BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Kana kitu kizito ndicho kinachompa kibri na kalivyo na akili finyu haka kajamaa kanaweza kukiachia kitu kizito na kuathiri sehemu kubwa ya dunia kwa miaka chungu nzima ijayo.
Kinachoshangaza ni Marekani kuwaacha waendelee na mikwara yao, kwanini asiwaswage kama Saddam?