Naanza kushindwa mapema. Naombeni msaada wenu

Naanza kushindwa mapema. Naombeni msaada wenu

Aise matapeli n weng sana ety mwanao anakusalimia wakat ni sperms za mtu mwingine ambaye hata nasaba naye huna🤣🤣😄😃. Cha kukushauri muoe huyo mdada harak sana alafu kunyonya vdole huyo mtoto ataacha tu au awekewe pilipili
We acha tu. Tena anamwambia "xxxxx msalimie daddy" mi huwa namfurahia tu issue hapo kwenye kunyonya vidole na kudeka.
 
Kuna single mother mmoja nimemwelewa.nikasema ngoja nipendane naye sababu ana roho nzuri n.k.

Ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto ananyonya vidole na anadeka sana. Mimi kwa kweli sipendi mtoto anyonye vidole. Nimejaribu sana kumwambia amkataze mtoto kunyonya vidole. Anasema aataacha tu mwenyewe.

Kila siku akipiga picha ananiambia "mwanao anakusalimia" anatuma picha yupo na mtoto ananyonya vidole. Mi inanitia tu hasira na mchafuko wa moyo. Mtoto wa kiume miaka mitano 24x7 ananyonya vidole huo si ubwege? Mamaye anaona sawa tu.

Je nifanyeje kumsaidia huyu dada maana naanza kupoteza interest naye sabab hiyo tu. SIPENDI MTOTO ANAYENYONYA VIDOLE. Mkisema sina upendo kwa watoto semeni tu ila huo ndo ukweli wangu. Sipendi mtoto anyonye vidole.
Achana nae bwana ambao hawana watt wapo kibao usimtese dada wa watu
 
Mfanye kama mwanao wa kumzaa, acha kumlea online kwa kuomba picha na kupiga video call kisha unachukia kuona ananyonya vidole.

Nenda ukae nae mtoto mwambie asinyonye vidole, mpelekee mpira, toys za magari muelekeze kiume mpe hata maneno ya kumfanya asipende kunyonya vidole akiendesha gari kisha akanyonya vidole tumbo litamuuma au meno yataoza
Simlei na wala siombi picha zake.ni mama yake kila mara anapiga picha na kunitumia.mara aseme mtoto ananililia mara analia nimbembeleze...
 
Wewe ni mpumbavu tu. Mtoto wa mme mwenzako anakuhusu nini

Kuna single mother mmoja nimemwelewa.nikasema ngoja nipendane naye sababu ana roho nzuri n.k.

Ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto ananyonya vidole na anadeka sana. Mimi kwa kweli sipendi mtoto anyonye vidole. Nimejaribu sana kumwambia amkataze mtoto kunyonya vidole. Anasema aataacha tu mwenyewe.

Kila siku akipiga picha ananiambia "mwanao anakusalimia" anatuma picha yupo na mtoto ananyonya vidole. Mi inanitia tu hasira na mchafuko wa moyo. Mtoto wa kiume miaka mitano 24x7 ananyonya vidole huo si ubwege? Mamaye anaona sawa tu.

Je nifanyeje kumsaidia huyu dada maana naanza kupoteza interest naye sabab hiyo tu. SIPENDI MTOTO ANAYENYONYA VIDOLE. Mkisema sina upendo kwa watoto semeni tu ila huo ndo ukweli wangu. Sipendi mtoto anyonye vidole.
 
Mtoto kunyonya kidole siyo ubwege.

Kisaikolojia inamaanisha kwamba mtoto alikua anatafuta kitu cha kumdistract ama na trauma au na mazingira anayokulia.

So kwake kunyonya kidole ni kutengeneza fantasy world itayomtoa kwenye reality anazoziona. Kisaikolojia pia hii inaweza pelekea ukubwani akawa mraibu wa sigara, isipokua handled mtoto atakua na difficult in creating and maintaining relationships.

Sasa wewe badala ya kutafuta suluhu unakuja kuandika humu ili upate likes.
 
Mtoto kunyonya kidole siyo ubwege.

Kisaikolojia inamaanisha kwamba mtoto alikua anatafuta kitu cha kumdistract ama na trauma au na mazingira anayokulia.

So kwake kunyonya kidole ni kutengeneza fantasy world itayomtoa kwenye reality anazoziona. Kisaikolojia pia hii inaweza pelekea ukubwani akawa mraibu wa sigara, isipokua handled mtoto atakua na difficult in creating and maintaining relationships.

Sasa wewe badala ya kutafuta suluhu unakuja kuandika humu ili upate likes.
We utakuwa unanyonya kitu mpaka. Sasa labda unanyonya Dole. Maana kwa mtu ambaye hakunyonya anasoma anaelewa. Hujasoma heading. Ndo madhara ya kunyonya vidole na sasa unanyonya madole. Huelewi.
 
Kuna single mother mmoja nimemwelewa.nikasema ngoja nipendane naye sababu ana roho nzuri n.k.

Ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto ananyonya vidole na anadeka sana. Mimi kwa kweli sipendi mtoto anyonye vidole. Nimejaribu sana kumwambia amkataze mtoto kunyonya vidole. Anasema aataacha tu mwenyewe.

Kila siku akipiga picha ananiambia "mwanao anakusalimia" anatuma picha yupo na mtoto ananyonya vidole. Mi inanitia tu hasira na mchafuko wa moyo. Mtoto wa kiume miaka mitano 24x7 ananyonya vidole huo si ubwege? Mamaye anaona sawa tu.

Je nifanyeje kumsaidia huyu dada maana naanza kupoteza interest naye sabab hiyo tu. SIPENDI MTOTO ANAYENYONYA VIDOLE. Mkisema sina upendo kwa watoto semeni tu ila huo ndo ukweli wangu. Sipendi mtoto anyonye vidole.
Unautaira kabisa ww unataka **** au unataka mtoto aache kunyonya vidole kama unataka mtoto asiyenyonya vidole nenda katika vituo yatima utapewq Bure ukae naye kama unataka **** ni sawa nakutaka boga huwezi acha ua lake au hanisi Babu sababu mingi
 
Dawa zinazotumika kupaka vidole kwa mtoto anayenyonya ili kukatisha tamaa kawaida huwa na ladha isiyopendeza kama uchungu au chungu. Hizi hapa ni baadhi zinazopatikana madukani:

Dawa maarufu za kupaka vidole:

1. Thum Thumb (Stop Sucking)
- Ina ladha kali ya chungu kwa ajili ya kuzuia mtoto kunyonya vidole.

2. Mavala Stop
- Dawa kama ya kupaka kucha, chungu sana, pia hutumika kwa watoto wakubwa.

3. Control-It!
- Ina ladha mbaya, salama kwa mtoto, hutumika kwa kuacha kunyonya kidole au kucha.

4. Neem oil (Mafuta ya mwarobaini)
- Hii ni tiba ya asili, chungu, na salama. Unaweza paka kidole cha mtoto mara 2–3 kwa siku.


Jaribu hapo mkuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom