Mzee wa upako na magari

Mzee wa upako na magari

ukiingia kwenye kanisa la mzee wa upako akikuombea upate gari ukitoka nje unalikuta liko tayari kwenye parking na funguo yake kabisa
 
ukiingia kwenye kanisa la mzee wa upako akikuombea upate gari ukitoka nje unalikuta liko tayari kwenye parking na funguo yake kabisa
what an illusion...
goldbenz.jpg
 
Hahaaaa, mimi huwa najiuliza "hawa watu ambao hutoa ushuhuda wanatoka wapi/hawafahamiki, mbona zaidi ya yule wa Joti sijawahi muona mtu anayedai hela"?
 
Hahaaaa, mimi huwa najiuliza "hawa watu ambao hutoa ushuhuda wanatoka wapi/hawafahamiki, mbona zaidi ya yule wa Joti sijawahi muona mtu anayedai hela"?

ndo hapo sasa,, na hatuwezi jua whats cooking unless we go there...
Heaven on Earth twende tukaone.
 
Last edited by a moderator:
ukiingia kwenye kanisa la mzee wa upako akikuombea upate gari ukitoka nje unalikuta liko tayari kwenye parking na funguo yake kabisa

Nimeipenda hii, ni marketing strategies, the guy is so clever...
 
Kwani huoni Gwajima alikuja na style ya kufufua midukule, lakini wanakotoka na wanakoenda haikujulika mpaka Leo, sasa amekuja na style ya kupora wake za watu, mfano F Mbasha
 
Sikilizen wandugu mimi ni mfuasi wa mzee wa upako nilikwenda pale kwa kuwa nilikuwa na dhiki zangu si utani nilichoka mbaya, kama ukisikiliza maubiri yake jamaa anafundisha maisha, kujiamini na kupambanua mambo, yale mahubiri ukiyapata mara nyingi unaanza kujibiidisha kwa nguvu,hivi sasa ninavyoandika thread hii nina kazi na gari ninalo mkuu
 
wakuu namimi nataka gari,?
Huyu mzee wa upako ana nini? Naangalia now ch.10

Maskini Yesu Kristu yeye alitembelea punda,, na hakuvaa mavazi ya kifahari na mavazi alovaa yesu leo ni chukizo na kashfaa maana ndo mavazi ya waislam maana waislam hawapendwi mapka mavazi yao
 
Wajinga ndio waliwao! Kila muumini angekuwa na gari basi sio kuwakodishia maCoster yale,,,naona Kanisa linatumika kudanganya watu!!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
the unhappenings are happening.,
guyz im plannin to attend his service.
Watu wenyewe wanashangaa tu wamejikuta wana magari..

Stunned....!!!

.....kumbe wanashangaa tu tena wamejikuta tu wanayo hayo magari!!!!!!!....kimbia hapo sio salama...gari gan ya kuja kama jini???......dawa ni kufanya kazi tu...vinginevyo mtapanda hadi majoka
 
Back
Top Bottom