Naapa kujiua

Naapa kujiua

Status
Not open for further replies.
Kama utahisi masihara basi we hisi hivyo, ila me ndo nimeamua hivyo,

Nimefaulu vizuri ila shule nimeshindwa kwenda kwa hali ngumu, napambana na maisha lakini mwangaza siuoni, sina mbele wala nyuma, wachawi kila siku wananiwinda ili kunirudisha nyuma

Mama yangu ananipenda ila hana maisha na ana hali ngumu huku akinitegemea pamoja na mdogo wangu,

Baba yangu hana msaada na mimi na pia hana chochote, kiukweli nahisi nilizaliwa KIMAKOSA TU

sioni haja ya kuishi
Umeona ukisema kujiua watu watakuonea huruma ukahaki account zao sio? 😅
 
Kama utahisi masihara basi we hisi hivyo, ila me ndo nimeamua hivyo,

Nimefaulu vizuri ila shule nimeshindwa kwenda kwa hali ngumu, napambana na maisha lakini mwangaza siuoni, sina mbele wala nyuma, wachawi kila siku wananiwinda ili kunirudisha nyuma

Mama yangu ananipenda ila hana maisha na ana hali ngumu huku akinitegemea pamoja na mdogo wangu,

Baba yangu hana msaada na mimi na pia hana chochote, kiukweli nahisi nilizaliwa KIMAKOSA TU

sioni haja ya kuishi
Pole mzee maisha unayoyaacha yana afadhali kuliko unayoyakimbilia unajua ni kwa nini? Kwa sababu haya maisha unayajua kuwa ni magumu nk ila hayo unayoyakimbilia hujui yakoje.
 
We jitundike tu, watu tumepigwa na life na bado tunavimba tu shule tumesoma ila ajira hamna na tunapambana acha ufara unakufaje kizembe, nyie ndo machoko life ikikuchapa unauza mali ya serikali
 
Kama utahisi masihara basi we hisi hivyo, ila me ndo nimeamua hivyo,

Nimefaulu vizuri ila shule nimeshindwa kwenda kwa hali ngumu, napambana na maisha lakini mwangaza siuoni, sina mbele wala nyuma, wachawi kila siku wananiwinda ili kunirudisha nyuma

Mama yangu ananipenda ila hana maisha na ana hali ngumu huku akinitegemea pamoja na mdogo wangu,

Baba yangu hana msaada na mimi na pia hana chochote, kiukweli nahisi nilizaliwa KIMAKOSA TU

sioni haja ya kuishi
Kuishi vizuri sio lazima uende shule, maadam unajua kusoma na kuandika tayari una mwanga wa kuingia mtaani na kupambana, tafuta hela mzee kwa namna yoyote, Shigongo amepata degree akiwa mtu mzima kbs. Mawazo ya kujinyonga ni mawazo dhaifu, najua ulitaman na uliamini njia rahisi ya mafanikio yako ni kwenda shule, nature imekukatalia, iheshimu ifuate inakokupeleka utafika mahali pazuri tu.

All the best broh
 
Kujiua ni kama tu kumpuuza Mungu.

Maelfu ya Watu wanakufa kila kukicha kwa majanga, magonjwa n.k...sasa kwa nini wewe usiheshimu muda unaoachiwe uendelee kuwepo?

Amini usiamini hakuna unachokikimbia kwa kujitoa uhai na kuna kila dalili kuwa huko utakapofika hayo uliyoyakimbia yanaanza mwanzo.

Cha kutambua ni kwamba kila muda unaoachwa uwepo una thamani kubwa, ni sekunde moja tu iliyopo mbele yako inaweza kubadilisha kila kitu...kutoka 0 mpaka bilioni moja.

Kama umekuwa na uthubutu wa kufikiria kujiua ni vipi ukose uthubutu wa kuomba msaada kiungwana tu? Nchi tupo milioni zaidi ya hamsini yupo atakayekusaidia eidha kwa mali au kwa hali.
 
Kama utahisi masihara basi we hisi hivyo, ila me ndo nimeamua hivyo,

Nimefaulu vizuri ila shule nimeshindwa kwenda kwa hali ngumu, napambana na maisha lakini mwangaza siuoni, sina mbele wala nyuma, wachawi kila siku wananiwinda ili kunirudisha nyuma

Mama yangu ananipenda ila hana maisha na ana hali ngumu huku akinitegemea pamoja na mdogo wangu,

Baba yangu hana msaada na mimi na pia hana chochote, kiukweli nahisi nilizaliwa KIMAKOSA TU

sioni haja ya kuishi
ukifika huko msalimie katibu wa masanja
 
Tunda la goroko77 linakufanya ujiue?
Screenshot_20221017-141223.png
 
Kama utahisi masihara basi we hisi hivyo, ila me ndo nimeamua hivyo,

Nimefaulu vizuri ila shule nimeshindwa kwenda kwa hali ngumu, napambana na maisha lakini mwangaza siuoni, sina mbele wala nyuma, wachawi kila siku wananiwinda ili kunirudisha nyuma

Mama yangu ananipenda ila hana maisha na ana hali ngumu huku akinitegemea pamoja na mdogo wangu,

Baba yangu hana msaada na mimi na pia hana chochote, kiukweli nahisi nilizaliwa KIMAKOSA TU

sioni haja ya kuishi
Poa ukijiua tujuze
 
Kama utahisi masihara basi we hisi hivyo, ila me ndo nimeamua hivyo,

Nimefaulu vizuri ila shule nimeshindwa kwenda kwa hali ngumu, napambana na maisha lakini mwangaza siuoni, sina mbele wala nyuma, wachawi kila siku wananiwinda ili kunirudisha nyuma

Mama yangu ananipenda ila hana maisha na ana hali ngumu huku akinitegemea pamoja na mdogo wangu,

Baba yangu hana msaada na mimi na pia hana chochote, kiukweli nahisi nilizaliwa KIMAKOSA TU

sioni haja ya kuishi
Mi mwenzio ni kama wewe tu nipo zangu uku morogoro najilimiaa zangu mpunga nimeanza last year lakini nimejiozesha saaa hiv npo nakafamilia kangu hapa mke na mtoto mmoja wa kiume tumefanana kweli na kana tabasamu zuri katoto kangu ka miezi 3

Nilikuja uku nikalima ekr 1 nikapata gunia 19 saiv nimenunua aset za ndani na mimepanga chumba na seble japo ni kijijin ila umeme na maji vpo tumejiwekea chakula cha kutosha misimu miwili na akiba ya pesa tujitibie tukiumwa.

Saivi na watch movie na familia yangu tukiwa wenye furaha tele uku nikisubiri masika nilime tena

We unataka kujiua shauri yako

Nb, nimetimuliwa chuo kwa kukosa ada mwaka jana (ningekuwa mwaka wa pili) na mwaka jana huo huo nikaondokewa na mama yangu mzazi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom