Naanza kushindwa mapema. Naombeni msaada wenu

Naanza kushindwa mapema. Naombeni msaada wenu

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,384
Reaction score
3,057
Kuna single mother mmoja nimemwelewa.nikasema ngoja nipendane naye sababu ana roho nzuri n.k.

Ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto ananyonya vidole na anadeka sana. Mimi kwa kweli sipendi mtoto anyonye vidole. Nimejaribu sana kumwambia amkataze mtoto kunyonya vidole. Anasema aataacha tu mwenyewe.

Kila siku akipiga picha ananiambia "mwanao anakusalimia" anatuma picha yupo na mtoto ananyonya vidole. Mi inanitia tu hasira na mchafuko wa moyo. Mtoto wa kiume miaka mitano 24x7 ananyonya vidole huo si ubwege? Mamaye anaona sawa tu.

Je nifanyeje kumsaidia huyu dada maana naanza kupoteza interest naye sabab hiyo tu. SIPENDI MTOTO ANAYENYONYA VIDOLE. Mkisema sina upendo kwa watoto semeni tu ila huo ndo ukweli wangu. Sipendi mtoto anyonye vidole.
 
Kuna single mother mmoja nimemwelewa.nikasema ngoja nipendane naye sababu ana roho nzuri n.k.

Ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto ananyonya vidole na anadeka sana. Mimi kwa kweli sipendi mtoto anyonye vidole. Nimejaribu sana kumwambia amkataze mtoto kunyonya vidole. Anasema aataacha tu mwenyewe.

Kila siku akipiga picha ananiambia "mwanao anakusalimia" anatuma picha yupo na mtoto ananyonya vidole. Mi inanitia tu hasira na mchafuko wa moyo. Mtoto wa kiume miaka mitano 24x7 ananyonya vidole huo si ubwege? Mamaye anaona sawa tu.

Je nifanyeje kumsaidia huyu dada maana naanza kupoteza interest naye sabab hiyo tu. SIPENDI MTOTO ANAYENYONYA VIDOLE. Mkisema sina upendo kwa watoto semeni tu ila huo ndo ukweli wangu. Sipendi mtoto anyonye vidole.
Kama una miaka chini ya 45 na hujajipata vzr, bc achana na mwanamke mwenye mtoto.
 
Kuna single mother mmoja nimemwelewa.nikasema ngoja nipendane naye sababu ana roho nzuri n.k.

Ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto ananyonya vidole na anadeka sana. Mimi kwa kweli sipendi mtoto anyonye vidole. Nimejaribu sana kumwambia amkataze mtoto kunyonya vidole. Anasema aataacha tu mwenyewe.

Kila siku akipiga picha ananiambia "mwanao anakusalimia" anatuma picha yupo na mtoto ananyonya vidole. Mi inanitia tu hasira na mchafuko wa moyo. Mtoto wa kiume miaka mitano 24x7 ananyonya vidole huo si ubwege? Mamaye anaona sawa tu.

Je nifanyeje kumsaidia huyu dada maana naanza kupoteza interest naye sabab hiyo tu. SIPENDI MTOTO ANAYENYONYA VIDOLE. Mkisema sina upendo kwa watoto semeni tu ila huo ndo ukweli wangu. Sipendi mtoto anyonye vidole.

Mwache Dada wa watu mjinga wewe
 
Kuna single mother mmoja nimemwelewa.nikasema ngoja nipendane naye sababu ana roho nzuri n.k.

Ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto ananyonya vidole na anadeka sana. Mimi kwa kweli sipendi mtoto anyonye vidole. Nimejaribu sana kumwambia amkataze mtoto kunyonya vidole. Anasema aataacha tu mwenyewe.

Kila siku akipiga picha ananiambia "mwanao anakusalimia" anatuma picha yupo na mtoto ananyonya vidole. Mi inanitia tu hasira na mchafuko wa moyo. Mtoto wa kiume miaka mitano 24x7 ananyonya vidole huo si ubwege? Mamaye anaona sawa tu.

Je nifanyeje kumsaidia huyu dada maana naanza kupoteza interest naye sabab hiyo tu. SIPENDI MTOTO ANAYENYONYA VIDOLE. Mkisema sina upendo kwa watoto semeni tu ila huo ndo ukweli wangu. Sipendi mtoto anyonye vidole.
Mwanao mnyonya vidole anakusalimia😂😂. Kwani huyo dogo unaishi naye nyumba moja au unampango wa kuishi nao?
 
Mfanye kama mwanao wa kumzaa, acha kumlea online kwa kuomba picha na kupiga video call kisha unachukia kuona ananyonya vidole.

Nenda ukae nae mtoto mwambie asinyonye vidole, mpelekee mpira, toys za magari muelekeze kiume mpe hata maneno ya kumfanya asipende kunyonya vidole akiendesha gari kisha akanyonya vidole tumbo litamuuma au meno yataoza
 
Kwani icho kidole chake ndo kinakupa utamu ama ndo kinakunyima utamu me naona wewe ndo unautoto mwingi kama mama ake anakulidhisha vizuri mambo ya mtoto wake yanakuhusu nini
 
Kwani icho kidole chake ndo kinakupa utamu ama ndo kinakunyima utamu me naona wewe ndo unautoto mwingi kama mama ake anakulidhisha vizuri mambo ya mtoto wake yanakuhusu nini
Kama ni mtoto wake asiseme "mwanao anakusalimia na kupiga picha wote" matter call you.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom