Naamini mume wangu nitampata kupitia jf

Naamini mume wangu nitampata kupitia jf

My dia 24 unataka kuolewa...aiseeeeeeeee :A S 13::A S 13:
Fanya kwanza pilika zako mi nahisi ni mapema mnooo .....utazeeka kabla ya muda...
yani mi nikiwa miaka 24 nilikuwa nawaza kitu cha kunifikisha mbali kimaisha,wewe unawaza ndoa,Fikiria vizuri nahisi umekurupuka
 
Wadau nadhani mei moja imekwisha,mimi lwa ufupi ni msichana nina miaka24 nimemaliza chuo mwaka jana nipo mtaani nafanya biashara ndogo ndogo,me ni mchaga mmarangu, katika mipango yangu ya maisia nadhanh huu ni wakati wangu wa kuanzisha familia na kupanga maisha mengine,nadhani mume wangu yupo humu,ni wa kabila langu sio mbali na nilipozaliwa hvyo naomba ajitokeze tuwasiliane au tukutane,me naishi mwanza na tarime kwa sasa kwa sababu ya biasiara yangu,

nadhani mmenielewa ,

Dada we mbaguzi!
 
My dia 24 unataka kuolewa...aiseeeeeeeee :A S 13::A S 13:
Fanya kwanza pilika zako mi nahisi ni mapema mnooo .....utazeeka kabla ya muda...
yani mi nikiwa miaka 24 nilikuwa nawaza kitu cha kunifikisha mbali kimaisha,wewe unawaza ndoa,Fikiria vizuri nahisi umekurupuka

Yaani wewe ndo chenga kweli, unamuongopea mwenzako azeeke kama wewe bila ndoa? Kila mtu ana mipango yake, na haiwezi kufanana... Acha kumwingiza chaka mwrnzio!
 
My dia 24 unataka kuolewa...aiseeeeeeeee :A S 13::A S 13:
Fanya kwanza pilika zako mi nahisi ni mapema mnooo .....utazeeka kabla ya muda...
yani mi nikiwa miaka 24 nilikuwa nawaza kitu cha kunifikisha mbali kimaisha,wewe unawaza ndoa,Fikiria vizuri nahisi umekurupuka

inamuwasha na hataki ionjwe onjwe
 
Nilivyomuelewa ni kwamba alikuwa na mume, wakaachana, sasa anamtafuta huko alipo kupitia JF, na kwa kuwa si rahisi kuweka jina lake halisi humu, ameamua aweke wasifu wake mfupi kama vile umri wake, mwaka aliomaliza chuo, kabila lake na kabila la huyo mume wake! Jamaa, jitokeze umrudie mkeo wa zamani!
 
Wasichana wa hapa wengi wamefeli kwenye hiyo idara..wamekataa tamaa..wana negative thought kuhusu ndoa..so uwe makini watakukatisha tamaa sana
 
Wadau nadhani mei moja imekwisha,mimi lwa ufupi ni msichana nina miaka24 nimemaliza chuo mwaka jana nipo mtaani nafanya biashara ndogo ndogo,me ni mchaga mmarangu, katika mipango yangu ya maisia nadhanh huu ni wakati wangu wa kuanzisha familia na kupanga maisha mengine,nadhani mume wangu yupo humu,ni wa kabila langu sio mbali na nilipozaliwa hvyo naomba ajitokeze tuwasiliane au tukutane,me naishi mwanza na tarime kwa sasa kwa sababu ya biasiara yangu,

nadhani mmenielewa ,

bahati ya wazi hii..
ila kwa bahati tayari ninae mke wangu 'Valentina'
 
Last edited by a moderator:
'No chasaka',nimekuelewa sana,kila la kheri
 
Back
Top Bottom