Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
Anayatoa wapi. Umesikiliza vizuri wewe?
Kuna mangi alisema alikua anaenda church kwa miguu,akamuona mzee akamwambia ipo siku utapata gari,leo ndo katoa ushuhuda kuwa amepata OPA.
Anayatoa wapi. Umesikiliza vizuri wewe?
Mafuta na spare je?
wachaga wamechukua magari pale balaa.
Ngoja twende nasie tuinyakulie michuma
utamaliza mfungo kweli wewe?Aliowapa magarii wanatoa ushuhuda hapa chanel ten sahivi.
kama umeshndwa kung'oa mademu kisa huna gari,mcheki Mch.Lusekelo fasta.
Hao wakitoa fungo la kumi, mzee wa upako shavu dodo.
Ukitaka ufalme wa duniani nenda.......but ufalme wa mbinguni ndo cha kwanza mengine mtazidishiwa...mi simkubali kabisa mzee wa upako anahubiri utajiri tu...sijaona akihubiri jinsi ya kushinda dhambi na kwenda mbinguni...hata shetani nae ni tajiri so kuweni makini na hayo magari