Arvin sloane
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 996
- 203
Kila mtu ana mapungufu yake sasa ukitaka utafute ambaye hana mapungufu utaachana na wanaume wote duniani na wala usipate cha msingi ni kuelewa mapungufu ya mwenzako alf unavumilia.
Mie nina mchumba wangu, tumekaa miaka 10, na bado tunapendana
mademu wa kibongo du!! unamtongoza siku hiyo hiyo unapiga kipara....na haijalishi mmesoma au wapiii!!wooote mnafanana siku hizi....alafu huu mchezo wenu mlioanzisha mjini...unamtia demu mbele alafu baada ya muda anakugeuzia nyuma...ati na huku!! yaani nyie mademu wa bongo ni feki sana.....wengi wenu maji maarage ya mbeya....maji mara moja...na hamna cha msomi wala nini...wengi wenu mko hivyo....inategemea mwanamme kaingia na gia gani.....tena nyie mlio materialistic ndio kabisaa!!mko very very desperate mnapooneshwa haswa materials e.g pesa.....mnatoa mpaka ****..Naombeni kujua muda sahihi wa kukaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa..
Maana huwa nashangaa kusikia nimekaa na mpenzi wangu miaka 6..7.. Hadi nane sijui blah blah nyiingi..
Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana kesho akinitibua tu sijui upokei simu .maquestion mark kichwani.... Mimi ndo mwisho hivo nasepa zangu fasta....... Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu karne then mnaachana?
Mbona mtu mzushi siku ya kwanza tu utamjua?au mimi naona visivoonekana?
Naombeni kujua muda sahihi wa kukaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa..
Maana huwa nashangaa kusikia nimekaa na mpenzi wangu miaka 6..7.. Hadi nane sijui blah blah nyiingi..
Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana kesho akinitibua tu sijui upokei simu .maquestion mark kichwani.... Mimi ndo mwisho hivo nasepa zangu fasta....... Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu karne then mnaachana?
Mbona mtu mzushi siku ya kwanza tu utamjua?au mimi naona visivoonekana?
Let I try to date you first then i may comment?
Naombeni kujua muda sahihi wa kukaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa..
Maana huwa nashangaa kusikia nimekaa na mpenzi wangu miaka 6..7.. Hadi nane sijui blah blah nyiingi..
Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana kesho akinitibua tu sijui upokei simu .maquestion mark kichwani.... Mimi ndo mwisho hivo nasepa zangu fasta....... Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu karne then mnaachana?
Mbona mtu mzushi siku ya kwanza tu utamjua?au mimi naona visivoonekana?
Ebwanee Smile kwa mtindo unaweza ukawa si wife material kwa kweli njoo nikupe guide & counselingNaombeni kujua muda sahihi wa kukaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa.. Maana huwa nashangaa kusikia nimekaa na mpenzi wangu miaka 6..7.. Hadi nane sijui blah blah nyiingi.. Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana kesho akinitibua tu sijui upokei simu .maquestion mark kichwani.... Mimi ndo mwisho hivo nasepa zangu fasta....... Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu karne then mnaachana? Mbona mtu mzushi siku ya kwanza tu utamjua?au mimi naona visivoonekana?
Mpwa pole na majukumu, mi baada ya kumega kuna binti ananisumbua anataka home theater na friji la Samsung nimedondosha calculator inaghalimu 2.5m hesabu za chap chap nimeona kwa bei hiyo napata uwanja huko Tua Ngoma, ushauri mkuu tafadhari.... Smile, .....come and I will show you what love is....najua hutonogewa lakini angalau utajua kwanini sie hujitoa fahamu muda wote huo...
Mpwa pole na majukumu, mi baada ya kumega kuna binti ananisumbua anataka home theater na friji la Samsung nimedondosha calculator inaghalimu 2.5m hesabu za chap chap nimeona kwa bei hiyo napata uwanja huko Tua Ngoma, ushauri mkuu tafadhari
.... Smile, .....come and I will show you what love is....najua hutonogewa lakini angalau utajua kwanini sie hujitoa fahamu muda wote huo...
yamekuwa hayo tena mara!
....dahh, lazima utakuwa umenitafsiri ndivyo sivyo mpenzi.
Hapa umeandika nini?
inawezekana?! I am disappointed though.