Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,060
- 18,029
Yes!! Tuanzie hapo kwanza! Usijekuta kazi yake ndiyo hii unayoipondea huku,ananunuliwa chips na Fanta! Akiacha utamnunulia wewe? Acha wivu.Mumewe anafanya kazi?
Ye mwenyewe anakazi gani?
Yes!! Tuanzie hapo kwanza! Usijekuta kazi yake ndiyo hii unayoipondea huku,ananunuliwa chips na Fanta! Akiacha utamnunulia wewe? Acha wivu.Mumewe anafanya kazi?
Ye mwenyewe anakazi gani?
na hayo yote tulia oa sio unataka mechi za mchangani na kulipia huwezi umfuje nani hivihivi?ndio maana nawapenda sana wanawake wachapakazi hata mkija kuishi wote unajenga familia iliyobora kuliko kuwa na mwanamke mpenda vigodoro kazi hataki hata wazo la kujishughulisha hana anawaza wapi atapatwa bwana mpya hayo ni mawazo finyu sana,mwanamke ukijutuma hakika utatoboa bila ya kumtegemea mwanaume kwasasa nyakati zimebadilika pambaneni msiendekeze vya dezo
Acha roho mbayasiuzi wala sitoi bure
Inahudumiwa mkuu.Umepewa bure, toa buree.
wanaume wote ni walewale yaani wanaume wote wanafanana mwanzo mwisho.
Ahahaa sasa mtu unaliwa unaishia kupewa 10 ya bajaji??huyo nae mh!kwani usipoliomba mapema halitasepa? bora uachwe na chako mkononi
ccm chukua chako mapema
mama idumu ccm kama hatoi na papuchi ataisikia tu
Inaonekana ungependa uuze kama ungekuwa wewesiuzi wala sitoi bure
kuolewa au kuoa siyo ndiyo tiketi ya kuacha kutafuna papuchi za nje!Kwahiyo angekuwa anakigawa kwa pesa ni sahihi??
Hivi kwanini watu huwa wanaolewa au kuoa ikiwa bado hamjamaliza upuuzi!!
Naomba nikupuuze!kuolewa au kuoa siyo ndiyo tiketi ya kuacha kutafuna papuchi za nje!
Hivi huwa nikuuza ama kukodishasiuzi wala sitoi bure
kuna mdada bwana ni mke wa mtu yuleee alieniachia mtoto akaenda kugegedwa!
nilimuambia mimi hayo mambo sitaki akaachana na yule jamaa maana baada ya kumdadisi kumbe jamaa alikuwa hampi hata mia pia ni majirani ingeleta noma .
mimi nikajua ametulia bna kumbe baado analiendeleza kapata bwana mwingine sijui wapi eti anadai anataka kumuoa.nimemuuliza vepe jamaa anakulea lea mjini akadai ooh sijawai kumuomba hela na yeye hajanipa sema alinipa elf kumi ya bajaji kurudi nyumbani siku moja.nikamuuliza sasa mahusiano yenu yapoje akadai anampenda jamaa na yeye jamaa anampenda sana. nikamuambia aya bwana mjini hapa .
mume wake nae ana michepuko yaani katika ndoa yao ipo kwenye usajili ila wanachokifanya wanajua wenyewe.
sasa tujiulize wanawake wenzangu umeolewa una watoto tena wadogo kabisa sawa mume kawa hasomeki ,na wewe na uzuri wako unaanza kukutembeza bila malipo eti ni upendo .kuna mwanaume atakupenda mke wa mtu kweli? tena anakugegeda hotelini huko umeacha vichanga nyumbani unakunywa pombe unavuta hadi sigara? utakuwa una thamani yoyote kweli .
hata kama mume ni mbaya usijitese na dunia maana utamaliza wanaume wote ni walewale yaani wanaume wote wanafanana mwanzo mwisho. bora ukae benchi kama kina sisi maana ni kujitesa tu.
Acha kudanganya uma mkuu,wanaume wa Dar wanafanana na nani???
.......Hebu tutake radhi please!
HahahahAcha kudanganya umma mkuu,wanaume wa Dar wanafanana na nani???
.......Hebu tutake radhi please!
![]()
KAMA ANATAKA FLAT TV SI ANGESEMA TU KWANI BEI GANI ?Ulisema Unatoa Laki moja na papuchi ili uuziwe Tv ya Laki 3!! Thread haijafutika bado! U gotta get livin
Kwa hiyo tusipewe? Kwenda zako huko.ha ha ha ha at the end K inakuwa bwawa la kihansi mie nashauri madada watafte hela kwa njia ya halali siyo yakutoa kiungo chenye heshima kwa kila mtu
UNGEPANDA DALADALA HIYO HELA UNGEONDOKA NAYO SASA SI MNAPENDA KUJIONA MATAWI MWISHOWE UMEONDOKA SENTI HUNAAhahaa sasa mtu unaliwa unaishia kupewa 10 ya bajaji??huyo nae mh!