Naachika kila siku

Naachika kila siku

NGOJA KAKA....
mtu assume hapokei simu usiku...
wala hakupigii usiku.....
sms hajibu.....eti nilikuwa nimelala..au nacheki mechi
kuna mtu analalaa saa 12? tupilia mbali huko

Smile hebu rudi kwenye mstari
Hivi hili ndo linakufanya umuone mtu kuwa hafai
Kutopokea simu au kutokukupigia simu
Au kutojibu sms
Sidhani
Angalia tena nini maana ya real love
yaani simu au sms kwangu ni kitu kidogo sana kama kuna ule upendo haswa wa kutoka rohoni mwake na anafanya yale yote yampasayo mtu amfanyie mpenzi wake
Jiulize kabla ya simu kulikuw ana njia gani ya mawasiliano
Usitumie simu kama kigezo cha kusema kuwa mtu hafai bana
Kuna watu wakifika majumbani mwao kutokana na shughuli za mchana kutwa hataki hata kuiona simu tena
 
Sipati picha Smile unaachika kila siku?? ina maana kwa mwaka unakuwa nao 365 na wote wanakuacha...sasa kazi unafanya saa ngapi?
 
Naombeni kujua muda sahihi wa kukaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa..
Maana huwa nashangaa kusikia nimekaa na mpenzi wangu miaka 6..7.. Hadi nane sijui blah blah nyiingi..
Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana kesho akinitibua tu sijui upokei simu .maquestion mark kichwani.... Mimi ndo mwisho hivo nasepa zangu fasta....... Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu karne then mnaachana?
Mbona mtu mzushi siku ya kwanza tu utamjua?au mimi naona visivoonekana?

Nionavyo ni kwamba wewe unaacha, huachwi!

Ukimuacha mwanaume na yeye asifanye effort tena za kutosha na kwa muda kuhakikisha anakurudisha kundini, jua fika kuwa uamuzi wako wa kuacha ulikuwa wa busara.

Kila mtu ana wake, hivyo ukija pata wako hutaacha wala kuachwa, kifupi hamtaachana hata msipopigiana simu mwaka!
 
sipati picha smile unaachika kila siku?? Ina maana kwa mwaka unakuwa nao 365 na wote wanakuacha...sasa kazi unafanya saa ngapi?
mimi nawaacha bwana
 
smile hebu rudi kwenye mstari
hivi hili ndo linakufanya umuone mtu kuwa hafai
kutopokea simu au kutokukupigia simu
au kutojibu sms
sidhani
angalia tena nini maana ya real love
yaani simu au sms kwangu ni kitu kidogo sana kama kuna ule upendo haswa wa kutoka rohoni mwake na anafanya yale yote yampasayo mtu amfanyie mpenzi wake
jiulize kabla ya simu kulikuw ana njia gani ya mawasiliano
usitumie simu kama kigezo cha kusema kuwa mtu hafai bana
kuna watu wakifika majumbani mwao kutokana na shughuli za mchana kutwa hataki hata kuiona simu tena
aisee kweli ?
 
nionavyo ni kwamba wewe unaacha, huachwi!

Ukimuacha mwanaume na yeye asifanye effort tena za kutosha na kwa muda kuhakikisha anakurudisha kundini, jua fika kuwa uamuzi wako wa kuacha ulikuwa wa busara.

Kila mtu ana wake, hivyo ukija pata wako hutaacha wala kuachwa, kifupi hamtaachana hata msipopigiana simu mwaka!
mmmh wewe wasema...vile sio wewe
 
Smile my dear vumilia tu! yaani tafuta yule ambaye katika mahitaji yako 10 unayoyataka kwa dream man wako, ambayo ni very important na ambayo yatakufanya usicheat asilani ukija kuwa naye, at least awe anakidhi 7 kati ya 10. hayo ma3 sacrifice, mvumilie tu! pole mwaya i believe one day utapata tu ambaye mpo compatible!
 
Last edited by a moderator:
Uwiii Smile kwa type ya wanaume wa tanzania ukiendelea hivyo utachange kila siku..kwa mambo madogo uvumilivu ulio na mipaka unahitajika,hakuna aliye perfect but kuna vya kuvumilia na vingine sio..
 
Last edited by a moderator:
Naombeni kujua muda sahihi wa kukaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa..
Maana huwa nashangaa kusikia nimekaa na mpenzi wangu miaka 6..7.. Hadi nane sijui blah blah nyiingi..
Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana kesho akinitibua tu sijui upokei simu .maquestion mark kichwani.... Mimi ndo mwisho hivo nasepa zangu fasta....... Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu karne then mnaachana?
Mbona mtu mzushi siku ya kwanza tu utamjua?au mimi naona visivoonekana?

Ndo mana huolewi, hakuna mwanaume anapenda wanawake wa hivi skuiz
 
Practice makes perfect.That will soon become your lifestyle and down the drain goes the whole concept of 'living with someone on permanent basis'.
 
hakunaga ...
..................... na umenivumilia sana mi hakunaga............................ angeishakuwa mwingine (Sm....) kaisha nimwaga..............
Hakunaga.....
.........nashukuru nimpata mwenye opeo daima nataraji mae.......... hakuna....
 
uwiii smile kwa type ya wanaume wa tanzania ukiendelea hivyo utachange kila siku..kwa mambo madogo uvumilivu ulio na mipaka unahitajika,hakuna aliye perfect but kuna vya kuvumilia na vingine sio..
kwani wote ni wabovu?
 
Wako kamwe hutoachana nae,hao wapita njia tu.Utakuja kunasa kwa wako wa milele..kamwe hutoachika tena.
 
Smile angalia usifike ule wakati wa kuchwa kutwa kuzunguka kwa wachungaji/mapadri kuombewa upate mchumba ilhali wakati ulikuwa nao mzuri tu ukawa unawamwaga kwa visingizio visivyokuwa na kichwa wala miguu! Cha msingi na kikubwa kinachomatter kwenye relation ni upendo mammaangu wewe hivyo vitu vingine ni spice tu as long as ukizingatia no one is perfect in this world!
 
Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu karne then mnaachana?
Hilo nalo neno. Umeshahisi kuwa haya mahusiano hayana hatima nzuri, na bado unabaki karne ukijua kuwa mwisho ni kuachana ...what for?
 
Back
Top Bottom