power bank
Senior Member
- Aug 18, 2014
- 101
- 17
Laki mbili na nusu si trip TATU za Mawe/MCHANGA na Chenji inabaki 😳😳😳
tatizo ni nini muugwana? Kwani binadamu wote ni sawa? Mfano bw. Mengi anaweza kuhonga kiwanda (bonite) lakini si kuhonga ipp yote, vivyo hivyo wewe unaweza kuhonga passo lakini si kiwanda. Huyu jamaa naye anaweza kuhonga sh.10,000 lakini si 250,000. Kila mtu na level yake. Hata angelalamika kuombwa 10,000 kama ndio level yake mimi naona ni sawa tu.
Huu utofauti wa kipato ndio unaifanya dunia isonge (balance). Hatuwezi wote kuwa matajiri. Never, ever. Ni vema ukaheshimu maono ya kila mmoja hapa.
Tatizo ni nini muugwana? Kwani binadamu wote ni sawa? Mfano Bw. Mengi anaweza kuhonga kiwanda (Bonite) lakini si kuhonga IPP yote, vivyo hivyo wewe unaweza kuhonga Passo lakini si kiwanda. Huyu jamaa naye anaweza kuhonga sh.10,000 lakini si 250,000. Kila mtu na level yake. Hata angelalamika kuombwa 10,000 kama ndio level yake mimi naona ni sawa tu.
Huu utofauti wa kipato ndio unaifanya dunia isonge (balance). Hatuwezi wote kuwa matajiri. Never, ever. Ni vema ukaheshimu maono ya kila mmoja hapa.
usisahau picha za hiyo sorting..:smile-big::smile-big:Sipo Access dada yangu, nipo na benki moja yenye asili ya Kenya. Kwa wiki moja simpi. Kesho atakuja nyegez ninapoishi lazima nimsort
Mbona papuchi huwa mnawahi kuomba hata ukiwa kwenye masaa tu ya relationship...
Ukome nyie wafanyakazi wa benk huwa mnajionaga mnazo sana.
Kwann uliachana na x wako?
usisahau picha za hiyo sorting..:smile-big::smile-big:
Ile 250 nimeipiga chini kiaina, alikuja nikakaa nae kumueleza hali halisi. Kaelewa vizuri tu, ila akanipiga tena kizinga kingine. Daah, Nikamtoa.Kasafiri kaenda Shinyanga akirudi nitamfuturu kwanza kabla mambo mengine hayajaendelea maana kama kufunga nishafunga vya kutosha. Nahitaji kufuturuToa mrejesho ulivyojikusuru na hiyo 250,000
Hivi ulishaolewa bidada?7 days In relationship aaahhhaaaa kiboko duuuh tunajidharaulisha sometimes loooh . Acha tusiolewe tuu . Pole sana. Thanks..
eeh ikawaje sasa na muasia wako?Hivi ulishaolewa bidada?
Sent using my Nokia Torch
Asee! Muasia nimemuacha Mwanza mi nipo Dodoma. Nilihamishiwa huku.