mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,624
Kama ni yeye analipa bili basi yupo kujifurahishsa sababu mume wake nae ana yake. Inamuuma ukikaa nae vizuri atakueleza.
Vizuri kumshauri mengi yapo nje kama magonjwa n.k.
Pia muda wa haya ataupita tu ni sababu ya ndoa yao ilivyo.
Wanahitaji kuelewana, kama rafiki jaribu hapo kusaidia bila kusema wanayofanya. Yaani usimwanike mwenzako hata iweje kwako yeye ni mke bora... Urafiki kwanza kama unampenda kwa kona ndio unampa makavu laivu.
Vizuri kumshauri mengi yapo nje kama magonjwa n.k.
Pia muda wa haya ataupita tu ni sababu ya ndoa yao ilivyo.
Wanahitaji kuelewana, kama rafiki jaribu hapo kusaidia bila kusema wanayofanya. Yaani usimwanike mwenzako hata iweje kwako yeye ni mke bora... Urafiki kwanza kama unampenda kwa kona ndio unampa makavu laivu.