Naanza kushindwa mapema. Naombeni msaada wenu

Naanza kushindwa mapema. Naombeni msaada wenu

We utakuwa unanyonya kitu mpaka. Sasa labda unanyonya Dole. Maana kwa mtu ambaye hakunyonya anasoma anaelewa. Hujasoma heading. Ndo madhara ya kunyonya vidole na sasa unanyonya madole. Huelewi.
Nimeelewa kwa kadri akili yangu imeona. Nimeelezea kwa kadri nilivyokaa darasani.

Kinachofuata baada ya hapo ni juu yako kuelewa nilichoandika au kuendelea na drama
 
Kuna single mother mmoja nimemwelewa.nikasema ngoja nipendane naye sababu ana roho nzuri n.k.

Ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto ananyonya vidole na anadeka sana. Mimi kwa kweli sipendi mtoto anyonye vidole. Nimejaribu sana kumwambia amkataze mtoto kunyonya vidole. Anasema aataacha tu mwenyewe.

Kila siku akipiga picha ananiambia "mwanao anakusalimia" anatuma picha yupo na mtoto ananyonya vidole. Mi inanitia tu hasira na mchafuko wa moyo. Mtoto wa kiume miaka mitano 24x7 ananyonya vidole huo si ubwege? Mamaye anaona sawa tu.

Je nifanyeje kumsaidia huyu dada maana naanza kupoteza interest naye sabab hiyo tu. SIPENDI MTOTO ANAYENYONYA VIDOLE. Mkisema sina upendo kwa watoto semeni tu ila huo ndo ukweli wangu. Sipendi mtoto anyonye vidole.
Wee tulishasema hapa single ma,a ni wakutombering tuuu wee wataka uweke kambi ya nini
To yeye
 
Kuna single mother mmoja nimemwelewa.nikasema ngoja nipendane naye sababu ana roho nzuri n.k.

Ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto ananyonya vidole na anadeka sana. Mimi kwa kweli sipendi mtoto anyonye vidole. Nimejaribu sana kumwambia amkataze mtoto kunyonya vidole. Anasema aataacha tu mwenyewe.

Kila siku akipiga picha ananiambia "mwanao anakusalimia" anatuma picha yupo na mtoto ananyonya vidole. Mi inanitia tu hasira na mchafuko wa moyo. Mtoto wa kiume miaka mitano 24x7 ananyonya vidole huo si ubwege? Mamaye anaona sawa tu.

Je nifanyeje kumsaidia huyu dada maana naanza kupoteza interest naye sabab hiyo tu. SIPENDI MTOTO ANAYENYONYA VIDOLE. Mkisema sina upendo kwa watoto semeni tu ila huo ndo ukweli wangu. Sipendi mtoto anyonye vidole.
Mtafute dentist awaelimishe juu ya madhara ya kunyonya vidole, mama atashirikiana nawe.
 
Unautaira kabisa ww unataka ** au unataka mtoto aache kunyonya vidole kama unataka mtoto asiyenyonya vidole nenda katika vituo yatima utapewq Bure ukae naye kama unataka ** ni sawa nakutaka boga huwezi acha ua lake au hanisi Babu sababu mingi

Wewe utakuwa na nyonya midole.maana hata kuandika hujui. Ndo maana sitaki na huyu dogo aharibike kama wewe. Ukisoma kwa akili utaelewa lakini sababu unanyonya Midole hujaelewa nlichoandika.
 
Dawa zinazotumika kupaka vidole kwa mtoto anayenyonya ili kukatisha tamaa kawaida huwa na ladha isiyopendeza kama uchungu au chungu. Hizi hapa ni baadhi zinazopatikana madukani:

Dawa maarufu za kupaka vidole:

1. Thum Thumb (Stop Sucking)
- Ina ladha kali ya chungu kwa ajili ya kuzuia mtoto kunyonya vidole.

2. Mavala Stop
- Dawa kama ya kupaka kucha, chungu sana, pia hutumika kwa watoto wakubwa.

3. Control-It!
- Ina ladha mbaya, salama kwa mtoto, hutumika kwa kuacha kunyonya kidole au kucha.

4. Neem oil (Mafuta ya mwarobaini)
- Hii ni tiba ya asili, chungu, na salama. Unaweza paka kidole cha mtoto mara 2–3 kwa siku.


Jaribu hapo mkuu!

Ntamshauri mama yake akikataa abaki na mtoto wa tuwe tunaonana sisi tu na ada sichangii asiniambie mtoto wako anakumiss.
 
Mwanao anaakusalimia,hii salaam imekaa kinafiki sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom