N. Korea vows 'merciless' war against US

N. Korea vows 'merciless' war against US

Kichaka alipokuwa madarakani alikuwa so obsessed kurevenge kwa kauli ya kutaka kumuua baba yake hivyo akawa busy kutafuta "silaha za maangamizi" na kuwasahau hawa jamaa na wao kuutumia upenyo huo wa kusahaulika kupata kitu kizito chenye ncha kali.

mkuu BAK suala la North Korea kumiliki nukes si la kuaminika ni ukweli mtupu na hata wamarekani na washirika wao wanalifahamu hilo na wanaogopa ukizingatia sasa hivi anamiliki Taepodong 1na taepodong 2ambayo ni ICBM ambayo inauwezo wa kupiga mpaka upande wa mashariki wenye majimbo ya New York, New Jersey, North na South Carolina na mengineyo acha ule wa magharibi unaopakana nayo kwa bahari wenye LA, Frisco, nk. kwa hiyo America na South Korea wanajua nini IL sung, Jong IL na Jong un wanazungumzia.
 
Kinadharia tete, ukipewa uchaguzi wa kuzaliwa Tanzania au Korea Kaskazini utachagua uzaliwe wapi?

Bora Tanzania aisee....nikishindwa game kabisa naenda kubeba mabox. Korea North ni issue...the only job available is to sing for that bastard
 
Huyu jamaa hana akili ndo maana USA anakaa kimya tu. Kwani akimgusa basi SKorea watapigwa Nuke
 
Sidhani hizo nchi zingine, ukiondoa labda Afghanistan, licha ya kwamba na zenyewe zilikuwa au zinaendeshwa kidikteta, unaweza kuzilinganisha na Korea Kaskazini.

Hata Zimbabwe chini ya Mugabe sasa hivi ina nafuu maradufu kuliko Korea Kaskazini.
Mbona unadhani? kwanini usitafute data..

[TABLE="class: infobox geography vcard"]
[TR="class: mergedtoprow"]
[TH="colspan: 3"]Population[/TH]
[/TR]
[TR="class: mergedrow"]
[TD] - [/TD]
[TD]2013 estimate[/TD]
[TD]24,895,000 (48th)[/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedrow"]
[TD] - [/TD]
[TD]2011 census[/TD]
[TD]24,052,231[SUP][2][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedbottomrow"]
[TD] - [/TD]
[TD]Density[/TD]
[TD]198.3/km[SUP]2[/SUP] (63rd)
513.8/sq mi[/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedtoprow"]
[TD="colspan: 2"]GDP (PPP)[/TD]
[TD]2011 estimate[/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedrow"]
[TD] - [/TD]
[TD]Total[/TD]
[TD]$40 billion[SUP][3][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedbottomrow"]
[TD] - [/TD]
[TD]Per capita[/TD]
[TD]$1,800[SUP][3][/SUP][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kwa takwimu hizo hata Tanzania hatuoni ndani kwa korea kaskazini. Unajua media za west huwa zinatudanganya sana kwamba jamaa wako hoi ila ki ukweli jamaa hawako vibaya kama tunavyodhani.. (hizo ni data za google) Tusiwadharau sana north korea
 
  • Thanks
Reactions: 999
Ila mkuu uchumi wa hawa watu umetupita mbali sana halafu majority wa raia ni wasomi, sasa sijui kwanini unawaita ni wajinga au kwa sababu ni nchi ya kijamaa. Kuna mengi sana watu hawafahamu kuhusu hii nchi.

Wametupita kwenye vigezo gani vya kiuchumi?

Na usomi wao umeupimaje?
 
Mbona unadhani? kwanini usitafute data..

[TABLE="class: infobox geography vcard"]
[TR="class: mergedtoprow"]
[TH="colspan: 3"]Population[/TH]
[/TR]
[TR="class: mergedrow"]
[TD] -[/TD]
[TD]2013 estimate[/TD]
[TD]24,895,000 (48th)[/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedrow"]
[TD] -[/TD]
[TD]2011 census[/TD]
[TD]24,052,231[SUP][2][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedbottomrow"]
[TD] -[/TD]
[TD]Density[/TD]
[TD]198.3/km[SUP]2[/SUP] (63rd)
513.8/sq mi[/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedtoprow"]
[TD="colspan: 2"]GDP (PPP)[/TD]
[TD]2011 estimate[/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedrow"]
[TD] -[/TD]
[TD]Total[/TD]
[TD]$40 billion[SUP][3][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedbottomrow"]
[TD] -[/TD]
[TD]Per capita[/TD]
[TD]$1,800[SUP][3][/SUP][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kwa takwimu hizo hata Tanzania hatuoni ndani kwa korea kaskazini. Unajua media za west huwa zinatudanganya sana kwamba jamaa wako hoi ila ki ukweli jamaa hawako vibaya kama tunavyodhani.. (hizo ni data za google) Tusiwadharau sana north korea

Nadhani hizo utakuwa umezitoa Wikipedia.

Sasa, ili kutenda haki ziweke na za Tanzania basi.
 
Nadhani hizo utakuwa umezitoa Wikipedia.

Sasa, ili kutenda haki ziweke na za Tanzania basi.
Hizi hapa

[TABLE="class: infobox geography vcard"]
[TR="class: mergedtoprow"]
[TD="colspan: 2"]GDP (nominal)[/TD]
[TD]2014 estimate[/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedrow"]
[TD] - [/TD]
[TD]Total[/TD]
[TD]$36.6 billion[SUP][7][/SUP][SUP]a[/SUP][/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedbottomrow"]
[TD] - [/TD]
[TD]Per capita[/TD]
[TD]$768[SUP][7]
[/SUP]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: infobox geography vcard"]
[TR]
[TD="colspan: 2"]Gini (2012)[/TD]
[TD]37.8[SUP][8][/SUP]
medium[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]HDI (2013)[/TD]
[TD]
11px-Increase2.svg.png
0.488[SUP][9][/SUP]
low · 159[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Hiyo HDI kwetu ni ndogo mno ukicompare na wao ambayo ipo kwenye 0.67
 
Kwa North Korea umeenda Wikipedia na kuokota hizi habari.

Mbona unadhani? kwanini usitafute data..

[TABLE="class: infobox geography vcard"]
[TR="class: mergedtoprow"]
[TH="colspan: 3"]Population[/TH]
[/TR]
[TR="class: mergedrow"]
[TD] -[/TD]
[TD]2013 estimate[/TD]
[TD]24,895,000 (48th)[/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedrow"]
[TD] -[/TD]
[TD]2011 census[/TD]
[TD]24,052,231[SUP][2][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedbottomrow"]
[TD] -[/TD]
[TD]Density[/TD]
[TD]198.3/km[SUP]2[/SUP] (63rd)
513.8/sq mi[/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedtoprow"]
[TD="colspan: 2"]GDP (PPP)[/TD]
[TD]2011 estimate[/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedrow"]
[TD] -[/TD]
[TD]Total[/TD]
[TD]$40 billion[SUP][3][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedbottomrow"]
[TD] -[/TD]
[TD]Per capita[/TD]
[TD]$1,800[SUP][3][/SUP][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kwa takwimu hizo hata Tanzania hatuoni ndani kwa korea kaskazini. Unajua media za west huwa zinatudanganya sana kwamba jamaa wako hoi ila ki ukweli jamaa hawako vibaya kama tunavyodhani.. (hizo ni data za google) Tusiwadharau sana north korea

Za Tanzania ukaenda na kuleta hizi ambazo zina mpishano na hizo za Korea Kaskazini ulizozileta.

Hizi hapa

[TABLE="class: infobox geography vcard"]
[TR="class: mergedtoprow"]
[TD="colspan: 2"]GDP (nominal)[/TD]
[TD]2014 estimate[/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedrow"]
[TD] -[/TD]
[TD]Total[/TD]
[TD]$36.6 billion[SUP][7][/SUP][SUP]a[/SUP][/TD]
[/TR]
[TR="class: mergedbottomrow"]
[TD] -[/TD]
[TD]Per capita[/TD]
[TD]$768[SUP][7]
[/SUP][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: infobox geography vcard"]
[TR]
[TD="colspan: 2"]Gini (2012)[/TD]
[TD]37.8[SUP][8][/SUP]
medium[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]HDI (2013)[/TD]
[TD]
11px-Increase2.svg.png
0.488[SUP][9][/SUP]
low · 159[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Hiyo HDI kwetu ni ndogo mno ukicompare na wao ambayo ipo kwenye 0.67

Kwa nini za Tanzania hujaleta kwenye vipengele sawa za na NK?

NK umeweka GDP (PPP) huku za Tanzania umeweka GDP (nominal).....kwa nini?

Linganisha vipengele vilivyo sawa...GDP (PPP) kwa GDP (PPP) na nominal kwa nominal....
 
Hapo napo kuna utata kwamba kanadanganya Ulimwengu kwamba kana kitu kizito, lakini wachunguzi wengi duniani wa mambo haya wanaamini jamaa anacho kitu kizito. Ndio sababu wanakuwa makini mno katika kukatia adabu.

marekani anasumbuliwa na ugonjwa wa kushindwa kufanya mapandikizi yake korea ya kaskazini. Patent na invention zao zote hazijasajiliwa popote pale duniani kama ambavyo nyingine lazima zisajiliwe USA au euro na hili nalo linamsumbua sana USA. Shida kubwa ni north korea mpaka sasa wana uwezo wa ktuoa "nuclear fuel" kutoka kwenye vinu vyao na wamewazuia wakaguzi kuingia nchini mwao kama inavyotakiwa na shirika la atomic.
 
marekani anasumbuliwa na ugonjwa wa kushindwa kufanya mapandikizi yake korea ya kaskazini. Patent na invention zao zote hazijasajiliwa popote pale duniani kama ambavyo nyingine lazima zisajiliwe USA au euro na hili nalo linamsumbua sana USA. Shida kubwa ni north korea mpaka sasa wana uwezo wa ktuoa "nuclear fuel" kutoka kwenye vinu vyao na wamewazuia wakaguzi kuingia nchini mwao kama inavyotakiwa na shirika la atomic.

Teh teh teh....North Korea wana inventions gani?
 
huna lolote wewe unadhini north korea ni Tanzania?

Mbona hujajibu swali langu yakhe?

Ngoja nijaribu kuuliza tena.

Teh teh teh....North Korea wana inventions gani?
 
Korea ya kaskazini miaka ya 1950/60 ilipigana vita na marekani .
Ni vita ngumu na kama sio marekani kuingilia kati basi sasa hivi tungekua na korea moja tu.
Vita hii iliwa gharimu askari elfu 22 kurudi kwenye masanduku na wengine kutekwa.
Korea kujua uadui huu wa marekani imejimarisha kwa jeshi na silaha.
Imatengeneza wenyewe hivyo inajiamini na ndio maana hawaigopi usa
Vita yoyote itakuwa ni suicide kwa usa.
China haitokaa kimya na hata putin hatokaa kimya.
Korea sio sadam au gadhafi ambao wamategemea silaha za kununua.
Nchi yoyote inayotegemea silaha za kununua basi hamna kitu. Wakiweka vikwazo bssi wanakumaliza.
Nchi pekee kwa afrika ambayo iko stable na inaheshimika ni south afrika.
Wengine wote hawama uwezo wa kuzuia nguvu za kijesh za mabeberu.wakitaka watakuja tu na tunavo kosa uzalendo kwa kuwalenda kama chokleti basi kazi itakuwa rahisi
 
  • Thanks
Reactions: 999
huna lolote wewe unadhini north korea ni Tanzania?

Hahahaha!! Nimesoma post za jamaa nikacheka sana.
Anaifananisha north Korea na Katavi. Soo soo sad.

North Korea hana uchokozi na mtu ila mataifa ya magharibi ndiyo yanayomfuata sasa afanyeje wakati ana Uhuru wake?

Marekani ana muda hajawahi kupigwa nyumbani kama yuko sawa aanzishe vita ataona mziki wake.
Watu wameshakuwa chronic kupigwa nyumbani hawana cha kupoteza
 
Wakati nafuatilia falsafa ya JUCHE ndipo nilipogundua kuwa North Korea hana mzaha katika kulinda mipaka na uhuru wake. Kimsingi alishamwomba South Korea na mshirika wake USA waanzishe vita ili yeye amalize maana wao ndo wenye kulilia vita. Kuilinganisha North Korea na Tanzania kwa namna yoyote nadhani ni makosa makubwa kwa kuwa ukiondokana na propaganda za nchi za magharibi bado North Korea ni nchi yenye nguvu kiulinzi, kisiasa na hata uchumi wao si wa kubeza.
 
Akiandikia gazeti la “The London Observer” mwaka 1963, mwaka mmoja tu tangu kuanzishwa kwa nafasi ya “Rais Mtendaji” nchini, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliwahi kukiri jambo hili kwa kusema: "…kusema kweli, Katiba (hii) inanifanya dikteta kwa kigezo chochote kile cha kidemokrasia”.

- See more at: Raia Mwema - Madaraka ya Rais asiyeambilika yanazaa udikteta

Leo sijui umeamka vipi na kuamua kumwita JKN baba wa taifa...was expecting name calling.
 
Back
Top Bottom