Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
- Thread starter
- #41
poa shostiiiiSmile angalia usifike ule wakati wa kuchwa kutwa kuzunguka kwa wachungaji/mapadri kuombewa upate mchumba ilhali wakati ulikuwa nao mzuri tu ukawa unawamwaga kwa visingizio visivyokuwa na kichwa wala miguu! Cha msingi na kikubwa kinachomatter kwenye relation ni upendo mammaangu wewe hivyo vitu vingine ni spice tu as long as ukizingatia no one is perfect in this world!