N. Korea vows 'merciless' war against US

N. Korea vows 'merciless' war against US

Mbona hujajibu swali langu yakhe?

Ngoja nijaribu kuuliza tena.

Teh teh teh....North Korea wana inventions gani?

Dude NK are interesting commies. Not good at inventions at all, if you look at the military you will see that their arsenal is antique. Lakini ubabe walionao na vitisho vyao are real.

Ukibahatika kufika Seoul utajua kuwa mkwara wao si mchezo. Kuna siku nilizinguka Seoul na kuangalia mji ulivyokaa na watu wake +10 milion, world class hardware and lots of businesses na ukaribu wake na firing squad za DPRK.

The irony is, If US drops a nuke to DPRK today the only thing they can do is kill poor farmers withoutr causing any economic demages. In fact gharama ya bomu moja la US kwa DPRK ni kubwa kuliko hasara yoyote inayoweza kusababishwa ardhini. There is nothing much to attack or destroy there.

To the contrary if DPRK manages to drop one of their antiquated bombs or a nuke to Seoul, the cost to ROK and US will be very massive, may be a million times higher than the bomb itself. Hapo ndio jamaa walipowabana US na ROK. The only thing they have is lives and bombs.
 
Wakati nafuatilia falsafa ya JUCHE ndipo nilipogundua kuwa North Korea hana mzaha katika kulinda mipaka na uhuru wake.

Kwani kuna ambaye ana mzaha na kulinda mipaka na uhuru wake?

Kimsingi alishamwomba South Korea na mshirika wake USA waanzishe vita ili yeye amalize

Ni lini NK alimwomba SK na mshirika wake USA kuwa waanzishe vita naye? Unaweza kunipa chanzo cha hilo dai lako? Manake unarahisisha tu mambo ya vita kana kwamba vita huwa vinapiganwa kwa kuomba au kuombwa kirahisi rahisi tu namna hiyo.

maana wao ndo wenye kulilia vita.

Huwa wanaililiaje vita? Unaweza na hapa kunipa vyanzo vya jinsi ambavyo huwa wanaililia vita na North Korea?

I mean, vijitu vyenyewe huwa vinakufa njaa sasa watu wawaanzishie tu vita bila sababu ya lazima na msingi? Come on dude.

Kuilinganisha North Korea na Tanzania kwa namna yoyote nadhani ni makosa makubwa

GDP na per capita income za NK ni kiasi gani? Na za Tanzania ni kiasi gani?

kwa kuwa ukiondokana na propaganda za nchi za magharibi bado North Korea ni nchi yenye nguvu kiulinzi, kisiasa na hata uchumi wao si wa kubeza.

Hivi kuna nchi inayoizidi North Korea kwa propaganda? Hahahahaa kwenye hiyo nyanja hata mimi nakubali kwamba hawana mpinzani kabisa. Hata China haioni ndani.

Na kusema kweli North Korea haina uchumi wowote ule wa kutisha. Kama unabisha angalia metrics zote zinazotumika kupima uchumi wa nchi na utaona kuwa North Korea hawana uchumi wowote ule wa kutisha wala kustua mtu.

Nadiriki hata kusema Kenya imewazidi (kiuchumi) na hata sisi kwenye baadhi ya vipengele tumewazidi.

Lil' Kim aendelee tu kunyoa viduku na kuliliwa na wachuchu wajeda.....lakini kwenye world affairs ni irrelevant.
 
Dude NK are interesting commies.

That they are! They are not called the Hermit Kingdom for nothing.

Not good at inventions at all, if you look at the military you will see that their arsenal is antique.

Just about everything of theirs is antiquated. And yes, that includes their Mickey Mouse threats also. But I must admit they (their threats and fiery rhetoric) are funny as hell.

Lakini ubabe walionao na vitisho vyao are real.

Wana ubabe gani hao? Their bark has always been worse than their bite. Nothing more, nothing less.

Ukibahatika kufika Seoul utajua kuwa mkwara wao si mchezo.

Seoul nimefika mara kadhaa na sikuona chochote kile cha kutisha kutoka kwa hao majirani zao. Sana sana niliona vikaragosi vya kuchekesha kuhusu hao akina Kim.

Kuna siku nilizinguka Seoul na kuangalia mji ulivyokaa na watu wake +10 milion, world class hardware and lots of businesses na ukaribu wake na firing squad za DPRK.

Well, hata Pyongyang haipo mbali kivile na makombora ya South Korea yenye uwezo wa kui-flatten ndani ya siku moja tu. Umbali wa hiyo miji mwili ni takriban maili 120 hivi.

Ila hiyo miji miwili ni usiku na mchana. Seoul ni world class city na Pyongyang....sina hata adjective ya kuielezea.

Inasemekana na wenyewe (NK) huwa wana mgao wa umeme kama sisi. So go figure.

The irony is, If US drops a nuke to DPRK today the only thing they can do is kill poor farmers withoutr causing any economic demages.

That's right because there is no economy worthy of damaging to begin with. I mean, other than labor concentration camps, what's there? Do they even have bars? Restaurants? Malls? Office parks? Casinos? Strip joints?

To nuke them is to add unnecessary misery to the yokels and the hoi polloi at large.

In fact gharama ya bomu moja la US kwa DPRK ni kubwa kuliko hasara yoyote inayoweza kusababishwa ardhini. There is nothing much to attack or destroy there.

I wholeheartedly agree with you on this one. Other than human beings, there is nothing else of significant value there.

I feel sorry for those people for being cut off from the rest of the world. Look at how prosperous the south is. No wonder why you have North Korean defectors defecting to South Korea but I have never heard of South Korean defectors defecting to the North.

To the contrary if DPRK manages to drop one of their antiquated bombs or a nuke to Seoul, the cost to ROK and US will be very massive, may be a million times higher than the bomb itself. Hapo ndio jamaa walipowabana US na ROK. The only thing they have is lives and bombs.

Hapa nadhani una hoja. Ila pia kama DPRK (halafu unajua kirefu cha DPRK) ikifanya makosa na kurusha hayo makombora yake huko Seoul basi mwanzo wa mwisho wa utawala wa akina Lil' kim ndo utawadia.

Naweza kabisa kusema ni guarantee kuwa Lil' Kim hatakuwa tena kiongozi wa DPRK baada ya hapo na itakuwa deja vu all over again na Abrams tanks zitajivinjari kwenye mitaa ya Pyongyang kama zilivyojivinjari kwenye mitaa ya Baghdad. Na watu wa kawaida watapata ukombozi.
 
Watu wa north korea hali zao ni za kimaskini but raisi kawekeza kwny jeshi na vifaa vya kivita.
 
Kinachoshangaza ni Marekani kuwaacha waendelee na mikwara yao, kwanini asiwaswage kama Saddam?
Anajua kitakachowapta,ndio maana hawatii mguu! Atawachezea haohao wanafiki Waarabu.
 
Haka kajamaa ni stubborn kweli, sijui kwanini Marekani wameiacha hii familia kuendelea kutamba mpaka leo!

Kwani marekani ni nani hasa mpaka aingilie mambo ya north korea ambayo hayamuhusu??
 
Kana uwezo wa kupambana na USA na bila shaka USA atasalimu amri,do you remember about Vietnam?
Na inasadikiwa kwamba haka kajamaa kana vitu vya ncha kali kamevihifadhi kwenye moja ya visiwa vya China,na ile ya USA kujidai eti wanataka kuomba msaada wa kifedha china ili kuimarisha uchumi wao ilikua ni danganya toto tuu.Lengo ilikua ni kukonfirm kama ni kweli kuna vitu vya ncha kali vimehifadhiwa huko.But mpaka sasa hawajapata jibu la moja kwa moja ndio maana na wao wanaungurumia kwenye jiwe kama simba ili kumchanganya nyumbu mbugani na akipmbie hovyo bila plan kisha ajichukulie kirahisi mnofu.
Cha ajabu nyumbu mwenyewe(Korea)Kakausha kichakani.
 
Mimi siwaamini kivile hao jamaa. Hata hivyo vibomu vyao sijui vya nyuklia vinaweza vikawalipukia wenyewe na kuwadhuru kabla hata havijadhuru wengine.

Na pamoja ya kwamba kanaonekana hakana akili nzuri bado siamini kwamba ni kapumbavu kiasi cha kuweza kuanzisha timbwili na Marekani maana nchi nzima itaangamizwa.

Hata kuanzisha timbwili na South Korea hakawezi maana kanajua ndo utakuwa mwisho wake.

