Naachika kila siku

Naachika kila siku

hilo la kucomment katika wall hata mie nakukubalia. Mr Rocky...na picha unabidi ucomment..sasa watu kama sisi vimeo kila kona utata mtupu
mtu chake mambo mengine hayahitaji hata darubini kuyagundua
Ndo maana unakuwa mtu wa kukaa kimya hakuna kuuliza wala nini
Maana ukimchunguza sana bata ..............................
haya mawasiliano haya ni balaa mkuu ni bora kuacha kama yalivyo
 
usingeandika naachwa kila siku,ungeandika naacha kila siku!
 
mtu chake mambo mengine hayahitaji hata darubini kuyagundua
Ndo maana unakuwa mtu wa kukaa kimya hakuna kuuliza wala nini
Maana ukimchunguza sana bata ..............................
haya mawasiliano haya ni balaa mkuu ni bora kuacha kama yalivyo
..hahahahahahaha..kweli kaka..ila ttz dada zetu nao ..beki hazikabi....hapa kn mmoja kanitupia pic kwenye whats up..nina kazi ya kusifia tu...
 
..hahahahahahaha..kweli kaka..ila ttz dada zetu nao ..beki hazikabi....hapa kn mmoja kanitupia pic kwenye whats up..nina kazi ya kusifia tu...

Hapo na ukiacha kusifia unaonekana hamnazo
Ndio wanalotaka
Wapigiwe simu waambiwe wamepandeza au umemmiss sana wakati mmeachana nusu saa iliyopita
Sms za mapenzi na kumsifia wakati wote hata kama sifa zako hazitoki moyoni mwako
Kumuambia kuwa unampenda wakati unamfaidi na wala huna mpango nae
Ndo wanazotaka
 
  • Thanks
Reactions: LD
hivi unakuwa na mtu kwa sababu mnapendana ua kwa sababu mmetongozana?
 
Hapo na ukiacha kusifia unaonekana hamnazo
Ndio wanalotaka
Wapigiwe simu waambiwe wamepandeza au umemmiss sana wakati mmeachana nusu saa iliyopita
Sms za mapenzi na kumsifia wakati wote hata kama sifa zako hazitoki moyoni mwako
Kumuambia kuwa unampenda wakati unamfaidi na wala huna mpango nae
Ndo wanazotaka
...hahahaha..mkuu unanifurahisha sana...ngoja nimsifie apate kichwa...ila mizinga nayo mh.. maana naona kaishaanza kusema..eti ooh best yangu ana shiriki miss inter college...tobaaa..nafwaa...unadhani nini kinaFUATAA HAPO
 
Hapo na ukiacha kusifia unaonekana hamnazo
Ndio wanalotaka
Wapigiwe simu waambiwe wamepandeza au umemmiss sana wakati mmeachana nusu saa iliyopita
Sms za mapenzi na kumsifia wakati wote hata kama sifa zako hazitoki moyoni mwako
Kumuambia kuwa unampenda wakati unamfaidi na wala huna mpango nae
Ndo wanazotaka

jirani hapa sasa umeuwa bendi....hee!!....ina maana.....
 
...hahahaha..mkuu unanifurahisha sana...ngoja nimsifie apate kichwa...ila mizinga nayo mh.. maana naona kaishaanza kusema..eti ooh best yangu ana shiriki miss inter college...tobaaa..nafwaa...unadhani nini kinaFUATAA HAPO


Hahahahah
Angalia usije ukazama moja kwa moja
Maana mwelekeo hapo ni kuangukia kwenye mtego wake
Maana unajua sisi tulivyo wadhaifu aise
 
jirani hapa sasa umeuwa bendi....hee!!....ina maana.....

Ndio manake aise
Preta bado tuu hujajua
Sometime unamsifia tembo na ngozi lake ngumu kuwa ni mlaini na ana ngozi nyororo ili tuu aikutwange na mkonga wake
Baada tuu ya kupita unaanza kumtoa kasoro zake
tatizo nyie mmezoea kula na vipofu na mnawashika mokono
Tuachieni tufanye mambo yetu bana haya mambo ya kila saa darling nimekumiss darling sijui nini darling comment kwenye wall yangu au picha yangu ahhh mwisho nitakupa sifa na za uongo
 
angalizo...usije acha woote ...ukaja nasa kwe ngoma ..si unajua ndege mjanja....
 
NGOJA KAKA....
mtu assume hapokei simu usiku...
wala hakupigii usiku.....
sms hajibu.....eti nilikuwa nimelala..au nacheki mechi
kuna mtu analalaa saa 12? tupilia mbali huko

funguka smile bado naona yapo mengi moyoni
 
Naombeni kujua muda sahihi wa kukaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa..
Maana huwa nashangaa kusikia nimekaa na mpenzi wangu miaka 6..7.. Hadi nane sijui blah blah nyiingi..
Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana kesho akinitibua tu sijui upokei simu .maquestion mark kichwani.... Mimi ndo mwisho hivo nasepa zangu fasta....... Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu karne then mnaachana?
Mbona mtu mzushi siku ya kwanza tu utamjua?au mimi naona visivoonekana?

Smile ebu jichunguze je wewe ni mtu mwenye dharau katika mapenzi?unajua wanaume weng hawapendi mwanamke/msichana mwenye dharau,kama upo hinyo ujue ndo sababu kubwa ya kuachika,pia huwa unaijua nafasi yako katika uhusiano?pia ni mtu wa kurudiaruda kosa ambalo mpenzi wako huwa alipendi?kukosea ni kujifunza,hivyo ni bora kila siku ukatenda kosa jipya kuliko kila siku kurudia kosa la aina moja hali hii wanaume huchukulia kama ni dharau iliyopitiliza,hivyo hupelekea kuvunja uhusiano!hivyo jichunguze kama upo hivyo badilika,naamini hutaachika hovyohovyo tena.
 
NGOJA KAKA....
mtu assume hapokei simu usiku...
wala hakupigii usiku.....
sms hajibu.....eti nilikuwa nimelala..au nacheki mechi
kuna mtu analalaa saa 12? tupilia mbali huko

mume wa mtu huyo bora umesepaaa tena wabaya kweli hao
 
mimi nawaacha bwana
Okay Smile nimekusoma....nadhani ni sahihi pia nikisema huwa mnaachana....haya mambo ya Beijing haya maana wenzangu akina Bishanga zamani walikuwa wanawowa sasa wanawowana...

By the way Smile ni kama hali iko hivyo unadhani ndio maana unatuasa kuwa
Ingekua mtu kila anapozini anatoka kitundu wengine mngekua kama neti humu......

Point taken Madam...
 
okay smile nimekusoma....nadhani ni sahihi pia nikisema huwa mnaachana....haya mambo ya beijing haya maana wenzangu akina bishanga zamani walikuwa wanawowa sasa wanawowana...

By the way smile ni kama hali iko hivyo unadhani ndio maana unatuasa kuwa
ingekua mtu kila anapozini anatoka kitundu wengine mngekua kama neti humu......

point taken madam...
wewe ukitongozana na mtu lazima msex eeeh .... Mimi sio wa hivo mkuu
 
wewe ukitongozana na mtu lazima msex eeeh .... Mimi sio wa hivo mkuu

Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana
Smile mimi nimetafsiri sentensi hiyo hapo juu nikadhaniunamaanisha kudooo lol...Nimeshangaaje.....
 
Back
Top Bottom