PSYCHOLOGY
Senior Member
- Feb 10, 2011
- 177
- 14
Sijui nani kawadanganya kuhusu wazungu au ngozi nyeupe ndio wenye neema?Wabongo bwana,kila mtasha tunaona kama ni tajiri sana na amezaliwa ulaya,huyo atakua amezaliwa na machangudoa wa kule kinondoni makaburini mtasha alienda kutafuta dozi akampata mdada wa bongo mara mdada kapatakitu kazaa mtoto anafanana na baba yake,mtoto kawa mkubwa kaja nssf kakupiga bao ukampatia donge nono kwa sababu ya rangi yake.Baada ya hapo mtoto kaona kumbe kwa kuwa na ile rangi na ungenge kidogo anavuta hela kilaini.Kweli rangi za wazungu zinaeshimika.
Duh... Afazali sijakutana nao.
bei yake utaiweza? Maana humlipi mtu. Unailipa rangi yake!Mi natafuta shamba boy nyumbani kwangu ukimuona tena mpe taarifa kuna mifugo pia inahitaji kuhudumiwa nitamtoa vizuri tu hata ikibidi nitampa banda la uwani awe analala mazee!!
Duh... Afazali sijakutana nao.
Ha Ha Ha wadau leo nimekutana na mzungu akanipiga mzinga ili aweze kusukuma siku hadi j5 ambapo dada yake atamtumia hela kutoka marekani kwa madai eti account yake imeblockiwa,Nikamtell live kwamba sina kitu kwa kumsaidia tu nikamwambia nenda ubalozi wa marekani pale watakusaidia tu kwa kuwa ni raia wao,Wadada Kuweni makini sio kila mzungu ana hela ili mkaringishie nao u-turn wengne ni magumashi tu,matapeli ha ha ha ha ha ha
Sio ajabu mzungu kukosa pesa.
Ila sasa hivi kuna wazungu wengi matapeli hapa Dar.
Mtoa mada kafanya vizuri kutahadharisha wasiojua wajue.
Pia yupo mzungu fulani anatembea madukani na dollar feki hapa Dar.
Ha Ha Ha wadau leo nimekutana na mzungu akanipiga mzinga ili aweze kusukuma siku hadi j5 ambapo dada yake atamtumia hela kutoka marekani kwa madai eti account yake imeblockiwa,Nikamtell live kwamba sina kitu kwa kumsaidia tu nikamwambia nenda ubalozi wa marekani pale watakusaidia tu kwa kuwa ni raia wao,Wadada Kuweni makini sio kila mzungu ana hela ili mkaringishie nao u-turn wengne ni magumashi tu,matapeli ha ha ha ha ha ha
Dawa ni kuzaa naye kisha unamtosa kama humjui!
Sio ajabu mzungu kukosa pesa.
Ila sasa hivi kuna wazungu wengi matapeli hapa Dar.
Mtoa mada kafanya vizuri kutahadharisha wasiojua wajue.
Pia yupo mzungu fulani anatembea madukani na dollar feki hapa Dar.
Kuna walowahi kusema eti wazungu hawapigi mizinga
wadada wengine wanatakaga mbegu tu wapate pont faiv,Wadada Kuweni makini sio kila mzungu ana hela ili mkaringishie nao u-turn wengne ni magumashi tu,matapeli ha ha ha ha ha ha
wadada wengine wanatakaga mbegu tu wapate pont faiv,
Not always hela.
Ha Ha Ha wadau leo nimekutana na mzungu akanipiga mzinga ili aweze kusukuma siku hadi j5 ambapo dada yake atamtumia hela kutoka marekani kwa madai eti account yake imeblockiwa,Nikamtell live kwamba sina kitu kwa kumsaidia tu nikamwambia nenda ubalozi wa marekani pale watakusaidia tu kwa kuwa ni raia wao,Wadada Kuweni makini sio kila mzungu ana hela ili mkaringishie nao u-turn wengne ni magumashi tu,matapeli ha ha ha ha ha ha