Wadau nadhani mei moja imekwisha,mimi lwa ufupi ni msichana nina miaka24 nimemaliza chuo mwaka jana nipo mtaani nafanya biashara ndogo ndogo,me ni mchaga mmarangu, katika mipango yangu ya maisia nadhanh huu ni wakati wangu wa kuanzisha familia na kupanga maisha mengine,nadhani mume wangu yupo humu,ni wa kabila langu sio mbali na nilipozaliwa hvyo naomba ajitokeze tuwasiliane au tukutane,me naishi mwanza na tarime kwa sasa kwa sababu ya biasiara yangu,
nadhani mmenielewa ,
My dia 24 unataka kuolewa...aiseeeeeeeee :A S 13::A S 13:
Fanya kwanza pilika zako mi nahisi ni mapema mnooo .....utazeeka kabla ya muda...
yani mi nikiwa miaka 24 nilikuwa nawaza kitu cha kunifikisha mbali kimaisha,wewe unawaza ndoa,Fikiria vizuri nahisi umekurupuka
My dia 24 unataka kuolewa...aiseeeeeeeee :A S 13::A S 13:
Fanya kwanza pilika zako mi nahisi ni mapema mnooo .....utazeeka kabla ya muda...
yani mi nikiwa miaka 24 nilikuwa nawaza kitu cha kunifikisha mbali kimaisha,wewe unawaza ndoa,Fikiria vizuri nahisi umekurupuka
Ifike wakati wasichana tupunguze viherehere vya kuolewa....
Ifike wakati wasichana tupunguze viherehere vya kuolewa....
Wadau nadhani mei moja imekwisha,mimi lwa ufupi ni msichana nina miaka24 nimemaliza chuo mwaka jana nipo mtaani nafanya biashara ndogo ndogo,me ni mchaga mmarangu, katika mipango yangu ya maisia nadhanh huu ni wakati wangu wa kuanzisha familia na kupanga maisha mengine,nadhani mume wangu yupo humu,ni wa kabila langu sio mbali na nilipozaliwa hvyo naomba ajitokeze tuwasiliane au tukutane,me naishi mwanza na tarime kwa sasa kwa sababu ya biasiara yangu,
nadhani mmenielewa ,
'No chasaka',nimekuelewa sana,kila la kheri
wamoramu, waichi ikunda pfo..
wao pesa mbele..
Nautanani moyo wako, unaheshimu mipaka ya kijografia na kabila
Kwa hiyo sie wa Tunduru hapana?