Naapa kujiua

Naapa kujiua

Status
Not open for further replies.
Ila jf banamuda sio mrefu umesema unachakata mbusus bila malipo wakufate pm
Muda huu unataka kujiua
Ni wamekataa kuja pm au
IMG_5196.png

Anyway usijiuwe mkuu maisha haya ni kupambana
 
Kama utahisi masihara basi we hisi hivyo, ila me ndo nimeamua hivyo,

Nimefaulu vizuri ila shule nimeshindwa kwenda kwa hali ngumu, napambana na maisha lakini mwangaza siuoni, sina mbele wala nyuma, wachawi kila siku wananiwinda ili kunirudisha nyuma

Mama yangu ananipenda ila hana maisha na ana hali ngumu huku akinitegemea pamoja na mdogo wangu,

Baba yangu hana msaada na mimi na pia hana chochote, kiukweli nahisi nilizaliwa KIMAKOSA TU

sioni haja ya kuishi
Njoo pm nikusaidie mdogo wangu.....mimi ni miongoni mwa wachache walioishinda vita
 
Ukifika huko wasalimie miamba wa tz, msalimie mwl nyerere, msalimie nkapa na dk hayati magufuli.
 
Nadhani kuna hali mtu anapitia mpaka anajiona yeye ndiyo kaja kuteseka duniani mpaka siku ha mwisho, Bro kwanj vipaumbele vyako ni vipi? Ukiwa una ratiba zako huwezi kuwaza kujiua hata mara moja, Bado unayo nafasi.
 
 
Kama utahisi masihara basi we hisi hivyo, ila me ndo nimeamua hivyo,

Nimefaulu vizuri ila shule nimeshindwa kwenda kwa hali ngumu, napambana na maisha lakini mwangaza siuoni, sina mbele wala nyuma, wachawi kila siku wananiwinda ili kunirudisha nyuma

Mama yangu ananipenda ila hana maisha na ana hali ngumu huku akinitegemea pamoja na mdogo wangu,

Baba yangu hana msaada na mimi na pia hana chochote, kiukweli nahisi nilizaliwa KIMAKOSA TU

sioni haja ya kuishi
Usifanye hiko Kitu utakapojiua Mama yako utamuweka katika hali ngumu sana.
Nenda kwenye Ujenzi anza kutembea na mafundi utapata kazi.
Maisha magumu unapita kwenye changamoto nenda kwa Yesu
Imeandikwa

Mt 11:28-30 SUV​

Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.
 
Mkuu sio masihara watu wa aina hii wapo wengi Sana..mods huwa wanajitahidi kufuta Sana nyuzi zao....
Sema inakua ujinga una miliki smartphone halafu unatangaza kujiua
Mimi mwenyew mbona nataka kujiua Kwa sabab ya Ajira lakini sisemi?. Aache kujambisha watu
 
Kama utahisi masihara basi we hisi hivyo, ila me ndo nimeamua hivyo,

Nimefaulu vizuri ila shule nimeshindwa kwenda kwa hali ngumu, napambana na maisha lakini mwangaza siuoni, sina mbele wala nyuma, wachawi kila siku wananiwinda ili kunirudisha nyuma

Mama yangu ananipenda ila hana maisha na ana hali ngumu huku akinitegemea pamoja na mdogo wangu,

Baba yangu hana msaada na mimi na pia hana chochote, kiukweli nahisi nilizaliwa KIMAKOSA TU

sioni haja ya kuishi
Usikate tamaa,
 
Mi mwenzio ni kama wewe tu nipo zangu uku morogoro najilimiaa zangu mpunga nimeanza last year lakini nimejiozesha saaa hiv npo nakafamilia kangu hapa mke na mtoto mmoja wa kiume tumefanana kweli na kana tabasamu zuri katoto kangu ka miezi 3

Nilikuja uku nikalima ekr 1 nikapata gunia 19 saiv nimenunua aset za ndani na mimepanga chumba na seble japo ni kijijin ila umeme na maji vpo tumejiwekea chakula cha kutosha misimu miwili na akiba ya pesa tujitibie tukiumwa.

Saivi na watch movie na familia yangu tukiwa wenye furaha tele uku nikisubiri masika nilime tena

We unataka kujiua shauri yako

Nb, nimetimuliwa chuo kwa kukosa ada mwaka jana (ningekuwa mwaka wa pili) na mwaka jana huo huo nikaondokewa na mama yangu mzazi.
Pole sana
 
Una umri gani?Umefaulu kwenda hatua ipi kimasomo?unahitaji ada au msaada upi?Nini hitaji lako kijana,funguka usaidiwe
Miaka 21, nimefaulu masomo yangu ya kidato cha sita mwaka 2021, nikashindwa kuendelea kwa kukosa mkopo, nimepanga vyumba viwili na mama yangu pamoja na mdogo wangu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom