Naacha kazi serikalini

Hongera mkuu kwa kulitambua hilo maana ni wachache wenye kuona, usiendelee kupoteza mda wako hasa nguvu yako huko ambako moyo hautaki, kuwa tu na utayari ukijua kabisa maaisha ya kutafta hela na si kulipwa sio magumu wala sio rahisi. Ila ni mazuri kukufikisha na kufanya kile unachotaka kuliko ajira hasa hiyo ulionayo, usisubiri kujikusanya kuwa uwe vizuri ndo utoke No, kaa na shemeji muelezane hali mlio nayo, mnataka nini n.k! Si rahisi kupata nini cha kufanya baada ya hapo ikiwa bado unakumbatia ajira, Anza na ulicho nacho, Anzia Hapo hapo.
Kwa sasa utaanza kwa kuishi kuifikria Leo na sio kesho yako, itafika mda utaanza kuifikria kesho na kuendelea,
Make right decision now To make your next Joy
 
Haujanielewa mkuu, ninaposema wanateseka ninamaanisha, mtu anakuwa analalamika kwamba haoni faida ya ualimu kwasababu pesa anayopata haitoshelezi mahitaji. Sasa ukijiuliza 470000+ inashindwaje kumtosha?

Ndipo unagundua kuwa alikopa hela nyingi kama 10m, ambapo benki inamkata nusu ya mshahara wake. Pia alipokopa hakuenda kuwekeza kwenye kitu ambacho kitamrudishia faida ambayo inatuwa ina cover ule mshahara nusu anaopewa.

Pia unakuta muda wa kurudisha deni ni miaka 5 hadi 6. Sasa mtu anateseka kwasababu kiasi anachopata ni kidogo, na pia muda wa kulipa ni mrefu sana

Ndipo wanaanza kulalamika kwamba ualimu haulupi, lakini kumbe aliutu.ia pupa ambayo inamtesa.
Hii cio kweli mkuu take home yangu ni 400000's na nmesema staki kuchukua mkopo nkaondoka mana cpendi kukaa nawaza ivi watantafta au hawatantafta stakua huru naitaji kuwa free
 
Hongera mkuu kwa kulitambua hilo maana ni wachache wenye kuona, usiendelee kupoteza mda wako hasa nguvu yako huko ambako moyo hautaki, kuwa tu na utayari ukijua kabisa maaisha ya kutafta hela na si kulipwa sio magumu wala sio rahisi. Ila ni mazuri kukufikisha na kufanya kile unachotaka kuliko ajira hasa hiyo ulionayo, usisubiri kujikusanya kuwa uwe vizuri ndo utoke No, kaa na shemeji muelezane hali mlio nayo, mnataka nini n.k! Si rahisi kupata nini cha kufanya baada ya hapo ikiwa bado unakumbatia ajira, Anza na ulicho nacho, Anzia Hapo hapo.
Kwa sasa utaanza kwa kuishi kuifikria Leo na sio kesho yako, itafika mda utaanza kuifikria kesho na kuendelea,
Make right decision now To make your next Joy
Nimependa sana mkuu haya maneno naomba ukinikubalia uendelee kunishauri hata baada ya huu uzi ubarikiwe sana
 
Mbona iko wazi. Unalazimika kwenda kazini asubuhi na mapema, unakaa huko mpaka jioni, toka Jumatatu mpaka Ijumaa mpaka siku unafikisha miaka 60. Siku usipoenda unatakiwa kutoa maelezo kwa nini haukwenda kazini. Sasa unataka ufafanuzi gani tena?
K
Kwanini mkuu unasema hivo
 
Hii cio kweli mkuu take home yangu ni 400000's na nmesema staki kuchukua mkopo nkaondoka mana cpendi kukaa nawaza ivi watantafta au hawatantafta stakua huru naitaji kuwa free
Sorry mtoa mada, mimi sijasema wewe ndiye umefanya hivi, ila nilikuwa najibu hoja fulani ya mtu hapo juu

Nikija kwako, ushauri wangu ni kwamba, kama unajijua unaakili ya biashara, na uliwahi kufanikiwa katika biashara,; basi fuata vitu walivyokushauri watu hapa ,ikiwemo kuhakikisha unakiasi fulani ambacho kirakusaidia pindi utakapokuwa unaipogania biashara yako. Lakini pia utakapo amua kwamba ninaacha kazi basi achana na mawazo ya kazi kwasababu yatakufanya ushindwe kukazia fikra kwenye biashara yako.

Kitu cha mwisho, chukua ushauri wa watu, ila usiamini kwamba huy anayenishauri ni kweli aliacha kazi kama yangu na ni kweli amefanikiwa. Bali jaribu sana kutafuta mifano hai ya walioachakazi na kufanikiwa ama kufeli.
Yaani uwatafute huko huko uliko, na pia hakikisha unapata info iliyo kamili kuhusu hiyo ishu ( maana kila biashara inasiri zake, ikiwemo ubahiri, ushirikina, ukwepaji kodi na vitu vinginevyo ambavyo kwa kawaida hauwezi kujua bila kuambiwa). Kila la kheri mkuu
 
Sorry mtoa mada, mimi sijasema wewe ndiye umefanya hivi, ila nilikuwa najibu hoja fulani ya mtu hapo juu

Nikija kwako, ushauri wangu ni kwamba, kama unajijua unaakili ya biashara, na uliwahi kufanikiwa katika biashara,; basi fuata vitu walivyokushauri watu hapa ,ikiwemo kuhakikisha unakiasi fulani ambacho kirakusaidia pindi utakapokuwa unaipogania biashara yako. Lakini pia utakapo amua kwamba ninaacha kazi basi achana na mawazo ya kazi kwasababu yatakufanya ushindwe kukazia fikra kwenye biashara yako.

Kitu cha mwisho, chukua ushauri wa watu, ila usiamini kwamba huy anayenishauri ni kweli aliacha kazi kama yangu na ni kweli amefanikiwa. Bali jaribu sana kutafuta mifano hai ya walioachakazi na kufanikiwa ama kufeli.
Yaani uwatafute huko huko uliko, na pia hakikisha unapata info iliyo kamili kuhusu hiyo ishu ( maana kila biashara inasiri zake, ikiwemo ubahiri, ushirikina, ukwepaji kodi na vitu vinginevyo ambavyo kwa kawaida hauwezi kujua bila kuambiwa). Kila la kheri mkuu
Asante mkuu yani umegusa kila angle
 
Fuata kile roho inataka
bila kusahau mtaani kuna watu kama laki hivi wanatafuta kazi
wishing all the best SIR/MADAM
 
Mbona iko wazi. Unalazimika kwenda kazini asubuhi na mapema, unakaa huko mpaka jioni, toka Jumatatu mpaka Ijumaa mpaka siku unafikisha miaka 60. Siku usipoenda unatakiwa kutoa maelezo kwa nini haukwenda kazini. Sasa unataka ufafanuzi gani tena?
Lakini si unalipwa,
 
Viwanda mbona havijafungwa? Vinazalisha sasa zinaenda wapi? Unatakiwa unadilike huwezi kuwa costant hapana.
Tatizo linapotokea huwezi kukimbilia fasta Kufunga biashara, ila utapunguza idadi ya ya mzigo, ndo mana miaka ya Kikwete viri kuu havikuwepo ila siku zipo na bia kubwa hazina wateja kama bia ndogo,
Maisha yamebadilika
 
Fanya hivi kusanya nguvu kidogo kidogo kwanza,ingia miji inayoendelea fungua duka la spare za pikipiki. Halafu ndio uache kazi,songa mbele hutajuta. Piga chini hiyo kazi
Exactly kama umenisoma, nimefungua duka la spea miaka miwili iliyopita linafanya vizuri ingawa sio sana kutokana na mtaji niliyoweka, sasa nimekopa m. kadhaa naingiza hiyo pesa kidogo kidogo kwenye biashara kulingana na demand ya wateja na bidhaa za kampuni (kuchagua spea nzuri kulingana na kampuni) na pesa nyingine nimepanga kununua pikipiki nimpe mtu mkataba aniletee 10000 kila siku nimepanga ninunue mahindi msimu huu kwa ajili ya kuuza ila mwakani nimepanga niingie shambani mwenyewe kwa kuwa nafikilia kuanzisha duka la nafaka hivyo mazao kama maharage na mahindi nitayatoa direct shambani...
I stand to be corrected and to be edited. Ila
NB: Kazi siachi ingawa nimekumbana na changamoto nyingi sana.
 
Sikia unachokosea hapo ni kitu kimoja. Unafanya mambo meeeengi kwa wakati mmoja. Wakati huo huo unalalamikia mtaji wako mdogo kuringana na wateja. Kumbuka hapo umezungumzia mambo manne yote unataka uyaendeshe kwa pamoja wakati bado capital yako haijakaa sawa. Hapo ni sawa ni kubahatisha. Na hapo ujue duka litakufa,utakaempatia hiyo pikipiki watakuwa wanakuzingua. Fanya hivi. Yooote unayotaka kufanya nakushauri achana nayo kwanza. Wekeza nguvu yote hiyo kwenye duka. Inafuatana na ulipo. Kama unaweza kuuza kwa siku si chini ya laki moja,peleka nguvu yote huko. Halafu hakikisha unaemuacha hapo dukani ni muaminifu sana. Muda mwingi uwepo mwenyewe,andika bidhaa zinazotakiwa na wateja sana,kila hela unayoipata agiza mzigo tu. Biashara ya mazao ni babkubwa,lakini lazima uwe sehemu zenye population ya watu. Kama uko dar,tandika tandika huko. Ukitaka madini zaidi ya biashara hii na ukitaka ufafanuzi zaidi kwa nini nakuambia fanya moja kwanza nifuate. Nimechoka kuandika. Lakini nimekupa madini ya kukufaa kuanzia
 
Exactly kama umenisoma, nimefungua duka la spea miaka miwili iliyopita linafanya vizuri ingawa sio sana kutokana na mtaji niliyoweka, sasa nimekopa m. kadhaa naingiza hiyo pesa kidogo kidogo kwenye biashara kulingana na demand ya wateja na bidhaa za kampuni (kuchagua spea nzuri kulingana na kampuni) na pesa nyingine nimepanga kununua pikipiki nimpe mtu mkataba aniletee 10000 kila siku nimepanga ninunue mahindi msimu huu kwa ajili ya kuuza ila mwakani nimepanga niingie shambani mwenyewe kwa kuwa nafikilia kuanzisha duka la nafaka hivyo mazao kama maharage na mahindi nitayatoa direct shambani...
I stand to be corrected and to be edited. Ila
NB: Kazi siachi ingawa nimekumbana na changamoto nyingi sana.
Sikia unachokosea hapo ni kitu kimoja. Unafanya mambo meeeengi kwa wakati mmoja. Wakati huo huo unalalamikia mtaji wako mdogo kuringana na wateja. Kumbuka hapo umezungumzia mambo manne yote unataka uyaendeshe kwa pamoja wakati bado capital yako haijakaa sawa. Hapo ni sawa ni kubahatisha. Na hapo ujue duka litakufa,utakaempatia hiyo pikipiki watakuwa wanakuzingua. Fanya hivi. Yooote unayotaka kufanya nakushauri achana nayo kwanza. Wekeza nguvu yote hiyo kwenye duka. Inafuatana na ulipo. Kama unaweza kuuza kwa siku si chini ya laki moja,peleka nguvu yote huko. Halafu hakikisha unaemuacha hapo dukani ni muaminifu sana. Muda mwingi uwepo mwenyewe,andika bidhaa zinazotakiwa na wateja sana,kila hela unayoipata agiza mzigo tu. Biashara ya mazao ni babkubwa,lakini lazima uwe sehemu zenye population ya watu. Kama uko dar,tandika tandika huko. Ukitaka madini zaidi ya biashara hii na ukitaka ufafanuzi zaidi kwa nini nakuambia fanya moja kwanza nifuate. Nimechoka kuandika. Lakini nimekupa madini ya kukufaa kuanzia
 
Sikia unachokosea hapo ni kitu kimoja. Unafanya mambo meeeengi kwa wakati mmoja. Wakati huo huo unalalamikia mtaji wako mdogo kuringana na wateja. Kumbuka hapo umezungumzia mambo manne yote unataka uyaendeshe kwa pamoja wakati bado capital yako haijakaa sawa. Hapo ni sawa ni kubahatisha. Na hapo ujue duka litakufa,utakaempatia hiyo pikipiki watakuwa wanakuzingua. Fanya hivi. Yooote unayotaka kufanya nakushauri achana nayo kwanza. Wekeza nguvu yote hiyo kwenye duka. Inafuatana na ulipo. Kama unaweza kuuza kwa siku si chini ya laki moja,peleka nguvu yote huko. Halafu hakikisha unaemuacha hapo dukani ni muaminifu sana. Muda mwingi uwepo mwenyewe,andika bidhaa zinazotakiwa na wateja sana,kila hela unayoipata agiza mzigo tu. Biashara ya mazao ni babkubwa,lakini lazima uwe sehemu zenye population ya watu. Kama uko dar,tandika tandika huko. Ukitaka madini zaidi ya biashara hii na ukitaka ufafanuzi zaidi kwa nini nakuambia fanya moja kwanza nifuate. Nimechoka kuandika. Lakini nimekupa madini ya kukufaa kuanzia
Mkuu nakubaliana na mawazo yako, ila nahisi kama hujanielewa vyema, ni hivi tokea nifungue hii duka mtaji ulikuwa sio mkubwa sana kama 1.7m nikaliendesha hadi nimekuwa mzoefu kwa kiasi fulani na nimepandisha mtaji umefika kama 2M hivi, hivyo naingiza mtaji kama 2.5m ku boost biashara iwe na mtaji kama 4.5m ila nafanya kama kujikopesha kila mwezi nitatoa pesa kidogo, kwa upande mmoja ila upande mwingine ni extend source of income kwa kununua pikipik kama nilivyoeleza hapo juu na uku nako najikopesha tena kisha ndo napambana na mazao mi mwenyewe huku nikiwasimamia kwa karibu vijana wangu wa dukani na pikipiki.
Nishauri kwa muktadha huu mkuu, naamini utaniongezea chochote
 
Mkuu nakubaliana na mawazo yako, ila nahisi kama hujanielewa vyema, ni hivi tokea nifungue hii duka mtaji ulikuwa sio mkubwa sana kama 1.7m nikaliendesha hadi nimekuwa mzoefu kwa kiasi fulani na nimepandisha mtaji umefika kama 2M hivi, hivyo naingiza mtaji kama 2.5m ku boost biashara iwe na mtaji kama 4.5m ila nafanya kama kujikopesha kila mwezi nitatoa pesa kidogo, kwa upande mmoja ila upande mwingine ni extend source of income kwa kununua pikipik kama nilivyoeleza hapo juu na uku nako najikopesha tena kisha ndo napambana na mazao mi mwenyewe huku nikiwasimamia kwa karibu vijana wangu wa dukani na pikipiki.
Nishauri kwa muktadha huu mkuu, naamini utaniongezea chochote
Sawa nimekuelewa. Ninachokikataa mimi ni huko kujikopesha kwenda kufanyia kazi zingine,wakati duka bado linahitaji liongezewe hela. (Labda mpaka utakaponiambia limejitosheleza). Yaani kujitosheleza kwa maana ya vifaa vilivyopo dukani,uwe na kama hivyo tena stool. Na hapo kila bidhaa itakayokosekana dukani usiwe na wasiwasi wa kuiagiza. Sio tena bidhaa haipo dukani,halafu ni muhimu,huku hela umejikopesha imekaa kwenye mahindi. Nakuhakikishia hivyo vyote utavifanya mbele,ila jitosheleze kwanza kwenye duka. Usiwe na tamaa ya kufanya vitu vingi utakwama mahala. Niamini. Deal na kitu kimoja kwanza. Hivyo vyote vitakuja tu mbele. Halafu umesema vijana dukani. Muda mwingi wewe uwe unakuwepo. Hesabu zote endesha wewe,agiza mzigo wote wewe. Usilidharau hilo duka kama una wateja. Wewe ndio utawakimbiza wateja kwa kukosa bidhaa muhimu,baada ya kujikopesha hela ya dukani
 
Sawa nimekuelewa. Ninachokikataa mimi ni huko kujikopesha kwenda kufanyia kazi zingine,wakati duka bado linahitaji liongezewe hela. (Labda mpaka utakaponiambia limejitosheleza). Yaani kujitosheleza kwa maana ya vifaa vilivyopo dukani,uwe na kama hivyo tena stool. Na hapo kila bidhaa itakayokosekana dukani usiwe na wasiwasi wa kuiagiza. Sio tena bidhaa haipo dukani,halafu ni muhimu,huku hela umejikopesha imekaa kwenye mahindi. Nakuhakikishia hivyo vyote utavifanya mbele,ila jitosheleze kwanza kwenye duka. Usiwe na tamaa ya kufanya vitu vingi utakwama mahala. Niamini. Deal na kitu kimoja kwanza. Hivyo vyote vitakuja tu mbele. Halafu umesema vijana dukani. Muda mwingi wewe uwe unakuwepo. Hesabu zote endesha wewe,agiza mzigo wote wewe. Usilidharau hilo duka kama una wateja. Wewe ndio utawakimbiza wateja kwa kukosa bidhaa muhimu,baada ya kujikopesha hela ya dukani
Big up mkuu nimekupata vyema. Je unahisi nitakuwa sahihi pesa yote ya mkopo kuingiza kwenye biashara moja.
 
Mkuu nakubaliana na mawazo yako, ila nahisi kama hujanielewa vyema, ni hivi tokea nifungue hii duka mtaji ulikuwa sio mkubwa sana kama 1.7m nikaliendesha hadi nimekuwa mzoefu kwa kiasi fulani na nimepandisha mtaji umefika kama 2M hivi, hivyo naingiza mtaji kama 2.5m ku boost biashara iwe na mtaji kama 4.5m ila nafanya kama kujikopesha kila mwezi nitatoa pesa kidogo, kwa upande mmoja ila upande mwingine ni extend source of income kwa kununua pikipik kama nilivyoeleza hapo juu na uku nako najikopesha tena kisha ndo napambana na mazao mi mwenyewe huku nikiwasimamia kwa karibu vijana wangu wa dukani na pikipiki.
Nishauri kwa muktadha huu mkuu, naamini utaniongezea chochote
Hongera mkuu umepiga hatua but kwanza nikushauri kitu unafanya mambo mengi kwa wakati mmoja hutakua na ufanisi vizur ni bora nguvu zote ungezikusanya sehemu moja

Pili nimefanya pia kazi ya duka kwa experience kazi ya duka inafaida ndogo sana hivyo inahitaji uaminifu wa hali ya juu mfano vocha faida yke ni shlingi 20 ukimpata mtu akachukua hata 1000 mana yake amekula Faida ya vocha 50 (na hii ni kawaida Sana)

Kazi ya duka ni ya watu wawili tu mke o mume vinginevyo utalia
 
Back
Top Bottom