Sana sana huwa kunakuwa na rabsha rabsha tu za hapa na pale kati ya South na North lakini huwa hazifikii level ya full-blown war.

unaongelea N korea kama mambulula tanzania hawa jamaa technologia ya war weapon ipo juu sio mchezo ata wamarekan wanalijua hilo na wanawahofia kwani wana makombora ya masafa marefu ambayo yanaweza kuidhuru ardhi ya marekan ndo sababu kubwa wanaweka base pale s korea kwa usalama wao na kupaata baadhi ya vtaarfa kutoka n korea HUWEZI IFANANISHA KORWA NA IRAN ET NA LIBYA AU IRAQ HIZ NI NAMBA NYINGINE ZINAZOWAZIA HOFU WAMAREKANI MIAKA ENDA MIAKA RUDI
 
Leo sijui umeamka vipi na kuamua kumwita JKN baba wa taifa...was expecting name calling.

Si yangu hayo, nimeweka na chanzo, pitia ukajisomee.

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
 
Yani hao wanaishi kipekee asee kwanza hawanaga mitandao ya kijamii yaani kama makuku vilee...dah
Hio nchi sioo sioooo kabisaa....

Ni bora kuishi Korea kaskazini kusiko na mitandao ya kijamii kuliko tz kwenye majanga ya kila aina.
 
Mimi siwaamini kivile hao jamaa. Hata hivyo vibomu vyao sijui vya nyuklia vinaweza vikawalipukia wenyewe na kuwadhuru kabla hata havijadhuru wengine.

Na pamoja ya kwamba kanaonekana hakana akili nzuri bado siamini kwamba ni kapumbavu kiasi cha kuweza kuanzisha timbwili na Marekani maana nchi nzima itaangamizwa.

Hata kuanzisha timbwili na South Korea hakawezi maana kanajua ndo utakuwa mwisho wake.

Sana sana huwa kunakuwa na rabsha rabsha tu za hapa na pale kati ya South na North lakini huwa hazifikii level ya full-blown war.

umekuwa brainwashed na marekani hadi unatia huruma....wabeba maboksi bna....ha ha ha....mnanichekeshaga sana
 
Duh!, wadada wako all over him na kumlilia kabsa!,...ama kweli kama kwako kipofu kwa mwenzio kengeza!

Wakati jeshi lenu linazungumzia suala la Nidhamu na utiifu kwa mdomo, watu wanayatekeleza kwa vitendo.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Kwani marekani ni nani hasa mpaka aingilie mambo ya north korea ambayo hayamuhusu??
Marekani ndiye katishiwa kupigwa na North Korea. Ukifanya uchunguzi kwa nini atishiwe Marekani na si China, Russia au Tanzania utapata jibu la swali lako.
cc MANDELAA KIWELU
 
Si yangu hayo, nimeweka na chanzo, pitia ukajisomee.

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?

Si unajua zile shule zetu? Ndio maana nimeshangaa..inasikitisha kuona baadhi wakati hutumii neno Punguani, kama sijaona neno hilo hadi nakuwa na wasiwasi, si kawaida yako.
 
Si unajua zile shule zetu? Ndio maana nimeshangaa..inasikitisha kuona baadhi wakati hutumii neno Punguani, kama sijaona neno hilo hadi nakuwa na wasiwasi, si kawaida yako.

Punguani wahed.
 
That they are! They are not called the Hermit Kingdom for nothing.



Just about everything of theirs is antiquated. And yes, that includes their Mickey Mouse threats also. But I must admit they (their threats and fiery rhetoric) are funny as hell.



Wana ubabe gani hao? Their bark has always been worse than their bite. Nothing more, nothing less.



Seoul nimefika mara kadhaa na sikuona chochote kile cha kutisha kutoka kwa hao majirani zao. Sana sana niliona vikaragosi vya kuchekesha kuhusu hao akina Kim.



Well, hata Pyongyang haipo mbali kivile na makombora ya South Korea yenye uwezo wa kui-flatten ndani ya siku moja tu. Umbali wa hiyo miji mwili ni takriban maili 120 hivi.

Ila hiyo miji miwili ni usiku na mchana. Seoul ni world class city na Pyongyang....sina hata adjective ya kuielezea.

Inasemekana na wenyewe (NK) huwa wana mgao wa umeme kama sisi. So go figure.



That's right because there is no economy worthy of damaging to begin with. I mean, other than labor concentration camps, what's there? Do they even have bars? Restaurants? Malls? Office parks? Casinos? Strip joints?

To nuke them is to add unnecessary misery to the yokels and the hoi polloi at large.



I wholeheartedly agree with you on this one. Other than human beings, there is nothing else of significant value there.

I feel sorry for those people for being cut off from the rest of the world. Look at how prosperous the south is. No wonder why you have North Korean defectors defecting to South Korea but I have never heard of South Korean defectors defecting to the North.



Hapa nadhani una hoja. Ila pia kama DPRK (halafu unajua kirefu cha DPRK) ikifanya makosa na kurusha hayo makombora yake huko Seoul basi mwanzo wa mwisho wa utawala wa akina Lil' kim ndo utawadia.

Naweza kabisa kusema ni guarantee kuwa Lil' Kim hatakuwa tena kiongozi wa DPRK baada ya hapo na itakuwa deja vu all over again na Abrams tanks zitajivinjari kwenye mitaa ya Pyongyang kama zilivyojivinjari kwenye mitaa ya Baghdad. Na watu wa kawaida watapata ukombozi.

Umesema sana lakini it is all about your Signature; Miafrika ndivyo tulivyo. Na hii ni kwa sababu tumelishwa kasumba mbaya na nchi za magharibi zikihesabiwa sambamba na USA. Tunaamini katika hizo tu. Lakini naomba uwasaidie wanajukwaa kufahamu ni kwa nini usiku na mchana SK na USA hawapumui wanapoilinda Military Demarcation line kati ya hawa blood related Nk & SK. Muulize Japan pamoja na kwamba vita kati yake na NK iliicha NK hohe hahe na bado NK karudi kuwa tishio katika ukanda wao.
Muulize USA alijibu nini wakati NK alipomuhakikishia kuwa pamoja kuipiga SK ana uwezo wa kutandika nuke moja kwa moja katika ardhi ya USA.
Ni wazi nchi zote zinapiga propaganda sana japokuwa ni wazi nchi za Magharibi ukihesabu na USA kwa kutumia media zao zimetufanya "Miafrika kuwa kama tulivyo" . Hatuambiwi wala hatusikii kuhusu "wakubwa" hawa. And we don't argue.
Mataifa kama Russia, China, Irani, North Korea and the like; wanaiambia USA waziwazi kuwa wanauwezo wa kupambana nae kwa kujua kuwa pamoja na kwamba watashusha nuke katika ardhi yake pia wana uwezo wa kutandika katika ardhi ya swaiba zake hasa watakao host upuuzi wowote wa USA. Na hii ni kwa sababu moja kubwa kwamba na wao wanahitaji resources zao na nyinginezo ziwasaidie wao kwa maendeleo yao kama apendavyo USA katika maendeleo yake. So, kwa hilo mataifa hayo yanpofikia hapo hayana utani na ardhi yao hata kama angekuja "kiranja" USA.
Hebu niambie ni nchi gani katika Afrika itamtunishia msuli USA? North Korea ilimwambia ataitazama kama "kuku anavyomtazama na kumtamani mende aliyeko kwenye kioo kigumu kabisa..."
Katika google utapata habari za NK lakini kwa uhondo na mapana zaidi pitia kwa uchache vitabu vya the Great Leader Kim IL Sung...viko vingi sana and Do that home work. Ukimaliza rudi hapa tuendelee kwa pamoja.
 
unaongelea N korea kama mambulula tanzania hawa jamaa technologia ya war weapon ipo juu sio mchezo ata wamarekan wanalijua hilo na wanawahofia kwani wana makombora ya masafa marefu ambayo yanaweza kuidhuru ardhi ya marekan ndo sababu kubwa wanaweka base pale s korea kwa usalama wao na kupaata baadhi ya vtaarfa kutoka n korea HUWEZI IFANANISHA KORWA NA IRAN ET NA LIBYA AU IRAQ HIZ NI NAMBA NYINGINE ZINAZOWAZIA HOFU WAMAREKANI MIAKA ENDA MIAKA RUDI

Hawana lolote hao zaidi ya propaganda. Wanachoweza ni kuchimba biti na kurusha vikombora vyao baharini tu.
 
Back
Top Bottom