Umekuja na bei gani? sio facebook hapa. Pouwa karibu sana ila usisahau kuheshimu kijiwe
Poa mkubwa jukwaa lazima liheshmike
Karibu.Nimekuwa nikipitia kitambo na sasa ninasema hodi hodi wajameni.
Nimeamua kuwa nanyi na mniunge mkono na pale ninapokwama muwe nami jamani!