Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,532
....pse bana. I wasnt meaning anything malicious...my apologies....pse..
Nimechekaje Mbu, inanibidi nikubaliane fika na MwanajamiiOne kwamba you are so tempting (to her)!
....pse bana. I wasnt meaning anything malicious...my apologies....pse..
Nimechekaje Mbu, inanibidi nikubaliane fika na MwanajamiiOne kwamba you are so tempting (to her)!
NGOJA KAKA....
mtu assume hapokei simu usiku...
wala hakupigii usiku.....
sms hajibu.....eti nilikuwa nimelala..au nacheki mechi
kuna mtu analalaa saa 12? tupilia mbali huko
hapa ngoja nichape lapa naweza jikuta nawekeza kwenye ngono bure, ngoja nirudi katika philosophy yangu ya hit and run....hahaha, panda mti kata mti...utamu wa peremende mate yako. Si ushamega? ....gharama ya nini tena? Wekeza Tua ngoma
Nionavyo ni kwamba wewe unaacha, huachwi!
Ukimuacha mwanaume na yeye asifanye effort tena za kutosha na kwa muda kuhakikisha anakurudisha kundini, jua fika kuwa uamuzi wako wa kuacha ulikuwa wa busara.
Kila mtu ana wake, hivyo ukija pata wako hutaacha wala kuachwa, kifupi hamtaachana hata msipopigiana simu mwaka!
.......ni kawaida mpenzi, .....when the time is right, utapenda ki Upendo (-ki roho.)
Utaacha kupenda kimapenzi.(kiakili)
Sawa mrembo Smile? 😉
Smile bado tu hujaelewa somo mamii?! Hebu Msome Mbu kwa herufi kubwa hapa.... Smile, .....come and I will show you what love is....najua hutonogewa lakini angalau utajua kwanini sie hujitoa fahamu muda wote huo...😛
@Dena habari mama! Sudani wazima?Smile bana huwa nikikukosa sina raha especially kama sijaona thread yako......................
Utampata unayempenda dear usijali
@Dena habari mama! Sudani wazima?
hahaha mimi tena nizime cm? Aisee Salimia Juba huko!Mzima kabisa mbona unazima sana simu???
Juba tuko poa kabisa ila joto tu ndo jingi sana
Salimia Mama wa First................
hahaha mimi tena nizime cm? Aisee Salimia Juba huko!
Lini sasa waja?