoni, sina mbele wala nyuma, wachawi kila siku wananiwinda ili kunirudisha nyuma

Mama yangu ananipenda ila hana maisha na ana hali ngumu huku akinitegemea pamoja na mdogo wangu,

Baba yangu hana msaada na mimi na pia hana chochote, kiukweli nahisi nilizaliwa KIMAKOSA TU

sioni haja ya kuishi
Kwahiyo huu ndio waraka wako wa mwisho kama bwana katibu🤣🤣🤣, acha ujinga, ukifa ni hasara ya nani? Ni mama yako alijituma kukulea hadi umekuja akiamini wewe ndio jembe lake la kumsogeza atua moja ya maendeleo, angekuwa mjinga kama wewe si angekuwa tangu anakuzaa... Ukienda msaisalimie bwana katibu.. Najua mtakua mahabusu moja.. Mwambie waraka wake na yeye haukueleweka, arudi auweke vizuri🤣🤣
 
Wewe ni mzembe, mvivu na mwoga. Anyway msalimie mwonga mwenzio katibu
 
Hala hala uende na bundle la kutosha maana hamna WiFi hukooo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom