Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,149
- 137,116
- Thread starter
- #141
wewe wanakuhusu nin?
Nawe kinachokuhusu nini?
alaf mbona unapenda kuzungumza kwa niaba ya wamarekan?
Halafu nawe mbona unapenda kuzungumza dhidi ya Wamarekani?
wewe wanakuhusu nin?
alaf mbona unapenda kuzungumza kwa niaba ya wamarekan?
Haka kajamaa ni stubborn kweli, sijui kwanini Marekani wameiacha hii familia kuendelea kutamba mpaka leo!
Nyani Ngabu jinsi ulivyouliza maswali yako sina uhakika kama umejiandaa kuukubali ukweli hata kama utauona/utajidhihirisha kwako,kuna uwezekano mkubwa ukaendelea na mchezo wako wa kucheza na sarufi za lugha.Lakini usijali rafiki nipo kwa ajili ya kubadilishana mawazo na watu kama ninyi.Umeuliza maswali mengi sana inaonekana hufahamu mambo mengi niliyodokeza.Nimechagua nianze kukujibu hili la HIV/AIDS wakati wengine wakiendelea na topic husika.
Twende kazi Nyani Ngabu mimi na wewe sasa.Suala la HIV/AIDS kuwa na tiba au ni ugonjwa feki ni pana sana.Lakini hebu tuanzie hapa kwanza.Sikiliza/fuatilia hiyo link hapo chini halafu twende debate hoja kwa hoja kisayansi mwisho wa siku tutapata ukweli tu,maana mimi nimetumia hoja nyingi zaidi ya hizi kwenye hii link kuwaokoa watu wengi na madawa ya ARVs ambayo ndio hasa yanayosababisha AIDS na si HIV kama tulivyoaminishwa miaka zaidi ya 30 iliyopita.Watu hao wanaishi wakiwa na afya njema na hawatumii dawa zozote pamoja na kupimwa HIV positive kwa kutumia vipimo vyao feki.
10 scientific arguments why HIV can not cause AIDS
https://www.youtube.com/watch?v=pB8g0b-FkW0
Baada ya kupitia link hiyo,twende hoja kwa hoja sasa,nakuruhusu umualike daktari yoyote wa magonjwa unayemwamini akusaidie ufanye debate na mimi.Acha kucheza na sarufi za lugha,twende kisayansi zaidi.Nakusubiri.
Kila nnaposkia mikwara ya hawa jamaa nakumbuka mikwara ya saddam hussein,dah tulijua saddamu atailipua dunia,kumbe hakuwa na lolote
Sadam alikua mwamaume na alipambana kiume na ukweli ni nchi pekee duniani kuweza kupambana majeshi na zana kutoka nusu ya dunia.
Vita ya kwanza kumuondoa Sadam Kuwait nchi 45 zili shiriki yeye akiwa peke yake.
Mataifa yote ya Nato ukiondoa france yalishiriki kupigana na mwanaume sadam.
Hakika alikua jemadari shupavu kabisa asie ogopa mtu .
Dunia ikamuwekea vikwazo kumdoofisha lakini lakini akaweza kujiimarisha ndipo tena vita ya uvamizi ikipigwa na usa spain UK canada nchi nyengine zaidi ya 10 zikashiriki katika jinai na kuua wa iraq na sadam hakukimbia iraq na alisimama kiume pale alilokamatwa na kuhukumiwa kifo na bush.
Ukiongea juu juu tu utajufurahisha lakini sadam ni shujaa na jina lake haliwezi kusahauliwa kwani kila pembe ya dunia wanazaliwa watoto na kupewa majina ya jemadari huyo
Kwa kweli ukiondoa USA kupata support ya "mabinti" wenzake, bado hana uwezo wa kusimama yeye kama yeye kupambana na jeuri kama ya Russia na hata Iraq chini ya Saddam wakati huo. Mimi ningependa kusikia ushindi wa USA as individual ni lini kapiga Taifa lenye jeuri kivita na akashinda vita hiyo. Pale Somalia pale...aliangukia pua kwa mfano. Cuba na udogo wake ni heshima tu. Tanzania tuna record walau ya kumtimua Idd katika ardhi yake...